Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Love is the phenomenon that everybody knows; however, unfortunately just very few people who do it perfectly. May be it's due to the fact that Love entails human beings who have often been...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hivi unafahamu ni kitu gani kinaweza kumfanya mume wako au mke wako kuwa na mood kwa ajili ya sex? Watu wanaofahamu hii sanaa wanasema kuna mambo 4 muhimu ambayo yanaweza kumfanya mke au mume...
2 Reactions
7 Replies
22K Views
:A S-heart-2: Hii ni moja ya sifa au tuseme ''title'' iliyokuwepo kwa kitambo sasa. Nyimbo nyingi zimetungwa juu yake na watu wengi wamehusishwa nayo. Lakini je ni mtu wa aina gani kuwa na sifa...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari Zyenuuuu! Kama Kawa kama Dawa mimi niko Gado! Naendeleza kumtumikia Kafiri katika kutaka kutoka kimaisha!!! Leo bana naomba niwaulize maoni yenu! Binafsi kuna wanaume wananipendaaa, they...
5 Reactions
119 Replies
10K Views
Wadau nimewahi kupost uzi wangu wa kutafuta mke hapa bila kuweka vigezo ila hadi sasa hakuna mafanikio yoyote.Sasa kwa mamlaka ya hisia zangu na moyo wangu naomba nirudie tena na nitangaze nia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hata katika kuelekea kujenga uhusiano imara kunahitaji subira..... Ralph Waldo Emerson, mkongwe wa ufahamu, aliwahi kusema. Fuata mwenendo wa maumbile, siri yake ni subira. Subira hiyo yaweza...
9 Reactions
16 Replies
10K Views
http://youtu.be/82GUjPConiE
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Tuseme wewe ni mwanamume na watafuta mchumba , kitu gani utakachoangalia kwanza kabisa?. Yaani kivutio cha kwanza ni kipi? Utavutiwa na nini au sehemu gani ya mwanamke...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Nina miaka 35, sijawahi kupenda wala kuumizwa ktk mahusiano, huwa nashangaa sana naposikia mtu anampenda sana mke/mpenzi wake wakati mimi huwa hisia hizo sizipati hata nikijifanyisha haziji. Binti...
1 Reactions
57 Replies
5K Views
Vingiri vingiri vingiri vingiri kuvingirisha mauno kwa speed kali ni kwa furaha ya wewe unayezungurusha au ni jitihada za kumfurahisha mwenzio mchezoni? Ok, kama ni hivyo jaribu kusoma spidi ya...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Athari unazoweza kuzipata ukiwa katika uhusiano na mke/mume wa mtu. Siku za hivi karibuni kumekuwa na mtindo wa watu kutoka na wake/waume za watu. Tatizo hili lipo zaidi kwa wanawake. Bila aibu...
7 Reactions
37 Replies
10K Views
Ni muda mfupi tangu nimuoe mke wangu na tumebahatika kupata mtoto wa kiume mwaka jana. Tatizo ni kuwa,muda huu mke wangu kaongeza mapenzi kwangu ila mimi simpendi tena kama ilivyokua zamani na...
2 Reactions
47 Replies
6K Views
Baaada ya kukata mawasiliano ya tendo la ndoa na mke wangu kumuadhibu kwa kukorofishana na mama yangu na yeye kuniambia nimtaftie mwanamume wa kumliwaza kwa hasira niliamua kuamua kula...
2 Reactions
108 Replies
8K Views
Habari zenu wadau Juzi tulikuwa tunazungumza na mpenzi wangu katika maongezi kuna story nikawa namsimulia then nilipomaliza akaniambia "hivi we utajisikiaje endapo mtu unaempenda...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Condoms,zipo za aina nyingi sana. Zipo za sh.100,200,500,1000,2500 etc. Wengi tuna zitambua kwa bei zake,lakini ni kweli kwamba zote zina kusudio moja (kukukinga na STDS na Mimba?)kwanini...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Habari za jioni, Leo nimeona nijiachie kwa stail hii, nimevumilia sana nimechoka, nilianza mapenzi miaka mingi iliyopita, nikiwa dsr la 6, sikuwa najua raha yake pamoja na kutembea na...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Eti hizi nywele za chini ni vizuri kuzinyoa mara ngapi kwa mwaka... Mie mwenzenu mara mbili tu Wewe je? Nakutakieni weekend njema wapendwa
0 Reactions
49 Replies
8K Views
Habari wana jf, mimi huwa napata kigugumizi pale ninapoona mtu ananyanyaswa na mpenzi wake alafu bado anamng'ang'ania, inaniumiza zaidi pale anapokuja kulalamika kwangu kuhusu mpenzi wake...
0 Reactions
2 Replies
987 Views
Kutokana na sababu zilizo "ndani" ya uwezo wangu,nafurahi kuwatangazi ndugu,jamaa na marafiki wote ninao wafahamu na wale nisio wafahamu kwamba:- 1.Sitashiriki katika kikao chochote cha harusi...
13 Reactions
80 Replies
6K Views
jamani leo nimeyasikia mambo ya ajabu hapa kijiwen. kuna kijiwe ambacho mie hupenda kukaa jion ili kupata moja baridi. sasa leo nimeiskia hii na ni kweli imetokea kabisa na muhusika kajifungia...
4 Reactions
142 Replies
9K Views
Back
Top Bottom