Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Uhuru wa kuwasiliana na marafiki ndugu na jamaa unapungua kwa kiasi kikubwa unapokuwa na mahusiano ya kudumu na mwenza wako, je ni sahihi kupoteza uhuru huu muhimu wa asilia?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Natumai wengi wenu mmelala kwa kua ni ucku mkubwa,bat kwa upande wangu naic ni mchana kwani ndio natoka kufua now nguo zangu,sitoweza kukufuru na mshkuru MUNGU sana na nautumikia mtihani wake...
0 Reactions
40 Replies
9K Views
guys wazima siku mingi sijatinga hapa ila sio ishu saaana ila jaman hebu tumsaidie huyu binti is one of my frend amempenda mkaka bila kuonana zaidi ya picha tu. Wamekua wakitumia mkaka kwao...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Mojawapo ya mambo ambayo yametokea leo ni kuwa baadhi ya wasomaji wangu wa Ulaya wamejaribu kuagiza kitabu cha "Majeruhi" kutokea Marekani na hivyo kujikuta wanalipa karibu mara mbili ya bei yake...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
1.Kuchoka katika ndoa – Kabla ya kuoa au kuolewa kila mtu alikuwa na shauku ya kufurahia ndoa.lakini baada ya muda mfupi wanandoa wamechokana na ndoa imekosa ladha.Wakati mwingine mwnandoa...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
ni muda mrefu toka tumeonana mara ya mwisho, Leo nimeonana nae lkn hanikumbuki kabisa.,me namkumbuka cz nili-fall kwake but I failed to tell her ,how I felt. Tumeongea kwa kirefu ,trying to...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Which category are you? TYPES OF HUSBAND THEIR CHARACTER TRAITS 1 Bachelor Husband These are men who Love to do things on their own without consulting their wives Love to hang a lot...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Wiki moja nyuma, tukiwa tunasafiri, mimi na wenzangu wa5 , (wote wanaume) safari tuliondoka asubuhi, na mpaka kufikia nyakati za adhuhuri, takriban wa5 kati yetu tulishapokea simu kadhaa za...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Ivi kupenda na kupendwa kupi kuna maraha?
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Nimejaribu kufatilia kwa wanawake wengi wote kwa makibila yote kumbe formula yao ya kulala ni moja chali!!haya mengine ni mautundu lakini for the first time lazima ananza kulalia mgongo mpaka hapo...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni Huko kenya, Mwenye mali alipopewa chake tu, mnato ukaisha. gonga link hiyo hapo kwa u-tube ku-view kisa na mkasa! na jee huu ni uungwana? Man Stuck Inside After Getting Caught with Someone's...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndoa nying zinaishi maisha ya kutoaminiana kwasababu ya mienendo ya wenzio wao, na hii si kwa mwanaume wala mwanamke! Swali langu kwenu wanandoa msio waaminifu ikiwa una wanaume wa nje au...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
nimekuja kumtembelea brother angu kwake hapa mara moja, huyu ndugu yangu ni player sana, alioa but ndoa haikudumu, so ana wanawake kila kona hapa mwanza, sasa nina siku sita tangu nifike hapa but...
0 Reactions
80 Replies
7K Views
The True Love Is Something That Everyone Wants To Feel!! Wakuu, suala la kupambanua mapenzi ya kweli ama ya uwongo ni suala la hisia na mtazami( its a subjective issue) kulingana na vigezo mtu...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Na wasiwasi ananiibia mume bora nimuachie kabisa. Nimepewa ujumbe niwaletee!
1 Reactions
52 Replies
5K Views
Kenya kuna mambo. Huyu ajuza kachoshwa na kupigwa kalenda na mpangaji wake ambaye anadai au kusingizia matatizo ya kifamilia yamemfanya kushindwa kulipia kodi ya pango. Ajuza alipoona miezi...
5 Reactions
50 Replies
10K Views
Wakat serikal na asasi zikiendelea kupiga vita utoaj mimba.Kabint flan mtaani flan kameumbuka,baada ya wk mbili kupita baada ya kutoa mimba.Kamejaza wa2 kwao baada ya kwenda kupima amejikuta...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
1. Kumfungulia mwanamke garia apandapo au kushuka na kumfunga mkanda kabla ya gari kuondoka 2. Kumshika mkono kwenye hadhara wakati wa kutembea e.g evening walk au kwenye ocassion kubwa...
1 Reactions
89 Replies
7K Views
Vitu hivi ni muhimu na kama mtu ukivishika utadumu katika mahusiano kwa muda mrefu sana 1.(KWA WANAUME) mwanamke anahitaji kuoneshwa kuwa anapendwa ukimwonesha hivyo kuwa unapenda basi hanaujanja...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
hii imenishangaza sana mdada mmoja kwenye kipindi cha wanawake live amesema eti wadada wengi siku hizi wanajiingiza kwenye mapenzi sio kwa sababu wanawapenda sana wanaume bali ni kutokana na...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom