"Mwambie yule rafiki yako asipende kunizoea, mwambie mimi siyo Malaya. Yaani mtu anajidai wewe ni rafiki yake, halafu anakuja kunitongoza…………!"
Hebu tuchukulie kwamba...
:)
INFO:
A solid product that focuses on ways to use humor to become attractive to women. Filled with good material and examples, "Make Women Laugh" can be helpful if you are interested in...
nilikua na girlfriend ambaye wakati wowote ambao yeye alinihitaji kwa ajili ya sex alikuwa anasafiri kutoka mkoa anaoishi kunifuata nilipo na kupeana malavi davi. Aidha mm nikimuhitaji alikua...
jaman nawasalim kwanz habar z nyie ! nahtaji msaada wen ju y hili nna miak 25 nnampenz wangu lakn anampenz mwngne nje y mkoa nilijua hli baada ya kumchunguza sana nilpomuulz alinihakkshia n kwel...
jamani samahani kidogo wanaJF ila tu ni katika hali ya kujuzana mambo 2 ma3 ya kijamii,hivi kwa mfano mtu akaenda kusex kwa kutumia kinga(condom) na tahadhari zote za ziada kama vile kutoingia...
Mchumba anapochumbiwa hiyo nayo huwa ni ahadi.....
Ahadi inapoota mbawa aliyeahidiwa huachiwa maumivu.......
Mwaahidi aweza kuwa na sababu za kigugumizi lakini...
Mwathirika wake hataki kusikia...
Salut wana jf, katika maisha ya kila siku swala la kupenda na kupenda ni jambo la kawaida na ni mingmi mwa mahitaji muhimu ya mwanadamu. Katika kumpenda mtu au kitu naamini kabisa lazima kuwe na...
Mamboz?, leonataka kushare nanyi changamoto nilizokumbana nazo tangu nimejoin jf. Binafsi naaminichangamoto zinasaidia kutujenga kiakili na binadamu wote tunapitia challengestofautitofauti...
Nimejaliwa miguu lakini hips sina, nina mpango wa kununua spandex yenye sponji za kuongeza hips.
Nimejaliwa macho makubwa na mazuri, shughuli ipo kwenye kope, ka vile hazipo, nina mpango
wa...
Iwe umeoa/umeolewa, iwe ni wachumba wa muda mfupi au mrefu, yanapotokea baadhi ya mambo haya (na mengine), ujuwe kuwa uhusiano wenu uko matatani na iko haja ya kutafuta ufumbuzi haraka.
1...
Msiniite mbea na sipigi chuku wala sifanyi fitna………………….
Week end hii, nilimtembelea mzee mmoja ambaye nilitambulishwa na rafiki yangu anayeishi mkoani...
Natumai wote tu wazima kwa uwezo wa mola.....:wave:
Kuna jambo huwa nikikumbuka linanifurahisha sana japo siku ya kwanza nilipata mshituko kidogo.
Home kulikuwa na housegirl aliezaliwa 1994,katika...
Habari zenu wanajamvi,
Leo mchumba wangu wangu amenifanyia suprise ambayo nimejuta kumfahamu!
Mchumba wangu (yuleyule tuliyekuwa na problem naye back then-sasa hivi mambo supa)
ni graduate wa...
Salaam wana JF! Kwa sasa tatizo la "mpango wa kando/nyumba ndogo" limekuwa likiota mizizi kiasi kwamba linaonekana kama ni tabia ya kawaida kwa wanandoa na watu walio kwenye mahusiano. Tatizo...
Mwanadamu alivyoumbwa ni mwepesi kughafilika na kupagawa...
Hupenda vya mvunguni lakini masharti yake hayawezi........
Hupenda vya kunyonga lakini vya kuchinja huvikwepa.......
Hupenda vya...
kuwa na msichana anae kuomba omba pesa au sijui umuongezee salio kwenye simu yake!!utadhan wee ndio mzazi wake bana..badilikeni wote wenye hako katabia,kama mtu anajisikia kukupa,atakupa mwenyewe...
Ama kwa hakika kweli kufa ni kufaana kikabisa-kabisa
Yawaje haya yawasibu wajane ambao kilio chao ni kanisa lao?
Nilifikiri wajane ni wa kuwaangalia kwa jicho la huruma.,.
Kumbe huyu Baba Askofu...