Kama Wanawake wataendelea na hii tabia,sitoshangaa wanaume kuendelea kuweka mgomo wa kuoana kuendelea kulalamikiwa kwamba wanawachezea...
Hivi inakuwaje unaanza uhusiano na mtu,hata wiki...
Wasaalaam,
jamani kuna demu mmoja jiran anakula sana passion (matunda yale ya juice), na kila mara analalamika kuumwa, kuchoka na kufunga kaka, juzi nikasikia eti ana mimba, jamaa kwa dalili hizi...
Mpo kwenye mahusiano taklibani mwaka mmoja. Mwanzoni mambo yanakuwa mazuri na Mungu anawajalia mnapata mtoto japo ndoa bado. Mara vitimbwi vinaanaza kutoka kwa mmoja wapo lakini mwenzie anakaa...
Katika utafiti uliofanyika hivi karibuni imebainika kwamba, idadi ya watu waliowahi kuishi hapa duniani ni kubwa ukilinganisha na idadi ya wale waliopo leo. Kwa mujibu wa tafiti mbali mbali...
Cjui MUNGU wao tofauti na wetu..
Tunaishi bado kwa wazazi. ila kuna viajira tumepata mjini...
kilichonifanya kuleta huu uzi hapa ni kashfa alizonipa dogo wangu baada ya kuomba...
hali zenu wadau wa Jf kuna hii nimekutana nayo naomba tuijadili..........
1. Ikague simu yake
Katika mazingira ya kawaida, haishauriwi kuikaguakagua simu ya mumeo kwani kufanya hivyo ni kuonesha...
Jamani niko mbioni kutafuta mke mwingine baadaya shemeji yenu kukataliwa na boss wake kuja kuja kuishi na mimi.
Ni takribani miaka miwili sasa tangu nifunge ndoa takatifu na shemeji/wifi...
WATU wengi (hasa baadhi ya wanaume) ama hawajui au hawajalini kitu gani wenza/mwenza wake anataka kufanyiwa au akifanyiwa kitamsisimua(Turn on) hata kama amechoka sana.
Uchunguzi unaonyesha kuwa...
hali zenu wanaMMU,
Joy na mumewe wamefunga ndoa mwaka jana,baada ya mwaka wakabahatika kupata mtoto. sasa Joy kanambia ana mpango wa kuhamia Arusha (kwani wanaishi Moshi) na kumuacha muwewe kisa...
Wandugu wapenzi, ebu naommba mwongozo, nimpe ushauri gani huyu baba aliyeko ndani ya maji akiwavuta hao farasi anaonekana kuchanganyikiwa maana Panapofuka Moshi panaficha Moto; ajira yake hii...
mambo wana jf, ni kwann mwanaume aliyeoa anavua pete ya ndoa anapokuwa njiani kuelekea kazini? hv ndoa aliyofunga alilazimishwa au alichagua kwa mapendo yake mwenyewe?. Leo nimejionea kwa macho...
Wanawake wa kenya leo wanatarajia kuandamana kupinga
kwa wanaume zao kula mirungi wakilala,mika asilimia 90
ya waume zao nanii zao azisimami kabisa na hivyo kuhatararisha ndoa zao..wanawake hao...
hey! mambo vp? kama vp mm natafuta mpenzi wa kike anayependelea zaidi story za sex na kufanya sex frequent,nipo sumbawanga mjini na sibagui dini wala umri kama uko tayari nitakutumia namba ya simu...
ni rafiki yangu jana kanilalamikia nimshauri eti mumewe yupo bize na kazi yaani akitoka asubuhi kurudi usiku na weekend pia anaenda kushinda ofisini ili amalizie kazi zake akirudi yupo hoi hata...
Fikiri ni mwanafunzi katika shule ya sekondari Mabadiliko. Yuko kidato cha pili.
Shule ya sekondari Mabadiliko imekuwa na uhaba wa walimu. Katika masomo tisa anayosoma Fikiri ni masomo matatu tu...
On my wedding day, I carried my wife in my arms.
The bridal car stopped in front of our one-room flat.
My buddies insisted that I carry her out of the car in
my arms. So I carried her into our...
2napendana sana na 2meplan mambo meng juu ya maisha ye2. Tatzo la mwenza wangu huwa ananiforce kla 2napokuwa kwenye kum na nane kunyonya jogoo langu jambo ambalo huwa cltak na lnapelekea...
Wanandoa hawa walikutana na wakiwa na hali duni kimaisha, wakaoana na kujaliwa kupata mtoto 1 wakike,kadri siku zilivyoenda MUNGU akawajalia wakafanikiwa kimaisha na wanamiliki mali kadhaa,miaka 7...
Jamani jumamosi iliyopita niliudhuria arusi moja katika nchi ya jiran(KENYA) ambayo ilinishangaza maana bi aruc alikuwa mjamzto,mshenga wake mjamzto,mama wa b aruc mjamzto,mama wa bwana aruc...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.