Leo ningependa kuwaambia wanawake ambao wanafanya kazi, ambao wameajiriwa katika kazi zinazowaondoa nyumbani asubuhi hadi usiku, huku waume zao nao wakiwa makazini kwa muda kama huo au zaidi...
Endapo utakutwa na hali hizi:
Umeingia katika ofisi au nyumba ya mtu na muda tu mwenyeji wako anapuliza air freshener?
Unaongea na mtu nayeye anaziba mdomo na pua yake kwa mkono au na leso...
( Habari zenu wanajamii,
Natumaini mu wazima na mko kwenye majukumu yenu ya kila siku katika kujenga taifa hili, kisha linakuja kubomolewa na wengine.
Any way that is not what I want to say though...
Yamenikuta wana MMU jana nilikua na ahadi na mpenzi wangu baada ya kunimiss mwaka mmoja na nusu,tokea mwaka 2010 Disemba,,jana tulitaka kupasua raha..daah..!
Nimefika Dar ninamwezi sasa,mimi...
Jamani PMU ni pata mimba uolewe.
Nimedanganyika mwenzenu mie, nina mimba ya miezi miwili, namwambia mheshimiwa juu ya huu mzigo, na kuanza michakato ya ndoa.
Cha kusikitisha bwana kaka ananijibu...
Ndugu zangu hapa jamvini naamini mko wazima kabisa! Kuna tabia ya kina dada ambayo inanichosha mno ya INVOICE. Nadhani kwa vijana wengi wa mjini hiyo term "INVOICE" imekuwa maarufu sana. Ukimtokea...
Kabla hujaamua kupeleka mahali kwa watu hasa kwa wale wasio wa kabila lako husisha watu kwanza...
Kijana mmoja chakaramu alimpenda binti kutoka mojawapo ya makabila yanayofuga ng'ombe sana maeneo...
Habari ya jioni wana MMU?, poleni kwa majukumu ya siku ya leo. Natarajia kuwa Dar ea salaam mwezi ujao.....so naomba kwa walio available na wanaoishi DSM wanipe kampani tu-hang out na kuenjoy life...
kwenye ndoa kuna makundi kama 5:
1. Walioolewa
2. Waliooana
3. Wanaolazimisha ndoa
4. Waliooa wanaume
5. Wanaotumikia ndoa
haya makundi ni ya wanawake ila wanaume pia
mmeguswa.
Hawa...
It is the beginning of the weekend and nothing out of the ordinary. Am just flipping through the channels on TV kama kawa. My husband and I live alone, in the outskirts of Dar es Salaam in Mbezi...
hellow g.t...jaman tumekuwa tukiomba jukwaa la urembo bila mafanikio, sasa nisaidieni hapa hapa...SHEMEJI/WIFI YENU KANIOMBA NIMPELEKEE CREAM NA LOTION NA SABUNI....But viwe ni vile vinavyofanya...
Jamani hii kali ndugu zanguni,ndani ya wiki hii mfanya biashara wa kike kampigia simu shoga yake na kumlalamikia kilio chake kua mumewe anamlawiti mtoto wake ambae kazaa na mume mwingine,ni mara...
Mwanamke wa Kiingereza ambaye amefanikiwa kuwa bikira kwa miaka 70 sasa yuko tayari kabisa kuolewa na kuondolewa ubikira wake. Bikira Pam Shaw, mwenye umri wa miaka 70 anasema bado vigezo ni vile...
Mwenzenu yamenikuta,house girl ame test urine 4 pregnancy nimetoka kazini ananiuliza ikiwa hivi majibu ni nini.Kuangalia majibu yenyewe positive kuonyesha kuwa ana mimba.
Kumbana amtaje...
ndugu zangu nataraji kupata jiko au mke wa kuoa sijui wenzangu ambao mpo katika ndoa naomba ushauri wa mambo gani nizingatie kwa huyo mke ili niweze mfaidi sio kujitui tena hyo ndoa.?
Hii imetokea mjini Babati jana,ambopo dada alishawishiwa na kaka yake kwa sh-50000,ambaye ameoa na mkewe alikuwa kasafiri!Ghafla mke alirudi ghafla bila yawao kutarajia nakuwakuta kama...
JF ni social media na kazi yake ni kupashana habari, kurekebishana na kujengana pia. Mimi kuna tabia huwa siipendi na kama kuna mwana JF anayo namsihi aache MARA MOJA. Na hii tabia iko zaidi kwa...
Hope your weekend is great!
Moja ya mambo ambayo nimegundua yana mvuto wa kipekee katika mahusiano ni mwonekano wa kipekee
(Distinctiveness). Kipindi flani nikiwa primary sikuwa naishi na mama...
asalam aleikuuum
mi ni kijana wa miaka 30...nina watoto wawili na wanawake tofauti...hivi nikiamua kulea watoto tu bila kuoa mwanamke mwingine jamii itanichukuliaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.