Ndg zng dunia ipo ukingoni,mkoani lindi kuna mama amchoma moto mtoto wake wa kumzaa kwa kumviringa nyasi kavu mikono yote miwili na kumuwasha, akamfungia ndani bila kumpeleka hospitali kwa muda...
Kwa kawaida wasichana hupata mafunzo ya unyago ndani ya nyumba siyo porini. unyago wa wasichana ni mgumu kuuelezea tofauti na ule wa wavulana maana mambo mengi hufanyika na wanawake kwa siri...
Ushoga sio jambo zuri katika jamii. Lakini je wawezaje kuwalinda ndugu kama kaka na wadogo zako wa kiume wasiingize huko. Na dalili za shoga ni zipi ili ukiona uanze kuwalindana kuwakataza mchezo...
Simon Matheri Ikere
Mwili wake baada ya kuuawa
Felister Wanjiru mkewe Matheri
Siku ya Jumanne ya Februari 20, 2007 ni siku ambayo haitasahauliwa na Wakenya wengi, na hasa Polisi wa nchi...
1.Kila siku kuingia nyumbani ni kuanzia saa saba usiku kama si asubuhi
2. Unakaa umenuna nuna bila sababu za msingi
3. Unalalamika mwenzangu haniridhishi unajuaje kama wewe unamridhisha ...
Kumekuwa na mijadala mingi ya kuwa ni sehemu gani hasa ambayo unaweza kukutana na mtu ambaye huenda akaja kuwa mke/mume. Katika mjadala huo kumekuwa na misemo mingi baadhi yake ikiwa...
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa...
Mamboz!kuna ctuation hapa:watu wawil wanaopendana bt the boy z 24 n the gal z 24 pia...their both graduates n wanafanya kazi:kinachomcmbua mwanamke ni je kutakua na ndoa kweli hapo? n kama ikiwepo...
Una mke wako wa ndoa ya Serikali/Kanisani/Kimila na huenda Mungu amewajalia mukapata mtoto/watoto. Lakini katika ndoa yenu mkeo anataka arudiane na mpenzi wake wa zamani. Unamwambia nikupe Talaka...
Nna Girlfriend wangu,yuko busy sana..naona kama naanza shindwa kuwa nae.msaada wandugu.Yeye ratiba zake zinabadilika at anytime.Mnaweza mkawa nae mnapata vinywaji.hapo hapo anapigiwa simu anaitwa...
Kwanza samahani kwa kutumia jina la kabila kwenye kichwa cha habari, nimeweka ili kupata maoni barabara sababu mitazamo ya kutorosha binti ili kumuoa inaweza kuwa inatofautiana kati ya kabila na...
Habari zenu wana jf,
Nimeoa na nina miaka 4 ya ndoa yangu, kadri siku zinavyokwenda napunguziwa dozi ya mapenzi, zilizopita ilikuwa 5 mpaka 6 per month sasa hivi ni 1per month na anakuwa mkali...
wana jf leo yamenikuta mwenzenu.
Jamani leo nimejikuta naharibiwa siku yangu na katibu tawala wilaya ya ...................... baada ya kurusha ndoana yake kwangu leo ofisi kwake. Loh...
Ni miezi mitatu sasa naenjoy maraha tele ya binti wa kitanzania aliye masomoni Netherland.
usiku tunajinafas vya kutosha kwa kuoneshana kila kitu.
Kwangu hoja ya distance relationship doesnt work...
Mwanamke mmoja raia wa Marekani amewashangaza wengi baada ya kuandaa harusi na kujioa mwenyewe kwa kula kiapo mbele ya kadamnasi.Mwanamke huyo kwa jina Nadine Schweigert mwenye umri wa miaka 36...
1. He makes me notice him because he looks good.
2. He makes my head turn because he smells good.
3. And now he has my attention I can watch his nails, hair and beard and he makes me smile...
wakuu mi nataka kujua kabla sijachukua maamuzi magumu pia sitaki nionekana kitofauti na jamii inayonizunguka, nataka jua kama huwa na lazima uwe na best man/woman kwenye harusi hasa ukumbini....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.