Wa kwanza ni tajiri yuko bize sana nyumbani anapatikana mara 2 tu kwa mwezi na utapata mahitaji yako yote. . . . . . Wa pili,tajiri yuko bize kiasi na anapatikana nyumbani kwa wiki mara 3 lakini...
Nimempa pesa nyingi sana..
Nimemlipia ada ya chuo..
Nimeingia chumvini...
Ufundi mwingi nimetumia...
Zawadi nyingi sana nimemnunulia...
Sehemu za starehe nyingi nimempeleka..
Na mambo...
Please nisaidie Dada! .ni kauli ya Meggy hiyo Kwangu.
Jamani mie namsaidiaje huyu rafiki ?
M & N Wamekuwa wapenzi for more than 5 years sasa long distance na wakikutana kila mmoja ana hamu...
natafuta msichana ambaye atakua anatumia facebook ili nipate kuchati nae, awe na sifa yoyote ile mi nipo tayari kuwa nae my facebook profile is www.facebook.com/mtaalam18
have you ever woken up so.. satisfied with the action you had in your dream and felt terribly embarrassed, guilty or scared??were you dreaming that you wre having sex or did you just wake up to...
Habari zenu wapenzi wa kona hii,
Nimekumbwa na na mkasa huu miaka sita sasa, nilimpenda dada huyu sana wakati nasoma pale udsm, yeye alikuwa famasist ubungo, nilikuwa nilitoka hosteli naishia...
Wanajamii mpo? Wameniozesha Dada wa mchumba niliemchaguwa!
Baada ya kukaidi wazee na kuowa mwanamke ambaye walihisi hakutulia,nilimfumania na bwana mwengine hivyo tukaachana. Kwa kufuata...
jamani nimepokea simu ya rafiki yangu akaniambia anatamani afanye maamuzi magumu lakini yuko kwenye dilemma anataka aachane na mume wake dilema iko kwenye mwanaye bado hajaweza kujitegemea...
ni kwamba nipo nje ya nchi kimasomo yapata miaka miwili sasa na nimeoa.huwa narudi kila baada ya mda fulani ili kutoa huduma kwa familia na kuepusha vishawishi kuingilia ndoa yetu. Mara ya mwisho...
Jamani la mgambo,''binti wa sauti apotea katika mazingira ya kutatanisha,chanzo ni facebook.''kisa kilikuwa hivi binti alikuwa anachat na mkaka wa naijeria mpaka kufikia hatua ya kuwa wachumba...
Habari zenyu Doctors and patience, nimeona hii article somewhere nikaona nije tushee pamoja, baadhi mnaweza kuwa mshaisoma, lakini si mbaya kama utairudia tena.
A doctor entered the hospital in...
Jamani habari zenu?mwenzenu yamenikuta jumamosi iliyopita,MY X kampiga jamaa yangu kisa anadai mimi bado wake..Ilikuwa hvi huyu x aliondoka Tz mwaka 2003 kwenda Italy akaniaga anaenda South Africa...
Nilishawahi sikia juu juu kuhusu kashfa iliyomuangusha John Edwards kisiasa huko Marekani. Leo nikiwa nimewasha TV yangu huku napiga kazi nimejikuta navutiwa kusikiliza mahojiano kati ya huyu...
Sasa mimi sipendi kabsa,
Hadi najikuta nasimuliaaaa, mara najisahauu na kujiachia kabsa!!!
Mind you leo mwezi wa 6 sijaona ile KITU , yupo seriaz!!!!!!!!!!!
Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na...