Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
..wana jamvi habarini za leo...!!!! kuna wakati fulani niliwahi kuomba ushauri hapa, nilikorofishana na aliyekua BF wangu..nashukuru sana wana jamvi ushauri wenu umenisaidia sana kwani kwa sasa...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
habari tanzania....nimekua nikisoma sana posts nyingi sana za kuhusu wanawake...mara wadau wanasema hawa wa kabila hili wazur zaidi mara hawa malaya zaidi...mi nataka niwaaambie ukweli...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Ndugu zangu kwa muda sasa toka niusikie ule wimbo wa diamond nimpende nani nimekuwa na hakika kuwa ameiba mapingo ya nyimbo ile kutoka kwa mpiga tarumbeta yami sax. Naomba muusikilize huu muziki...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari! Kwa heshima na tahadhima nipo mbele yenu ukiwa/mkiwa kama mdau/wadau wangu wakubwa ufanikishae mambo yangu mengi kwa namna moja hama nyingine, nina kazi naomba niwashilikishe mnisaidie kwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF sijajua sehemu ya kuipost hii thread. Jamani kumetokea wezi kwenye simu. Utabipiwa namba inayoanzia +88 ndugu usijaribu kupiga maana hata kama una sh 100000 kwenye simu yako itaisha pale...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Unakua simu ukipiga inasema nibebeeeeee nibebeeeeeeeeeee nibeeee nibebeeeeeeeeeeeeeee nibembeleezeeee nibebeeeeeeeee ssaasaa we bwanaharusi wenzako wakikubebea mzigo sijui nani mwenye matatizo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
I am looking for a woman aged between 28-35 years, with no child before, minimum education collage, Christian who is interested to have a child, and good back ground. Level of income doesn’t...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
MKE ANAYEKUZIDI UMRI Kwa kuwa mimi ni Mkristo labda nianze Kwa ku-quote maneno ya biblia Kwenye kitabu cha Mithali 24:27 inasomeka ''Tengeneza kazi yako huko nje, Jifanyizie kazi yako tayari...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Wana JF haya ni baadhi ya madhara ya kujichua kama unayo na wewe umaweza ukatushirikisha. 1. Mtu aliyezoea kujichua huwa anaathirika kisaikologia wanapokutana na mwenzi wake huwa hapati raha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
awali wanawake na wasichana ndo tulizoea kuwaona waki pambana na cosmetics lakin saiv kibao kimegeuka almost nusu yao wanawapiku female shangaa wanaume wanatumia carolite wanapaka lipshine...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Habari zenu wanajamvi, Katika familia yetu mimi ndo nilifanikiwa kuendelea na masomo ya elimu ya juu, wengine waliishia std 7 na wengine form four, japo kwa sasa wengine ni wajasiriamali na...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
Jamani hili ni tatizo au starehe? ninapoanza kabla sijakaa vizuri nimeshusha!!!
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Nilikuta wanaume wanazungumza kwamba ukiwa Tanga na ukatongoza wanawake wa huko kama amekupenda au anataka kukulia hela, hata kama ameolewa atakwambia kwamba hajaolewa/hana mwanaume. Je kuna...
0 Reactions
16 Replies
15K Views
Jamani wiki ya pili sasa tangu nikutwe na mkumbo huu mh huwezi amini mtaani kwetu kuna sugar mamy linanitaka je kuna shida nikitoka nalo naombeni ma advice nini.
0 Reactions
47 Replies
5K Views
ivi kwel ni sawa kwa wapenz kuvaliana nguo za ndan et kisa they a totally in lov he mbona n vioja unapanda daladala unashanga mwanaume mzima amevaa bikin mbaya zaid amevaa kata k unaweza ata...
0 Reactions
28 Replies
6K Views
Wapo ambao wakiona picha hii wata umia,na wapo watakao furahi kutokana na status ya mahusiano yao na wenzi wao. Sijui wewe uko wapi,kama uko A,B au F una fanya nini ili usifike kwenye C,D,E,G,H...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wapendwa wa kuu wa kaya hi,nawasalimu...week kama mbili hivi nilipata uwamisho wa kazi kwenda tanga,ikwa vile nilikuwa bado sijapata makazi nilifikia kwa uncle wangu,na kweli nilikaribiswa vizuri...
1 Reactions
49 Replies
8K Views
Boy with Down's Syndrome chosen as new M&S model Proud mum hopes other her four year old son, who has Down's syndrome, will help other parents feel less isolated as he models for Marks and...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikuwa safarini China ndio nimerudi hapa Bongo.Niko mpweke sana natafuta msichana mrembo asiwe mnene sana umri kuanzia miaka 21-35 wa kula naye starehe weekend hii kuanzia Jumamosi tarehe 15...
0 Reactions
106 Replies
7K Views
ni asubuhi njema tu,ghafla napokea simu kutoka kwenye namba nisiyoijua mazungumzo yalikuwa kama yafuatayo Mpiga simu!:nenda muhimbili kachukue mzoga wa mume wako Mimi:mbona sikuelewi Mpiga...
4 Reactions
140 Replies
14K Views
Back
Top Bottom