habar zenu waungwana. naomba niwaulize kaka zangu, hivi mnapo sema 'sitaki kuwa na uhusiano na mwanamke yeyote' hasa baada ya ugomvi na mchuchu wako huwa mnamaanisha? Kuna dadanataka kuenda...
Ilikuwa ni mwaka 1999 baada ya kuwa nimetumikia shirika la umma kwa takribani miaka 20 nilijikuta nikiwa miongoni mwa wafanyakazi 70 wa shirika hilo tuliotupwa nje ya ajira kwa kile kilichoitwa...
Jamani wanajamii naomba mnisaidie nimeshuhudia wanawake wengi ambao hawajaolewa mfano Anna Makinda wanakuwa na maamuzi ya kibabe na yasiyo husisha busara tatizo huwa ni nn?
Jamaa kaletewa Laptop yakufanyia marekebisho na mpenzi wake anaetaraji kufunga nae ndoa nakuishi kama mke na mume.
Katika kuiwasha akagundua ndani ya cd drive kuna VCD ku play ni ya picha za...
Nazungumzia wanaume ambao hawajaoa na ambao wanataraji kuoa na au wanaotaraji kuoa lakini wanakatishwa tamaa na story nyingi hasi kuhusu ndoa.
Nimeandika haya kufuatia mazungumzo na baadhi...
habari za jumapili wapendwa, natumai wengi wetu tumetoka church na wengne tumepumzika na kuna wengne wapo mzigon km mie hapa. nisiwachoshe. . .
nimewahi kukutana na baadhi ya akina baba...
Habari zenu waungwana... nauliza inawezekana kumfanya aliekua mpenzi wako kuwa rafiki yako wa karibu wa kumuomba ushauri katika mambo mbalimbali ikiwamo masuala ya mapenzi? tiririkeni tu mi...
Siku moja kulikuwa na bendi moja ya taarabu wanatumbuiza eneo fulani,mimi si mpenzi wa taarabu ila kwa kuwa siku nyingi sijaenda mziki kutokana na mazingira nikaamua kwenda kuburudika.Katika usiku...
Leo nimeamua kuwaandikia barua dada zangu ambao wanatamani sana kuwa na mahusiano na wanaume lakini kwa bahati mbaya hawajabahatika kumpata anayewafaa. Kwa wale ambao wanaona kama muda unayoyoma...
To all the girls I've loved before
Who travelled in and out my door
I'm glad they came along
I dedicate this song
To all the girls I've loved before
To all the girls I once caressed
And may I say...
Kwanza napenda kuwapongeza na kisha niwape moyo, Kuoa ndio ishara ya dhati ya uanaume na pili ndio sifa halisi ya mwanamme mpiganaji, kuoa kuna kwenda na responsibilities nyingi sana, tena nyingi...
AMFUMA MKEWE AKIZINI NA MTOTO WAO, AWAUA
AMA kweli ukistaajabu ya Musa, utayaona ya Firauni! Msemo huu unakwenda sambamba na tukio la hivi karibuni la mkazi mmoja wa Kijiji cha Nghoboko wilayani...
LOVE is the strange bewilderment which overtakes one person on account of another person and LOVE can't endure indifference.it needs to be wanted.like a lamp,it needs to be fed out of the oil of...
.,habari zenu wana jf. nauliza kina kaka mkiacha kuangalia tabia, muonekano nk. kwa msichana, je ufundi wa mapishi jikoni huwa mnatilia maanani? au mnatizama sura tu, makalio na guu la bia
Ni mwaka 2011 kuna rafiki yangu niliefahamiana wakati nilipoenda Kigoma. Baada ya kusita kwingi akanihadithia kisa chake kinachomsononesha mpaka leo.
Aliishi na mke wake kwa muda wa miaka 3 na...
Kuna njia mpya inatumiwa na vibaka na wezi wa magari kutoweka kwenye mkono wa sheria kutokana na uhalifu wao. Wanakusanya vocha zilizotumiwa pindi wanapotelekeza gari au kutupa miili ya watu...