"Bwana Mungu akasema, Si Vema Huyo Mtu Awe Peke Yake, Nitamfanyia Msaidizi Wakufanana nae, KATIKA BIBLIA MWANZO 2 :
21.Bwana akamletea Adam usingizi mzito nae akalala kisha akatwaa ubavu wake...
Kweli maisha ni kitendawili
na leo nimethibitisha wengi hufa bila kutegua.....
hebu fikiria hiii
kuna wanawake na wasichana wangapi
ambao pengine walikuwa wako tayari kumpa 'faraja na amani na...
Kuna wanawake ambao kwa lugha ya mazoea tunasema wamewatawala waume zao. Yaani wao ndio wenye kauli ya mwisho katika nyumba na pia hutumia vibaya madaraka hayo kwa kuwanyanyasa waume zao. Akina...
tunaishi mikoa tofauti, naamini tunapendana, japo kuonana kwetu ni mara chache sana. kutokana na umbali na majukumu. sote ni watu wazima, aliwahi kuoa, akazaa watoto, it didnt work wakaachana. na...
Compliments can be indispensable to both finding love, and keeping its flames burning once you're in relationship. But we, African lovers are no longer satisfied with words of praise such as...
Wapendwa
Heri ya Pasaka, poleni kwa msiba wa Kanumba, surely he will be missed.
Ninaomba kuuliza....... kuna ubaya wowote kwa karne ya sasa kumpenda mtu kwa kumpa nafasi aitegemeayo kwenye...
kuna binti mmoja ni mpenzi wangu kwa sasa,na tangu tuingie kwenye mahusiano karibia tunamaliza miezi sita sasa.kinachonishangaza zaidi ni kwamba huyu binti hataki mimi nimuite majina ya...
Hodi wana jf nakuja kwenu kwa mara ya kwanza nikiwa nimetingwa na lillonisibu mchana huu juu ya malezi ya wanetu.
naomba mnisaidie majibu hasa ya kunielewesha manake kama shule basi basi...
Mara nyingi nimekuwa nikisikia na kusoma kwenye majarida mbalimbali ya mahusiano,kuwa wanandoa wanaweza kukaa mwezi mzima bila kupeana haki yao ya ndoa! Mara nyingi chazo kinasemekana ni mwanamke...
Raia wawili wa ujerumani wamekataliwa kuishi pamoja na mahakama ya haki za binaadamu ya umoja wa Ulaya.
Watu hao ambao wana uhusiano wa muda mrefu na ambao tayari wana watoto wanne, wawili...
Ujana (18-35) ni wakati wa kutengeneza maisha yako ya baadaye. katika elimu au ktk shughuli za maendeleo, ukicheza ktk kipindi hiki finali yako itakua ngumu sana. Nikiwaangalia huyu Fataki na suga...
PRESIDENT Jacob Zuma will tie the knot again next weekend in a traditional ceremony in Nkandla.
Naona umri kama umeenda ..anawezaje kuwaridhisha hawa wote?
Katika watu ambao wamepambana na misukosuko hapa jijini, naweza kusema mimi ni mmoja wao. Na labda niseme tu kwamba tabia yangu ya kiherehere na kupenda ujiko, iliniletea kasheshe nyingi sana...
Uko kwenye mizunguko yako maeneo mbali na nyumbani kwako, mara ghafla anakutokea mwanamke usiyemjua kabisa na anakwambia kwa sauti kiasi cha kuwavuta wapita njia wengine waliokuwa wakipita na...
Hebu tuchukulie kwamba umeoa au umeolewa au pia uko kwenye mahusiano,halafu unamkuta mpenzi/mke/mumeo anajiridhisha kimapenzi mwenyewe,kwa wanaume wanasema kujichua kwa wanawake sikumbuki hii...
Kaja na shuga mami la ukweli lina umri kama miaka sitini. Jamaa akaanza kujiuliza, hivi huyu mzuri hivi, je mwanae atakuwaje? Muda ukazidi kwenda huku vinywaji vikali vikiendelea kunyweka.
Shuga...
Since nimeona ni ngumu kupata the perfect man to stay with for serias relationship. Nimedecide kuwa na mwanaume mmoja hivi kutoana upweke na kukidhi tamaa zetu za kimwili.
Ni mume wa...
Mwanamke ambaye ana tabia a kujilaumu yeye kama mwanamke na kulaani kuwa kwake mwanamke, yuko kwenye nafasi kubwa ya kumuuwa mtoto wake wa kike kisaikolojia. Kuna wanawake ambao kwa kuudhiwa na...
Mambo
wadau wenza.
Kivyangu mie nimewagawa wanawake katika makundi matatu.
Kama ifuatavyo ;
1. Wenye mvuto mkubwa au mkali.
2. Wenye mvuto wa kati.
3. Wasio na mvuto.
Tatizo ama changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.