Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Darling....... tulifahamiana kupitia mtu niliyefahamiana naye kupitia humu mmu,hivyo kupitia ukurasa huu nichukue fursa hii kukupa pole sana kwa ndoa yako kuvunjika na kwa maumivu ya mwili...
11 Reactions
135 Replies
9K Views
Hi to all, kwa kufupisha: ivi wanawake jamani mnataka wanaume tuweje/tuwafanyie nini ili muweze kuamini mnapendwa kweli?? kwa wanawake na wanaume wenye kujua siri ya mafanikio..welcome,
0 Reactions
20 Replies
2K Views
wakuu!baba yangu mpendwa Mzee Chizenga amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mrefu!1933-2012!upumzike kwa amani baba yangu!
0 Reactions
97 Replies
6K Views
Dear brothers and sisters. Asalam alaikum. Since we are one big family I just wanted to drop a line to share good news with you, Alhamdullilah my beautiful wife gave birth to a beautiful...
23 Reactions
93 Replies
5K Views
Kuna mambo ambayo mpaka sasa nashindwa kujua nfanyeje...jaman mliooa au mnaolijua hili nambieni, kuna umuhimu wa kuoa mke uliyemzidi umri?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu,ivi ktk mapenz nani anaetakiwa kuanza kumpigia simu mwenzie?maana me jana tu cjapga cmu,leo nimenuniwa balaa...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Jaman kuna ulazimaa kuoa mke uliyemzidi umri?
0 Reactions
2 Replies
906 Views
hbar wadau bana naleta hii mada ni wakati gan muafaka wa kumuambia mpnz wako kuwa katika mahusiano yako ya nyuma yalipelekea kuwa na mtoto je ni wakat wa mwanzo wa mapenz au katikati au baada ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
QUESTION;Why do women live longer life? ANSWER;Shopping never causes heart attacks but paying bills does.
0 Reactions
4 Replies
871 Views
HOTUBA YA UFUNGUZI WA SONGEA GLOBAL NETWORK (SGN) KWENYE UKUMBI WA AGOPAL – SONGEA TAREHE 21/04/2012. Mh. Mwenyekiti, Mh. Katibu Mh. Mhasibu Ndugu Wanamtandao, Ndugu Wageni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii tabia iko kwa wadada sana, ukimboa kwa chochote au kwa lolote lile solution anayoichukua ni kukaa kimya au kupunguza mawasiliano na wewe au atakwambia "tutaongea kesho!". Ukiona hivyo kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kumekuwa na mazungumzo ya kuhusu hawa wajenzi huru (Free mason) ikihusishwa na mafanikio makubwa ya kimaisha. Najua kila mtu anashughulika kila siku ili kupata mafanikio katika maisha yake. Pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kudadaadek........ umri wangu unakaribia miaka 38, sina hata mchumba wala mtoto wa kusingiziwa. Hivi ninaweza kweli kupata patna wa kuoa? nakaribia kukata tamaa. Lakini ni lazima kuoa?. But I...
1 Reactions
62 Replies
5K Views
Rafiki yangu alienda nje kusoma akabahatika kupata rafiki wa kike ambae walishirikiana katika nyanja zote za mapenzi. Baada ya kumaliza masomo rafiki yangu akarudi TZ peke yake. TZ akapata rafiki...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wana jfm habari!kwa wenye ufahamu ni wapi ntapata suti nzuri kwaajili ya harusi kwa hapa dar,naomba nifahamishwe.
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Imekuwa kama ka tabia flani hivi...maana hawa dada zetu wakisha shinda u miss..kinachofatia ni kuolewa na wazungu..is it a social ladder?? kwani ukiolewa na kijana safi wa kitanzania kuna tatizo...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Kweli ni maajabu, mtu kwenye relationship anamlalamikia mwenzake kwamba ni predictable, wala hakumbuki kwamba na yeye ana role to play as far as relationship is concerned. Ni Love, kissing...
0 Reactions
2 Replies
689 Views
Nimefanya kauchunguzi kidogo kwa ndugu na rafiki zangu waliooa/olewa. Nimegundua maisha ya ndoa yamegawanyika ktk sehemu kuu 3. Ambazo ni KIZUNGU, KICHINACHINA na KIENYEJI. 1.Kizungu huwa mara tu...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
The Power of Words Watch this and then thank your God for what he gave us without asking. If you don’t believe me, ask your parents or ask yourself if they actually asked God for a son/daughter...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna namna ambayo ni more suitable kuachana na mtu ambae let say hajakukosea zaidi ya kumweka chini siku moja na kumwambia "mimi na wewe hivi au vile. . . "?!? Yani unataka kumwacha kwa sababu...
3 Reactions
216 Replies
11K Views
Back
Top Bottom