Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

..........................................
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Kwa wale tuliozaliwa katika mazingira ya kitanzania halisi, mtakumbuka wakati wa utotoni wazazi walikuwa wanam-refer mtoto flani mwenzio kama 'mchumba' wako au wewe mwenyewe ulikuwa unatreat...
0 Reactions
65 Replies
6K Views
Habari wadau, jpili imekwendaje? Anyway jana jmos nilikuwa naskiza Radio One kipindi cha watoto. Kama kawaida moderator naye ni mtoto. Ikawa kipindi cha methali, katoto kamoja kakapiga...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Watu wanafurahia kupendwa na wanapenda,lakini wapo wanaopendwa na vichwa vinakuwa vikubwa na kujisifia kuwa wanapendwa na kujisahau kabisa kuwa nao wanahitaji kurudisha upendo,uhusiano wa aina hii...
3 Reactions
37 Replies
3K Views
Hay vijana wenzangu mm nina umri wa miaka 25 nimemaliza elimu ya kidato cho 4 na mfanya kazi ktk componcy za mahoteli nimeamua kutafuta mchumba wa kike mwenye umri ucopungua miaka 24 bila ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
My sweet husband I love you. You are the nice and sweet husband I have ever seen. I do always thank God for giving me such an outstanding person to be my husband and the father of my kids...
3 Reactions
41 Replies
3K Views
Wadau habarini za usiku. Muda mchache tu uliopita nimetoka kwa swaiba wangu nyumbani kwake ambapo alinita nikajaribu kusulihisha kadhia iliyokua imetokea baina yake na mkewe. Kadhia...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
In the world of romance, one single rule applies: Make the woman happy. Do something she likes & you get points. Do something she dislikes & points are subtracted. You don't get any points for...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Nimepoteza mapenzi kwa huyu binti na sijui kwa nini. Ni mzuri kwa sura na umbo, kakamilika kila kitu. Nikikiri ni demu kali kati ya mademu niliowahi kuwa nao. Ananipenda naamini, hajakaa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Yaani huyu jamaa kamuoa dada yangu kabisa.. Jana jioni kanipigia simu, bwana shem njoo hapa- (hotel moja maarufu city center) tupunguze foleni. Nilikua na kiu kwelikweli dakika sifuri nikawa...
2 Reactions
88 Replies
7K Views
tunaishi nae compound moja ana mke sina muda nao kabisa kabisa one day nikatoka kwenda shop akaniomba no maana linaweza kutokea tatizo kama jirani tusaidiane nikampa from there kila siku...
7 Reactions
64 Replies
4K Views
Wandugu, Mwanzoni wakati nikiwa sekondari(o levo) ndo tatizo lilipoanza......wanaogopa sana mazoea na mimi...sikujali sana make sikuichukulia serious....... Nikaja advance,bahati nzuri nilisoma...
0 Reactions
54 Replies
7K Views
Wanajf wenzangu, leo naadhimisha miaka 30 tangu nizaliwe. Nawashukuru sana wanajf wote maana napata mengi humu ndani.
0 Reactions
6 Replies
908 Views
MLIWEZAJE KUKAA PAMOJA KWA MIAKA 65??? "Tunatokea katika kipindi ambapo kama kitu kikivunjika tunakiunga, na sio kukitupa." Imekaaje hii wakuu kilinganisha ni hiki kizazi cha ‘dot...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Hivi jaman jana yamenikuta ya kunikuta nikanyimwa hadi 2nda la kati eti kisa wakati nimenogewa na mashamsham ya maandaliz ya kuingia mchezon si nikatia kidole kwenye 2nda lenyewe WEE!! demu...
0 Reactions
51 Replies
5K Views
Habari zenu, mimi na huyu mwanamke tuko hapa Aman-Jordan tumefika hapa mchana tukitokea dubai tulipokutania yeye akitokea Dar alinikuta Dubai kwa vile yeye aliniambia nitangulie ili nimtafutie...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
  • Closed
Kwenye sentensi nyingine, Ray ameamplfy kwamba “kwa hiyo anataka kuwadhihirishia watanzania kwamba Ray ndio anahusika na hicho kifo, baada ya hilo nimeshirikiana na polisi na kushitaki na...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
alikuwa demu wangu, akanitosa, akaenda kwa sharobaro..akatendwa akarudi kajaa..analia..nikamsaidia akaiachia..akawa huru tena...ikapita miezi miwili..nikiwa namsaidia matumizi..akapata nwingine...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Ni mara nyingi najiuliza ninani anapaswa kusema asante kwa mwenziye wanapomaliza ile kazi kubwa ya wawili wapendanao mume na mke,bf na gf nk namaanisha tendo la ndoa na asante inaweza kuwa...
0 Reactions
56 Replies
6K Views
Back
Top Bottom