nusu saa iliyopita nikiwa na rafiki yangu maeneo ya magomeni makuti kumetokea tokio ambalo limeniacha mdomo wazi.Ni kijana smart umri 20-25 moja kwa moja alimfuata rafiki yangu na kumpapasa...
Kwanza naanza kwa kuwapa wanajamvi salamu zangu
leo nawapasha mambo yanatupata mitaa ya kawngu
Mwenzenu nilipopanga kuna gesti bubu jiarani yangu
Napambana na majaribu makubwa acheni tu ndugu...
Habari ya kazi wa JF?mimi ni mwanamke wa miaka 28 nimeolewa na nina watoto wawili wa kike wa kwanza ana miaka 6 na anaemfuta ana miaka 4,juzi nimegundua mume angu kazaa mtoto mwingine na mwanamke...
Mwanaume kimaumbile hataki kuona aina ya mashindano na mke. Anapogundua kuwepo kwa aina ya mashindano, huwa anajitahidi sana kuhakikisha kwamba, anashinda. Katika juhudi yake ya kutaka kushinda...
habari zenyu bhana!
Hii ni story ya kweli na wala si ya kutunga.... Kwanza naomba niwape majina hawa wahusika ili twende pamoja. Kuna mkaka anaitwa Juma na mdada anaitwa Fatu na pia kuna mdada...
Wanajf naomba msaada wenu! Eti ni goli ngapi natakiwa kufunga kwa siku? Napata shida maana ndo kwanza nimeanza hizi mechi baada ya kuwa bize sana na kitabu. Nina miaka 28 ila sina uzoefu na huyu...
poleni na majukumu yooote, habari za masiku tele, naombeni msaada wapi naweza kwenda ( dar) kwa mashindano kama ya kuogelea, cycling, or running event, please like kila week or mwezi, au kama...
Natumai muwazima wanajamii. Ila kuna kitui kimoja nipo nacho chuo sikielewi kihivi. Nikiwa mbali nacho kinanitafuta kwenye cm na kina tuma sms nyingi sana pia twaweza kujadili mambo mengi hata...
duuuuuuuuuuuuuuuuu, hivi ni kwanini wavulana na wasichana walio soma seminari huwa wanacharukia mapenzi baada ya kujichanganya na wanajamii, mfano, wanapo jiunga vyuo vikuu huwa vicheche sana...
Msaada wajameni Mwenzenu NIKIONA mr&Mrs wameongozana hapo hapo naanza kutamani Mrs wa mtu,
Yaani sasa hv nawatamani sana alafu nahisi kupigika.
Msaada wenu jaman
Duuuuu...
Hiki kisa cha maisha yangu ya MMU nikikaa pekee yangu, naishia kuchekaa!!! Kweli wanawake wanaweza, nawaheshimuuuu bana, kongosho, smile, mwali,.... Mko wapi???
2007 nilikuwa na gf...
Anatambulika kwa jina la ukoo wake mashau wengi hupenda kumwita mashauzi kutokana na yake maringo,sura ya mviringo yenye kuambatana na vishimo mashavuni na macho ya kusinzia akikuangalia waweza...
Ni best angu leo tulikuwa tunapiga nae story hapa dah sasa ndipo aka anza kuniambia kutongoza mwana mke mpaka awe kwenye lini ni kaz kubwa na ndio maana ikawekwa kwa wanaume jasiri coz ukichek...
moja haikai mbili haikwendi, tatu ndo kabisaaaaaa................, chief tete imegoma, popo kaning'inia haitaki, za kichapego hazikwendi.....wife anakitambi, mimi nna kitambi...
Kuna jambo ambalo huwa linanisikitisha sana ninapohudhuria baadhi ya misiba, jambo hilo hunifanya hata nitokwe na machozi hata kama wahusika wa msiba si wa2 wa karibu. Jambo hilo nimekutana nalo...
Guys!!i have been talking to this chick for the last couple of mounths and i talk to her every single day,she knows that i love her and would seriously do anythng she asked me to do if i could do...
Tulikuwa kwenye kikao kidogo cha wazee kijijini na tukawa tunazungumza mambo mengi. Kama kawaida mambo ya watu kucheat yakajitokeza mara moja kwanza ilikuwa hoja ya "kina nani wanacheat zaidi kati...
wana jamvi wenzangu, kuna jirani yangu hapa anamtafutia mwanae wa kiume mchumba. Kijana mwenyewe ni taahira but kwa tetesi hali hii aliipata ukubwani tena baada ya wazazi wake kutaka utajiri hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.