Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Niajeeeee Wadau!!!!! Hahahahaaaaaaa!!!! LOLEST!!! Leo nimecheka kweli japo ni jambo la kusikitisha! Japo sikuwa na nia ya kuileta hii stori humu, ila wadada wa mujini inabidi muijue mjihadharii...
10 Reactions
208 Replies
14K Views
habari zenu wapendwa, binafsi hili ni swala ambalo nimeliona likitokea ila sijalipatia jibu. Sijui kama lilishajadiliwa humu au la na kamchina kangu hakawezi kusearch..... Ni hivi inakuwaje...
6 Reactions
80 Replies
7K Views
(and make yourself feel good!) Call an old friend, just to say hi. Hold a door open for a stranger. Invite someone to lunch. Compliment someone on his or her appearance...
0 Reactions
1 Replies
841 Views
Why male Japanese wage-earners have only 'pocket money' By Mariko Oi BBC News, Tokyo...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nipo katika ofisi mpya, tumetokea kumpenda mtoto wa kihindi mzuri kwa kweli anavutia. Msaada kwa mwenye uzoefu wa watoto wa namna hii. Mbinu nipeni nimpate.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Wakuu, Hebu na tu shee Experience zenu especialy nyie wenye wake wanaofanya Kazi namna Pato linavyokuwa Distributed Home. Nataka ku Draw Bonge moja la Conclusion hapa Kwangu
1 Reactions
172 Replies
13K Views
Baba mmoja alikuwa ofisini gorofa ikawaka moto aliporudi nyumbani akamhadithia mkewe jaman yaani nisingekuwa hapa mke wangu gorofa letu limeungua lootee wamekufa woteee nimepona mie tu mke wangu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Girl: Honey?? Boy: Yes, sweety?? Girl: Honey, i like this shoe a lot but i forgot my wallet at home, could you pliz give me Tsh 20000 to buy it? Boy: There is no Atm close here but take this Tsh...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Mimi nimewahi kucheat kuanzia kwenye level ya urafiki, uchumba na ndoa. Nimekoma na nimeacha, wewe je umewahi kucheat? Ilikuwaje?
0 Reactions
30 Replies
3K Views
Mimi ni mfanya kazi katika ofisi moja iliyopo hapa mkoani,jirani na ofisini kwetu kuna ofisi ya serekali kutoka na ushirikiano uliopo wa hizi ofisi nimetokea kuzoeana na baba mmoja wa hiyo ofisi...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
£40m for any man who can turn my gay daughter straight: Father's shock offer after lesbian wedding ceremony Property magnate Cecil Chao Sze-tsung has offered the huge bounty to the man who...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Yupo mdada fulani ambaye alikuwa demu wangu before. Kutokana na sababu zilizokuwa nje ya uwezo wetu ilibidi tuachane pale alipopata mwanaume mwingine, lakini tukabaki marafiki na watu wa karibu...
6 Reactions
87 Replies
11K Views
WEWE UNGEFANYAJE?by Boflo Mdada mmoja mke wa mtu alikuwa akisumbuliwa sana na jamaa mmoja aliyekuwa akimtaka kila siku, hatimae akamwambia mumewe. Mume akamwambia mkewe, we kubali tuu, ila...
11 Reactions
40 Replies
5K Views
Nikiwa kama kijana ninaejitambua kwa maana nishakuwa mkubwa sasa kila kitu kinabadilika kutokana na UMRI unavyoongezeka so kama mwana JF mwenzenu nimefikia wakati sasa wa kuwa na mwenzangu ndani...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Ni neno Gani ulishawahi kumwambia mpenzi wako baada ya sex(kufanya mapenzi) halafu akakakasirika au kufurahi? 1)asante 2)sijatosheka 3)kesho tena 4)nisikuone tena kwangu 5)potea 6)next...
0 Reactions
30 Replies
5K Views
10 interesting facts about love Posted: February 6th, 2012 ˑ Filled under: Random Facts ˑ No Comments...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Why does girls says this?? girls facts & relatable posts
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Naombeni mnijibu kwa kina kwanini wanaume wengi wakitaka kumtongoza mwanamke siku hizi hili swali ndo no moja? akikuuliza Jina lako swali linalofuatia Unafanya Kazi wapi? kama huna au jibu ni...
4 Reactions
45 Replies
5K Views
nina rafiki angu nasoma nae chuo ndo tunaingia mwaka wa tatu anatokea familia ya kawaida ila wazazi wake waliweza kumlipia ada mwaka wa kwanza then wakashindwa akapata mwanaume akamlipia ada mwaka...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Asanteni GTs Kwa maonyo yenu,nilichogundua kuwa wengi wenu munatoa michango kwa kuangalia fulani amecoment nn,last wk niliomba nielimishwe maana ya WIFE MATERIAL.nikaambiwa anatengenezwa kwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom