Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Huyu mdada ni jirani yangu.. Alikuwa na ka mtindo fulani kila siku anamsifia husband wake ooh ndoa yangu ni imara na ni kama paradise ndogo Mme wangu hawezi kurudi saa mbili usiku kama waume...
16 Reactions
116 Replies
8K Views
WanaMMU salaam mbele! Ni hivi..Niko na mchumbaangu na huu ni mwaka wa tatu na Mwenyezi Mungu akijaalia huenda mwaka huu tukajitia kitanzi (pingu za maisha). Lakini wajameni kuna kitu...
1 Reactions
111 Replies
7K Views
Ikiwa imebakia wiki moja kwenda ukweni kujitambulisha na kutoa mahari, mtarajiwa anadai tupostpone our wedding mpaka amalizane na shule kwanza maana she cant handle the strees of finnishing...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Kiukweli nampenda, ila sasa ana mapepe sana, maneno machafu, sijui kakulia mazingira gani. Kumuacha inaniuma, Nikijaribu kumshauri anadai ndivyo alivyo! Nifanyeje?
2 Reactions
39 Replies
4K Views
A couple months ago, I got a new phone. Of all the good things I love about my new possession, is the fact that I get to chat anytime on WhatsApp. I must say the phone got me pretty excited and...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
kujipilizia perfume tele ni karaha hata kama perfume nzuri na bei kali. Perfume inatakiwa iwe wastani ili walio karibu nao wapendezwe na mnukio wako na wapende kuendelea kuvuta pumzi na sio kufika...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Nina mchumba ambaye tunategemea kuoana ivi karibuni ila hatujawah kuwa na mahusiano ya Kimapenzi..Nikiwa kwenye menstruation perion, naumwa sana tumbo siku ya kwanza, lakini ikitokea siku iyo...
1 Reactions
26 Replies
4K Views
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiona vibao vinavyoelekeza wapi palipo na msiba... Msiba unatokea sehemu fulani na waliofiwa wanachukua jitihada za kuweka "vibao vya matangazo" vinavyoelekeza ni...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Kama nilivosema nimeacha sex spesheli kabisa kwa kujiandaa kwa ndoa na mume ambae hadi dakika hii sijampata. Hadi najihisi bk kabisaa. Of coz kuna promising kandidets, hivo bado nafanyia kazi...
9 Reactions
185 Replies
13K Views
Ndugu wana JF, heshima mbele. Napenda nimshukuru Mwenyezi Mungu kwa Neema na Rehema zake kwangu mpaka sasa. Nimekuwa nikisikitishwa sana mpaka nashindwa hata kutoa mchango wa kimawazo kwa wana...
1 Reactions
115 Replies
9K Views
Wanauchumi wawili David Anderson na Shigeyuki Hamori wanasema kwamba wale wanawake ambao wanapotongozwa kwa mara ya kwanza huwa wagumu hata kama wanapenda, huwa wanaonekana kuwa na thamani kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za Asubuhi wanaJF.nimekuwa katika swali kila siku kwamba Furaha zaidi upatikana ukiwa Singleau ukiwa kwenye inrelationship.Jamani wanaJF Msaada zaidi kwa hili?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wanajamii f, leo naomba tuwekane sawa kuhusu mavaz ya night dress kwa wanawake, ni sahihi kwa mwanamke aliye kwenye ndoa kuvaa nguo wakat wa usiku tena suruali ya jinsi au vinginevyo kila siku kwa...
0 Reactions
69 Replies
11K Views
Mkasa huu nilisimuliwa na rafiki yangu nilipoenda kumtembelea hospitali miaka miwili iliyopita.Ni mkasa wa kweli ila ni watu wachache waliousikia na hata wale waliousikia wengi hawajui hasa nini...
1 Reactions
23 Replies
33K Views
Wakuu naimani mu wazima. K wa mara ya kwanza najitokeza huku kwenye MMU ningependa kujua hivi inawezekana kwa mwanaume au mwanamke kuandika sifa za mchumba anaye mtaka na kumpata kupitia safu hii...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ni binti mzuri kwa sura pia kichwani yuko vizuri........Ni rafiki yangu sasa yapata miezi saba. Tumekuwa tukipiga story mara kwa mara tunapokutana. Kwa sababu ananiamini na kunichukulia kama...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Kila mtu anatamani kujua kama mke/mume,mpenzi kama anampenda na pia anampenda kiasi gani.Bahati mbaya huwezi kujua KAMWE,utapoteza muda wako bure.Mpaka unaenda kaburini hautojua.Kwanza...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wanawake mna matatizo gani na simu za mkononi? Kwanini mnazigeuza kuwa simu za mezani. Hii haina cha mwanamke msomi na mbumbumbu, mfanyakazi na mkulima/mfanyabiashara, mbinti na mmama, mkurugenzi...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Jana nilikuwa napata mbili tatu za baridi na jamaa yangu, katika maongezi akaniambia hana furaha ya ndoa yake. Mke wake ni anapenda pombe, analewa na watu mbalimbali anawaita 'friends', hana muda...
0 Reactions
135 Replies
14K Views
Back
Top Bottom