Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wana JF, Kabla ya yoote naomba niwasalimu woote, wale tuliozoena tukututanapo hapa Jamvini, wale ambao ni wapya na wale wa zamani pia. It has been long kuja kujumuika hapa MMU hivo...
60 Reactions
525 Replies
32K Views
Kuna dem nachat nae na cm.. Kaniambia leo eti sauti yangu nzuri sana maskioni mwake.. Yani uwa anataka niendelee ongea tu nikimpigia.. Cjui nifanyeje nimekosa neno la kumjibu...sijawah ambiwa...
0 Reactions
72 Replies
5K Views
Enzi zetu sisi ndoa zilikuwa hazivunjiki! Mimi na bibi yako tumekuwa tunagombana lakini usiku ilikuwa lazima tupatane! Tukiamka asubuhi tu wapya mapenzi yanaendelea kama vile hakuna lililotokea...
2 Reactions
29 Replies
12K Views
Hili linaniudhi sana na linafanywa sana na wanaume, utakuta jitu limekaa sehemu ya biashara kama Cafe n.k Basi kwa kuwa ni mpenzi wake atakaa hapo muda mrefu, tena mwingine sio mpenzi ndio kwanza...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kuna girlfrnd wangu nadate nae almost 4 months now sasa kuna mshkaj wangu amenambia yule demu anatoa tgo me kila nikimgusia anasema hapend kabisa je! nifanyeje? ili nijue kama kweli
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Dhumuni la kutafuta Mpenzi ni nini..! nahitaji mtazamo wenu " tiririkeni sasa"
0 Reactions
11 Replies
2K Views
i have been always wondering why do hurt each other.if we all accept to b lovers at first day then why do we keep on changing later.aaaaaaaaaaaaa i real need to know guys
1 Reactions
2 Replies
880 Views
Je mwanamke wa kwanza kulala naye toka uzaliwe ni nani? Je mwanaume wa kwanza kulala naye toka uzaliwe ni nani?
0 Reactions
36 Replies
3K Views
galz yeyote wa kuchat nae kwny whatsapp ani-PM no yake....
0 Reactions
0 Replies
993 Views
Kweli haiwezekani?? Kuishi bila mapenzi (Kwa maana halisi ya mapenzi)? Ni kweli kuwa tunaishi katika nyakati ambazo maana halisi ya neno mapenzi imepotea au inachukuliwa kirahisi sana (Q-Chilla...
8 Reactions
159 Replies
10K Views
huyu kijana of 25yrs nimemkaribisha nyumbani kwangu tangu amemaliza chuo mwka huu.......ni kijana mstaarabu,mcha Mungu,mtanashati,mwanaume kamili kabisa kimtazamo na kimatendo...anaendelea na job...
3 Reactions
77 Replies
8K Views
Niliwahi kumsikia dada mmoja akieleza tabia za mwanaume anaempenda kwamba anampenda mwanaume mpole,mcheshi na asie na makuu aliendelea kusema kuwa mwanaume wa namna hiyo hata anapokuwa nae katika...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Habari zenu wana JF, naamini wote ni wazima. Husika na kichwa cha habari hapo juu, Mimi ni kijana mwenye miaka takribani 26. Mwaka 2006 nikiwa masomoni katika mkoa mmojawapo hapa Tanzania...
1 Reactions
36 Replies
5K Views
Wananipigia simu na sms kwa sana tu(nauchuna) Wananifata home(Nawacheki kwenye security cam, nauchuna au namwambia mlinzi amwambie siko/nimesafiri) Wananifatilia sana..........n.k Ama kweli...
10 Reactions
129 Replies
10K Views
Nilikuwa maarufu kijijini kuliko kawaida...(Picha haihusiani na habari hii) Ilikuwa ni mwaka 1999 baada ya kumaliza masomo yangu ya kidato cha nne na kuangukia pua ndipo nilipokuja mjini na...
6 Reactions
27 Replies
4K Views
Habari za siku mzuri ya ijumaa wanaJf, nafikiri mungu kawajalieni afya njema miongoni mwenu, Leo naingia kwa kutaka kupewa msaada wa mawazo ambao ndio thamani kubwa kuliko ule wa fedha. Shida...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani wanajamvi naombeni mnishauri katika hili jambo, kama title inavyojieleza hapo, mwenzenu napata shida sana kuhusu huyu mtoto. Ni msichana ambae tupo nae darasani, kwa kipindi cha mwaka...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Hi...........,mambo Tanzania,mada yangu ya leo ni kujisikia mwenye thamani jinsi ulivyo.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau kuna kitu kipya kimeingia mjini Kinaitwa Kitchen Mada ambacho kinawahusu wanawake tu, hii jambo nimelishuhudia Wik-end hii wakati nilipoenda kuhudhuria harusi moja maeneo ya Mbezi. Ile...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Zimbabwe’s Prime Minister Morgan Tsvangirai Saturday apologised for his affairs with two women whom he later dropped in favour of new wife Elizabeth Macheka, saying he did not mean to hurt them...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom