Unajifanya wa maana sana kwenye mabandiko yako wakati ukweli wa mambo wewe ni tapeli tapeli.
Hiyo tabia ni mbaya sana kwa sababu mwisho wa utapeli ni aibu.
Watu wanakusaidia kwa nia njema...
mara nyingi saana napata wapenzi ambao napenda kuwafanya wachumba lakin cha kushangaza ni kwamba hawajiweki tayari kwa ajili ya ndoa je hii nayo nashindwa kujua mchumba anakuaje? kama haanzii...
Habari zenu waungwana.
Leo nimekumbuka kisa cha siku nyingi kidogo. Ni binamu yangu
ambaye aliolewa na jamaa mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi
POSTA na SIMU kabla hazijajitenga.
Siku moja...
AMA KWELI DUNIA YA LEO SIYO KAMA TUIJUAVYO:
Nelson Mandela's grandson humiliated in love triangle scandal with French bride he broke the law to marry
Nelson Mandela's grandson and political...
Nilimpenda dada mmoja cha kushangaza tangu nimwambie i lv u, amekata na mimi mawasiliano sim hapokei, wala sms hajibu naumia sana bcoz nampenda mpaka najuta kwanini nisingeendelea na msimamo wangu...
Naomba ushauri wenu
Maswali yote yatajibiwa..?
Miaka 10 iliyopita niliwahi kuwa katika mahusiano ya mapenzi na kaka X nikiwa school
Baada ya shule tukapoteana yeye alienda nje na sisi kama...
Hadi leo naona kama ndoto.............!
(Picha haihusiani na habari hii.)
Nakumbuka ilikuwa ni mwaka 1991 wakati huo nikiwa nafanya kazi kwa mtu binafsi, Muasia mmoja. Nakumbuka katika mojawapo...
Za leo?i hope wote ni wazima wa afya...nashindwa kuelewa binadamu wa siku hizi tunafikiria nini.Siku hizi kuna tabia ambayo imekua sugu tena inakera.Unakuta watu kwenye mitandao ya kijamii na...
Lee Harvey akiwa na mpenzi wake Tracie Andrew
Tracie Andrew akiongea na waandishi wa habari kuelezea tukio hilo
Hata hivyo alitiwa nguvuni akituhumiwa kwa mauaji hayo
Maureen Harvey, mama...
Habari ndg zangu wadau wa JF, ndg zangu ni takribani miaka miwili ss naishi na mwanamke ambae nilizaa nae tangu mwaka 2006 kabla sijajiunga na chuo kikuu, baada ya kumpa ujauzito niliamua...
Ushawahi kuwa na mtu mwenye infatuation na wewe?
Usiombe uwe naye. Tena kwa mfano wewe ni mkaka mtu mzima halafu uwe na kasichana kadogo (kiumri) ambako bado hakana tajiriba kubwa ya mambo ya...
Je ni vizuri kua na usiri katika mambo unayofanya kwa mwenza/mke/mume/mchumba?Mambo hayo yanaweza kua ya
kifedha,kikazi,kimampenzi ama ni sawa kua wazi kwa kila jambo unalofanya ama...
Habari zenyu wadau,long time sijatupia uzi ila leo ninao,tusaidiane!!
Kuna binti rafiki yangu,tumefahamiana kitambo sana hivyo awapo na lolote huwa ananishirikisha,tunaishi mji mmoja!!aliisha...
Anderson Cooper's next set of tough questions could be reserved for his long-term boyfriend Ben Maisani after pictures of him surfaced kissing another man.
Maisani, 39, was spotted in a close...
mi ni graduate,ktk kutafuta Kali nimeshapatwa na masahibu mimi had nashindwa nifanyeje,yote ya kutakwa kimapenzi.hivi hay yataisha kweli?coz naona kama nimejichokea kwa sasa,
Baada ya baba yake kukataa binti yake kutolewa posa yangu kisa bado mdogo (22yr), mzazi huyo kaja na mpya anaitaji kwanza niende kwao waweze kunifahamu na hii ni baada ya binti kushinikiza...