Mara nyingi ninapofanya safari zangu za kwenda mikoani huwa natumia mabasi..japo pia mara moja moja pale ambapo kipande kimeruhusu naweza kupanda Precision Air..lakini muda mwingi ni mabasi. Kila...
Hii nimeitoa kwa vijana kule Facebook nanukuu
FALSAFA YA MWANAMKE
- Mwanaume mkamilifu zaidi duniani ni BABA YAKE
- Mwanaume anayeonewa na kunyanyasika zaidi duniani ni KAKA YAKE
- Mwanaume...
Hi wadau, kwa wale wataalam wa saikolojia na social sayansi. Ni lengo la kuoa sasa targeti yangu ni kuchukua changu yule classic au baamedi mkali kama atakubali wazo langu la kumuoa basi tukapime...
kuna mshikaji wangu anampenz wake mhaya tokea kanyigo bas mwenyewe anamsifia anajua mambo kweli, kwa wanaojua tabia or sifa za wanawake / watu wahuko mtwambie!
Nadhani hili halifahamiki vizuri kati ya watu wanaojiita wapenzi pasipo namalengo ya mbeleni ambayo ni dhabiti.
Kumekuwa na maoni tofauti tofauti kati ya vijana na watu wa rika tofauti juu ya...
Unapoamua kuolewa ni jambo jema. Ila kuna mambo lazima uyajue mapema na ya sikupe pressure ya kuahirisha ndoa au kukataa tamaa. Kuna usemi usemao wanaume mama yao mmoja, huu usikusumbue kabisa. Si...
Haya mambo ya Dada (House Girl) kutoka kusini mwa nchi yetu. Alianza ajira shwari kabisa, baada ya muda mwenendo wake ukabadilika, pengine akienda sokoni kurejea lazima achelewe. Siku chache...
Hivi kwa nini mara zote mwizi wa mume wa mtu ndiye hulaumiwa,lakini mwanaume huyo anayemwacha mkewe ndani na kwenda nyumba ndogo halaumiwi kwa kiwango kile anacholaumiwa mwanamke? Utakuta mke wa...
Kama umeshawahi kufunga mbwa au kumchunguza, utagundua kwamba, mbwa dume ana kawaida ya kutoa sauti yenye kuonesha kuumia au kuhuzunika au kuomba hasa anapokutana na mbwa mwingine ambaye anajua...
Naomba kutoa ushauri wa bure kwa wale wanaotarajia kufunga ndoa hivi karibuni,
Kama ni mwanaume mwenzangu jaribu kupunguza matumizi kwa ajiri ya maandalizi ya harusi..vijana wengi wanaingia kwenye...
TRUE STORY: Kijana kajiua baada ya kudanganywa na rafiki zake kuwa ameathirika, alipata magonjwa ya zinaa, akaenda kupina na UKIMWI ikaonekana yupo NEGATIVE. Kwa uelewa wake mdogo wa lugha ya...
Miiko ya kuishi dar ili uepuke kuibiwa
Huu ni ushauri wa bure kwa wale wanaokuja dar
1. Usiwe ni mwenye tamaa. Ukiwa na tamaa kuibiwa ni rahisi sana kwa njia ya kutapeliwa. Binafsi...
Msaada wadau, inshort mi kijana (me) niko mid 20s ndo nimeanza safari ya maisha ya kujitegemea few years ago
Nimeshakuw kwenye mahusiano mara nyingi but hayafiki mbali na mimi mara nyingi...
Whats up pals,
I really need your helpful and productive opinions,ideas about the question on title,it seems to be so very potential katika ku-stabilize affairs but when it comes to me haiko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.