Mtaalamu mmoja wa mahusiano na malezi, Dk. Grace Katterman, katika kitabu chake maarufu kinachoelezea athari za Ghubu kiitwacho, Verbal Abuse, anaelezea uharibifu wa tabia unaoweza kusababishwa na...
Trust Me, Amri ya sita ingesema "ZINI KWA NGUVU ZAKO ZOTE, AKILI ZAKO ZOTE na MOYO WAKO WOTE tena KWA IDADI YA WANAWAKE/WANAUME UTAKAYOWEZA"
hakuna mtu angezini while now inasema USIZINI ila...
Wadau,
Kuna mpemba mwenzangu kaoa huko kaskazini mwa tanganyika.
Anajuta sana, anasema mke wake ni mtanganyika,
hajui marashi ya karafuu,
hajui udi ni nini anaweka kwenye friji,
hajui miski...
Katika maisha yangu nimeshuhudia wanaume wengi wakiwasaliti wapenzi/wake zao, na pindi wapenzi/wake zao wanapogundua wengi wao huwasamehe na maisha huendelea. Lakini kosa hilohilo(usaliti)...
Mwalimu Nyerere alisema kuna maadui watatu (3) wa maendeleo ambao ni ujinga, umaskini, malazi,....katika kizazi cha sasa ameibuka adui mwingine - MAPENZI......!!!!!, refer KANUMBA death.
> JE...
Wadau nimeshuhudia hii kitu leo jamaa alikua na demu wake kumbe huyu demu alikua na mwanaume lakini alijibadilisha jinsia na kua mwanamke. Kitaalamu watu hawa wanaitwa Trans Sexual.
Jamaa...
Habari zenu wakuu!
Siku kama ya leo mnamo mwaka 2010 nilipoteza baba yangu mzazi ambaye aligongwa na pikipiki na kufariki.
Nakuombea kwa mungu babangu mpendwa..
ndetichia
Hiki ni kisa cha kweli, na share nanyi..
He Borrowed A Car For His Wedding And Lost His Wife To The Car OwnerA YOUNG MAN IN EASTERN NIGERIA, WAS PLANNING A WEDDING AND BORROWED A FRIENDS...
Ndugu wana MMU
Kwanza niwaombe samahani wapenzi wangu wa jamvi hili. Nilipotea kidogo. Baada ya kutoka Loliondo kwa babu nilipitia Arumeru kumuuguza kaka yangu, Baba Sioi; na kisha baada ya msiba...
Tufanye mathalan ulipata nafasi ya kwenda kujiendeleza kimasomo nchi za magharibi katika kutafuta shahada ya uzamivu, muda wa shahada ni miaka 4... shule yako hiyo haikuruhusu kurudi nyumbani...
Habari za wakati huu wakuu wangu!ebana wiki iliyopita nilitoka na dame mmoja hvi,asa kutokana na mazingra niliyokutana na huyo gal,iliniwia ngumu kukumbuka suala la zana {condom},coz nilimtembelea...
Binafsi naamin hakuna linaloshindikana kama utakuwa na tabia ya kuwashirikisha wenzio mambo yanayokutatiza. Naombeni ushauri nifanyaje ili kumuacha mpenzi wangu bila kuumiza moyo wangu, wala...
Katika hali ya kawaida kabisa, kama wewe ni mwanaume na unataka kuoa, ASEEEE JIANDAE KWA MAMBO HAYA:
1. Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo mtarajiwa...
Ninamuda mfupi sana katika eneo nililohamia...hapa ni pahala pa wastaarabu sana, alinikaribisha kwa upendo sana nami nilimpokea na kumuelewa kama dada yangu wa dhati... ila mara nimechoka...
Ujana kweli una utamu wake...............alipokuwa kinda akaolewa kwa ndoa ya mkeka alishangilia na kuweka dole gumba lake kwenye "huenda ikawa ndoa ya wake wengi"...aliyafanya haya yote...
My Irenerose
Ni mrefu lakini si mrefu sana,
Ni mwembamba lakini si mwembamba sana,
She is of medium Size,She is My Alizee of La Isla Bonita
Ni mweupe lakini si mweupe sana,
She is modal,She has...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.