Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Rais Jacob Zuma ametangazwa kuoa mke wa sita. Kwa sasa ana wake wa ndoa 3 baada ya ndoa nyingine 2 kusambaratika. Pamoja na huyu mke mpya ambaye umri wake ni mdogo kuliko baadhi ya watoto wa Zuma...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wan jf nambïen kama nikweli ktk mausiano ya mapenz kusema" wanaume wanawachezea mabint/wamawake"....
0 Reactions
5 Replies
882 Views
I'm sorry, did you just say I'm too young for so much grey hair? Parents are careful about what they say to their kids. They even pay attention to questions they might pose to their childfree...
1 Reactions
1 Replies
941 Views
Nawaza, ndoa nyingi tulizo nazo ama zimepangwa au watu wamependana kiukweli. Kwa mfano watu wanamuona uliyempenda haja 'qualify' na wewe wakikulazimisha umuoe/uolewe na wanaomuona ka'qualify' wewe...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
  • Closed
Wachaga wanapenda pesa, Wahaya Usomi na Majigambo, Wakurya kupigana na kupiga, Wapare Ubahili, Warangi wana sifa Gani? Tujuzane jamani?
0 Reactions
69 Replies
68K Views
It Is an open secret that certain nightspots in Kuala Lumpur where foreigners gather are known to be pick-up joints for women of certain nationalities. But there are now complains that there seem...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kijani rijali ukishavuka umri wa miongo mitatu bila kuoa au kuwa na mtoto unasakamwa huko na kule. 'Hivi mwanetu utaoa lini?', utaulizwa na wajomba na shangazi zako. 'Yaani unataka tufe kabla ya...
1 Reactions
40 Replies
3K Views
Niko na binti tumejuana sikuchache zilizopita juzi nikawa na date naye lakini ivi nimeamua niachane naye bcoz of 1.alikuwa kavaliaa na kujipodoa zaidi ya haja, mdomo kapaka rangi kupita kiasi...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Umefungua laptop yako na mara unajisikia kutembelea jukwaa la kikubwa baada ya kujiunga kwenye mtandao wa JF, Wkati unachungulia picha moja baada ya nyingine mara wife yako anatokea na kuanza...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Kupata msichana mwenye akili za kimaisha,kimaendeleo na anaeweza kukukosoa unapokwenda wrong ni raha sana. i love my beibe!!..
2 Reactions
68 Replies
7K Views
Mara nyingi hutokea mtoto anayezaliwa nje ya ndoa huwa ni wa baba tu wa mama tunampataje?MAANA YANGU NI HIVI MTOTO ANAJUMUISHWA KWENYE HUYO FAMILIA JAPO HUTOKEA KUTOKUELEWANA KWA BABA NA MAMA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hali tete,wife kasafiri,mwenye nafasi jamani tukasaidieni kidogo,ani pm tuoeane maelekezo zaidi!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hii Alhamis kuna rafiki yangu kaoa, lakini matatizo mke wake ni kikojozi ana jikojolea kitandania sasa afanye nini. Mimi nimemuambia avumilie tu, ule mkojo wake unaweza kuwa dawa kwenye mwili...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Eti jaman,nyie hawa mabinti mnawezaje kuwahandle?maana mie huyu kipoozeo wangu hata simuelewi,kitu kdogo kananuna cku nzima,mkiongea hvi leo,kesho kamechange,yan kila kitu kwake ye kiko...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Ways to make her smile 1.Stay off your phone while with her 2.Send her a cute good night txt while she is asleep so she wakes up with a smile on her face. 3.Disrupt her concentration with a...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Hii nimeipata mahali. sijaitunga mimi. Kuna tukio nililiona MAISHANI: Acheni niwape heshima iliyotukuka wanawake woote; IMAGINE: ANAKUFUMANIA: Analia, ananyamaza...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Ndugu zanguni mimi niko chuo kimojawapo mkoani morogoro. kuna binti niliyetokea kumzoea then nikafall in love nika mweleza akasemahaiwezekani coz she is in love ready nikatulia ila bado mazoea...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
nimetokea kumpenda binti mmoja ivi yoko moro na mimi niko dar ila huyu binti ana ujauzito wa miezi 5 aliopewa na mchumpa wake wazaman kiukweli maisha yake ni magumu sana kwani ana mtegemea mama...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, jamani leo mida ya jioni tunaenda kutoa mahari maeneo fulani kwa kabila la wamakonde, kijana anayetaka kuoa ni mhaya, sasa kituko ni kwamba, huyo mtolewa mahari hayupo, yupo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapendwa pamoja na harakati za maisha,tumkumbuke aliyetuumba maana hakuna anayejua saa atakapoitwa.nawatakieni jumapili njema.
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom