Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ktk jamii nyingi kumekuwa na malalamiko mengi juu wapenzi wengi kutokuwa waaminifu kwa wenzi wao juu mahusiana ya kimapenzi, hii inatokea kwa wapenzi, wachumba na hata wanandoa. Wengi wamekuwa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Swali hilo hapo jamani naombeni majibu.
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Nimeikuta mahali hii nikaona tushee japo mimi hainiingii akilini sana kuna K inajisafisha yenyewe. Habari zenu kina dada, mama na wadogo zetu. Tungependa ku-share nanyi kuhusiana na jambo moja...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
heshima kwenu wakuu, ushauri wangu ni kuhusu mapishi na mapochopocho mnayotupikia hasa kwa sisi watu wa hali ya kati na chini. wanawake wengi hawana ubunifu katika sekta nyeti ya mambo ya jikoni...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Msemo huu ukiuangalia kwa upande mmoja ni kweli tupu ila ukiangalia maumivu wanayopata waliopoteza lovers wao unaona una walakini... Mfano ni kama mtu alikuwa amezoea kula nyama mbichi, huyu...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Picha hii haihusiani na habari hii............. Ni kidonda kikubwa cha hisia, lakini nimemudu kukiponyesha na sasa limebaki kovu tu ambalo halina mauamivu kwangu. Kidonda hiki cha kihisia...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
jaman mwenzenu nahisi nimesingiziwa mtoto maana nafanana nae vidole tu, nahisi hio ni coincidence.... Mana huyu mama yake hakuwa mtulivu sna... People!!!!!!! DNA ya bei rahisi ni sh. Ngapi?
1 Reactions
81 Replies
11K Views
WIFE: I wrote your nameon sand it got washed. Iwrote your name in air, it was blown away. ThenI wrote your name on my heart & I got Heart Attack. HUSBAND: God saw me hungry, he created pizza. He...
3 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeolewa miaka saba iliyopita, ila mpaka leo sina hakika kama mume wangu ananipenda kweli au la. Amebadilika mno. Kwa miaka 5 hivi hajawahi kuniambia 'i love you' au kunitajia kitu chochote...
1 Reactions
32 Replies
5K Views
Eti wakuu,umemfukuzia gal tangu 2008,anakuja kukubali mwaka 2012,haya ni mapenz au ni huruma tu jaman?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
kuna jamaa namfahamu ameshaoa, kaniambia kuwa ni kawaida ya wanandoa kucheat. Nimepatwa na mshangao kwa hiyo hata mie nikingia kwenye ndo mume wangu akicheat nione ni kawaida tu
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna jamaa yangu/rafiki yangu kipenzi ana hali ngumu nyumbani kwake ikanibidi niamue kuingia JF kusaka msaada wa ki-mawazo,ijumaa jioni jamaa alipotoka kazini alipitia sehemu akapata Bia zake tatu...
0 Reactions
70 Replies
5K Views
Hivi kweli wanaume wasingekuwepo duniani je dadazetu mngejipamba?? Kwanza hata sijui maisha yangekuwaje.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu, Utafanya nini ili kumfanya mpenzi wako ajione the only girl/boy in this world na pia akuone wewe ndo the best guy he/she had in this world, If umepewa masaa 24 tu! ya mwisho afta that...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kunajamaa yangu kamuazima rafiki yake gari,jamaa kamchukua g/f wakaenda kuvinjari nyumba ya wageni,mbeya mmoja kapita yale maeno kaliona gari analifahamu kampigia simu yule mke wa mwenye gari uko...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
nimejikuta najiuliza hivi urafiki na mapenzi vinahusiana? Unaweza muomba mtu awe mpenzi, je unaweza omba mtu awe rafiki? Au urafiki ni kitu kinakuja chenyewe tu kutokana na vionjo/tabia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ilikuwa ni siku moja Kibaha na mimba ikatungwa sawia. Mama akaiba redio nikimwona, asubuhi akasema ni binti. Picha ikaletwa kimzaha, lakini hali ikabadilika ghafla sana...
7 Reactions
28 Replies
4K Views
Mabinti muwe mnauliza! Unapopigwa chini na usichunguze kujua sababu then ukakimbilia kwenye mahusiono mengine.... Jumapili mi bachela, sipiki, nikitoka church hupendelea kutafuta sehemu nzuri ya...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Nimfanyaje uyu demu? Maana pamoja na awazachu mtu, ushauri una nafasi jamani. Je; nikumuambia hiyo tabia sipendiiii au utafanyaje kuondoa hii kero. Eti ''nataka nikuone ninashida kuna kitu nataka...
1 Reactions
23 Replies
4K Views
Kuna dada nafanya nae kazi na mtu wa nyumbani, kuna kipindi aliniambia amepata mchumba na aliomba ruhusa kwenda kujitambulisha kwa wazazi wake. sasa ni miaka miwili, jana nilimuuliza vipi mnafunga...
0 Reactions
32 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…