Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimueleweje huyu mke wa jirani yangu. Mimi nimeoa na pia familia zetu ziko karibu sana ila simuelewi jirani yangu. Siku hizi anavizia nikiwa natoka asubuhi akisikia gari anatoka getini na...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Am 24 na my girl 21 Nampenda na cna mashaka juu ya mapenz yangu kwake. Nimejiuliza mara nying kikaona kiukweli nampenda mzur sana hasa tabia. Tatizo yupo serous anataka ndoa huwa tuna shindanaga...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
http://www.youtube.com/watch?v=9OXCStY7yXI Nimesikitishwa sana na taarifa hii, kama una PC waweza fuata link hii hapa chini na kuona jinsi Najiba (22yrs) alivyouwawa kwa kupigwa risasi mfululizo...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Wadau, Assalaam Aleykum ! Wewe ndugu yetu sote ni (ummat wa Mohammad) angalia mwenendo wa mkeo, kidogo si mzuri kuna Ofisa anaiharibu ndoa yako ni muda sasa. Fanya uchunguzi wako taratibu ...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
inakuwaje mwanaume anashindwa kuelewa hisia za mpezi wake, yani huyo mvulana anajifurahisha mwenyewe mkiwa katika tendo lile, unamuonyesha kila dalili kwamba hujaridhika ila bado, unaongea kwa...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Kuna mdada alikuwa anamwambia mwenzake "Mi mwanaume awe handsome tu inanitosha na mambo fulani safi basi ili nizae watoto wazuri, Tabia wala sitajali sana sababu wanaume wote tabia zao...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Umetoka nyumbani na mkeo, bahati mbaya mkeo kasahau pete yake ya ndoa. Mnafika mahali mmekaa we simu ikaita ukatoka kidogo kwa sababu ya kelele uliporudi ukakuta kuna jamaa anamtongoza mkeo...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
jamani,me mwenzenu nina hii hali huu ni mwaka wa 10 sasa,kuna dada nampenda sana but suprisingly yeye anampenda mtu mwingine.nisaidieni mawazo mwenzenu niondokane na hii hali wakuu.
0 Reactions
14 Replies
8K Views
Habari zenu wana Jf Leo nataka kushea pamoja na nyinyi mkasa flani ambao uliwahi kunitokea katika maisha yangu' Nikiwa nimetimiza miaka 26 miaka ya nyumba niliamua kuowa,kwa kweli mimi na...
8 Reactions
77 Replies
6K Views
Why is it so hard for folks to live up to it? Is it because we as human beings are inherently dishonest?
9 Reactions
107 Replies
5K Views
wana jf mimi na girlfrnd wangu tuna miaka mi tatu sasa,na katika mtandao fulani wa kijamii amekua akilitumia jina langu miaka mi tatu,hapo juzi ananiambia anataka badili jina aweke her real...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF. Hili jambo linanitatiza sana, nimeona leo niliweke hapa ili niweze jua na kupata pia mawazo yenu, mwanaume akipata gf mpya anamtusi yule wa zamani, tena baada ya muda...
1 Reactions
38 Replies
3K Views
Even if you’re not feeling fly like Bruno Mars, try and act like you are, but don’t try too hard, because that’s obvious and a turnoff We hear a lot about confidence as a key factor of...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Nimegundua dada zetu wa ki Tz wanavutiwa sana na wanaume wanoongea Kiingereza...haijalishi wa nchi gani. Pia huwa ni vigumu kukataa kama wakitongozwa kwa kidhungu.... ndo maana wakaka wa kikenya...
5 Reactions
72 Replies
6K Views
Mimi ni msichana nina 26 years, nina boyfriend wangu tumeanzana tokea chuo lakini huwa haonekani kunijali ananitafuta akiwa na shida zake za............, nilimsemaga akajirekebisha kidogo, badae...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Wana JF swali langu ni dogo tu ambalo naitaji ufafanuzi kutoka kwenu maana huwa sina jibu kuhusu hili swali je ni kwa nini Tunaoa/kuolewa?
0 Reactions
27 Replies
8K Views
Haya intimate names kama bby, b, d, darling, swry, kpnz, swthrt, na mengine meeeeeengi.....unaweza yatumia kwa mtu yeyote yule regardless ni mwenzio wa moyo ama la?!?! gf wangu anatumia sana kwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Enzi hizo ilikuwa raha kweli..........................
5 Reactions
49 Replies
5K Views
Heshima yenu wakuu.... Jamani mimi nakuja kwenu nikiomba ushauri wa namna ya kuishi na watoto wadogo hasa hawa wanaojifunza mambo mbalimbali. Kuna wakati watoto wanaweza kukuaibisha mbele ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwanzoni nilikuwa najiuliza kwanini asilimia kubwa ya Mabibi harusi huvaa gauni jeupe na si vinginevyo?katika kutaka kujua hilo;nikawauliza baadhi ya watu na majibu yao yalifanana,walisema...
2 Reactions
102 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…