Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ukweli husemwa: Kwa wale mnaotumia njia za mkato, fungueni macho kwa sasa. Randy men stand the chance of having their semen taken away and sold to ritual killers by commercial sex workers who...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
je kwanini mwanamke huwa hayuko tayari kutumia pesa zake kama zinavyotumika zamwanaume katika mambo binafsi na yakifamilia?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi ni mwanaume(32).Mwajiriwa wa serikalini.Ni mweusi,mnene kiasi,mcha mungu.Napendelea mwanamke mwenye ajira serikalini.Mkristo,mcha mungu,umri(26-31).Tafadhali nina maanisha.Mwenye utayari ani...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Christina Corrigan Mama wa Christina, Marlene Corrigan Ilikuwa ni majira ya mchana hapo mnamo Novemba 15, 1996 kitengo cha dharura cha mji wa El Cerrito, mji uliopo katika jimbo la California...
7 Reactions
22 Replies
4K Views
habari zenu wana JF, hivi inakuwaje umeishi na mpenzi wako wa zamani na akakutenda na baadae mkaachana ila ukaamua kwenda kuishi na mtu mwingine na ukawa na hasira za mambo uliyofanyiwa na yule...
2 Reactions
23 Replies
3K Views
Naomba ushauri wenu. Nina mchumba wangu tumekaa muda mrefu kama miaka 5 hivi. Sasa tumeona ni muda muafaka wa kuoana. Kipindi kirefu cha uhusiano wetu hatukuwa tunaishi pamoja as yeye alikuwa...
2 Reactions
146 Replies
10K Views
Ivi jamani juzi nlikua kwenye saluni fulani hivi,basi akaingia mdada hapo anauza vitu vilivosagwa akasema matumizi yake unaeka kuongezea mnato huko kwa kina dada eti,,,nasikia mwanaume akizama...
0 Reactions
72 Replies
9K Views
Penzi linahitaji uvumilivu WAKATI mwingine huwa unajisikia kumchoka mpenzi wako, kuchukua jukumu la kumuacha wako mpenzi, kumkaripia wako mpenzi, kumuona kama anakasoro fulani hivi, kumuona...
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Nina urafiki sana na mdada mmoja ambaye ameolewa, mdada huyu tunafanya naye benki moja hivi. mume wake tuna urafiki pia lakini sio kihivo kama mke wake, nadhani ni kwasababu tunafanya naye ofisi...
0 Reactions
121 Replies
8K Views
Mwalimu wangu mmoja aliwahi kusema kuwa mojawapo ya adhabu unayoweza kumpatia mpenzi wako aliyekuudhi ni kumnyima unyumba. Nilimuuliza, endapo una huyo m1 tu inakuwaje? Alijibu kuwa siku zote...
0 Reactions
104 Replies
10K Views
Kuna mzee mmoja nilikuwa naongea nae kuhusu game la kitandani,akasema kwamba utamu wa chakula ni mdomoni,akiwa na maana kuwa starehe kwa mwanamke wakati wa tendo la ndoa ipo juu juu ya uke na c...
0 Reactions
40 Replies
7K Views
KWA wale wenzangu na mimi ambao tayari tupo katika maisha ya ndoa, bila shaka wanaelewa ni jinsi gani mume na mke wanavyotakiwa kuheshimiana katika maisha yao ya kila siku ndani ya ndoa zao...
7 Reactions
33 Replies
5K Views
wakuu,kuna hiki kisa cha ajabu,haka kademu nilikua nako kipindi tu nimeingia ubatani,kisha nilikaacha kwa ajili ya mizinguo ya wazazi wake nikaendelea na mitikasi yangu ya kusaka maisha.tulikua...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Nakuchukulia kama dada yangu ana maana (una sura mbaya) Sikupendi kimapenzi (una sura mbaya) Sitaki kujihusisha na mapenzi kwa wakati huu (una sura mbaya) Kiukweli nina girlfriend yuko...
0 Reactions
57 Replies
8K Views
Jamani duniani kuna mambo,mama wa mtoto wangu ambaye tulizaa wote miaka ya 90 nilimwomba tuoane akakataa kabisa na kuniambia nichukue ustaarabu wangu kwani amepata mpenzi wa kuishi naye milele na...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Unajua hata paka wanaoana ila auwezi kujua huyu ni wanani mpaka wao wenyewe tunapofikia swala la kuoana imekuwa ni kama nyimbo hivi sasa na ndio maana sishangai kusikia mtoto mdogo anamwoa jimamaa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wapendwa hope wote ni wazima wa afya,nilisoma thread moja inayosema MATARAJIO YA MZAZI ANAPOSOMESHA MTOTO mletaji mada alikua akilalamika mama yake anataka hela nyingi hata kwa vitu visivyo vya...
0 Reactions
47 Replies
4K Views
wadau naomba mnisaidie mimi napenda masistaa duu sana ila kwa refreshment tu lakini kila napofanya juhudi kuwapata hata kwa pesa wanisumbua sana ila naambulia kupata walokole na watu decent...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Wadau wa humu habari za leo? Ni katika kubadilishana mawazo kuhusu haya mahusiano. Nimekuwa nikishangaa wife wangu hupenda sana niwe namsaidia kumfulia nguo zake za ndani aka chupi. Yupo radhi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Back
Top Bottom