In vitro fertilisation (IVF)
Hii ni njia ambayo inatumika kupata mimba kwa wanandoa ambao wanamatatizo ya uzazi. Mara nyingi tatizo linakuwa kwa mwanamke hasa anayekuwa na tatizo la kuziba kwa...
Jamaa alikuwa bize anafanya mazoezi kando ya barabara,
baada ya jogging na kuruka kichura akaamua kupiga push up.
Wakati anaendelea na push up, mlevi moja akiwa njwiii akamsogelea na...
hivi ushagundua kuwa yale yanayofanyika wakati wa kufunga ndoa au sijui ndo kurudi kundini hayana uhalisia wowote!! Kutokana na research isiyo rasmi nimegundua kuwa 90% ya ndoa hizo yaliyofanyika...
Habar wana jf jaman naomba kuuliza ii love at the first sight kama ni applicable?kama ni applicable je wewe ishawah kukutokea?in what way?maana mi naona first unamtaman mtu then kumpenda...
Ni jambo la kusikitisha kidogo lakini ndiyo ukweli wenyewe.
Leo asubuhi nimetoka Bagamoyo kuelekea Jijini,nikiwa kwenye shughuli zangu za kawaida za kibiashara,baada ya kuona nimeshindwa kumaliza...
Nimekuwa nikifuatilia comments za wana JF katika maswala ya mahusiano (Mapenzi), mara nyingi wanatoa ushauri wa kwenda kupima kabla ya kuanza kushiriki katika swala zima la ngono, Je wewe ulienda...
Kama maradhi ya kupenda kupitiliza......Usipomuona unayempenda unakuwa kama umejeruhiwa. Duh..kwa kitendo cha hawa jamaa kuadimika hewani kwa zaidi ya masaa 6 nimekosa raha tena wikendi hii...
Ninae mpenzi wangu ambaye tumekuwa kwenye uhusiano katika kipindi cha miaka miwili sasa naTunapendana mno.
Nimefanikiwa kupata nafasi ya kwenda kusoma Degree ya pili nje ya nchini Canada...
Ndugu wadau naomba ushauri. Mimi ni muajiriwa na nina kazi nzuri tu .umri wangu ni miaka 37 elimu yangu ni ya chuo kikuu nina degree 2 (masters) . Kutokana na sababu binafsi nimechelewa kuoa na...
Chagulaga ni neno la kisukuma lenye maana ya chagua.
Hatuwengi sana wamekuwa hawaelewi nini hasa maana ya hii tamaduni. Naomba japo kidogo niwaeleze ukweli wa jambo hili.
Kwa wale ambao hamjawahi...
Nlikua na mahusiano na binti mmoja ivi wa kimasai tangu 2008 mpaka mwaka huu kwenye mwezi april hapo ndipo mambo yakaanza kwenda hovyo,mi nlikua kazini ye kipindi icho ndo alikua amemaliza kidato...
Katika mzunguko wa maisha, nilibahatika kukutana na binti mmoja ambaye taratibu tulianza urafiki wa kawaida, kutokana na mfumo wa urafiki wetu ilifika mahali tukakubaliana kuanzisha uhusiano wa...
Habarini wapendwa natumai wazima ndo tunaanza wikiend,sasa leo nlikuwa nataka tujadili kwa pamoja faida na hasira za mume na mke kulala kitanda kimoja na chumba kimoja,kwa uchunguzi wangu mdogo...
Mi na mke wangu tuliamua tusile tunda la hedeni mwaka mzima wala usione vitu vya mwenzako. Kila mtu avumilie mpaka mwaka uiishe. Sasa mwezi umepita nahisi kama miaka 2, uzalendo unanishida. Hii...
Wana JF naomba kuwasilisha mada yangu leo ili tuijadili kwa kina labda tunaweza kupata ufumbuzi tahdhari mada yangu haijalenga din. ni kwamba mtu unakuta ana wake wawili anashi nao kila mke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.