Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nilihudhuria harusi moja, wakati naingia nikakuta upande wa familia ya mwanaharusi mmoja wanacheza ngoma ya kikwao.. Japo walionekana kujitutumua na kuonyesha furaha, niliweza kusoma sense ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa wale ambao bado hawajaolewa hua hawaishi kuonyesha na kuelezea namna gani wanaume walivyo wabaya hata kufanya swala zima la kuingia ndoani kuwa gumu. Walioolewa hawaishi kulalama namna waume...
10 Reactions
89 Replies
9K Views
suppose una mpenzi wako but hajakutambulisha kwa ndugu yake yeyote then mkaachana..ameoa kabisa miaka imepita umekutana na ndugu yake kabisa kabisa baba mmoja mama mmoja yupo serias kabisa...
3 Reactions
71 Replies
8K Views
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili... natafuta rafiki jinsia yeyote mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama...
10 Reactions
132 Replies
9K Views
Wadau wa JF,
0 Reactions
10 Replies
2K Views
This blog is cool check it out on www.tanzaniastylers.blogspot.com
0 Reactions
1 Replies
3K Views
JF!Huku Singapore(songea)kuna dada kamkimbia mumewe hali ngumu.Mwnme kabahatka machimbo kaoa mwingne.Tuvumiliane ipo cku
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Wanajf,mimi nina rafiki yangu mmoja alikuwa na tabia ya kuiba waume za watu nimemkanya mara nyingi lakini akawa hanisikii sasa kakutana na kiboko yake kafanywa chizi kabisa anakimbia ovyo mitaani...
0 Reactions
54 Replies
5K Views
Wapenzi natumaini wote mu wazima. Nimekuwa nikisoma mawazo yenu hapa jamvini juu ya mahusiano na kujikuta nachanganyikiwa zaidi ya kuwaelewa. Picha niliyoipata kwa muda ni kutomfanya mpenzio...
9 Reactions
67 Replies
5K Views
Wana-JF,nikiri kuwa ni mara yangu ya kwanza kuandika kwenye jukwaa hili.Suala hili linamhusu rafiki yangu wa karibu aitwaye Eddock.Eddock alikuwa na mahusiano na msichana mmoja hapa jijini Dar es...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Je unampenda uliyenaeye??..........au unaendeleakumtafuta umpendae kwasasa??..........je utakuwa umemtendea haki huyo uliyenaye???.................au upokwake kwa sababu fulani?funguka......>>>>
0 Reactions
8 Replies
1K Views
habari wanajamvini, mimi ni mke wa mtu ambaye nina mtoto mmoja, kuna kaka mmoja tulimiti muda mrefu kabla yahata mimi kukutana na mume wangu ila tulikuwa marafiki wa karibu sana, mpaka nikawa...
0 Reactions
19 Replies
1K Views
It is said, 6 out of 10 girls are unhappy with the way they look. Je kuna ukweli wowote katika hili?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hii imetoka Redio One: NI hivi: Msichana mrembo ambae alikuwa akifuatwa na wanaume wengi aliamuwa kukubali kuanguka kwa kijana alieonekana amenona. Mapenzi yakanawiri na Kijana akitowa vyake ikiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Namshukuru Mungu kwa kuiona siku nyingine tena nikiwa mwenye afya njema..ila hili nililoliona leo asubuhi limenifanya kujadili njia nzia nikiwa naelekea kwenye mishe zangu..sijui ni ukali wa...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Eti ukimaliza kumdadavua anakwambia asante baby. Sasa sijui ile asante ni ya nini? Je kumchafua au?
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa kiume (39) niliye anza kuoa miaka tisa iliyopita. Mpaka sas nina wake wawili na kwakuwa inmani yangu inaruhusu basi sikuona kwanini niwe na mmoja ili hali dunia imejaa wanawake...
4 Reactions
55 Replies
4K Views
Wakuu, nilikuwa na mchumba wangu kutoka nchini kenya, lakini kwa yale niliyoyaona kwenye video hii, sina mpango tena naye. Fuatilia upate kufahamu nilichokiogopa. Mume apigwa na bibi Nyeri - YouTube
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jaman nahtaji mawazo yenu nifanyeje...nilibahatka kuwa na girl friend nkampenda tena sana kumbe mwenzangu ana ttzo la maumbile yaan sehem zake za siri hazna penetration hole....mwanzoni nilzan...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Salaam wanajamvi. Kama kawaida yangu nikitingwa na jambo nakimbilia Great Thinkers! Nimekuwa nikisoma malalamiko mengi humu jamvini kuhusu kuvunjika kwa mahusiano baina ya wapenzi au...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…