Nimekaa bar naangalia show amekuja mwanamke na njemba wamekaa meza ya jirani wananuka harufu ya condom sijui jamaa limetafunia kwenye gari au pagale yaani hata show sifaidi nimeharibiwa utulivu.
R.I.P Kanumba
Ila umetuachia balaa, kama sio somo.
Jana nimeenda kwa dogo lasi umri kama wa mtuhumiwa ila yeye ni (22), mzee akagoma.
Nikajua ni uchovu wa kufuatilia mkutano wa CDM. Leo tena...
Nina mchumba wangu tunaishi sehemu tofauti tena mbali. Kuna tabia anaifanya sivutiwi nayo. Hii tabia ni ya kunibeep, kutuma tafadhali nipigie au naomba niongeze salio. Hii imekuwa ikijitokeza mara...
Ndg zangu wana jf.
Mwenzenu nimefumaniwa na"pasaka"
Yaani pasaka imenikuta nikiwa hovyo,sijui hata namna ya kutoka leo,mifuko yote imetoboka wakuu,tafadhari msaada.
Situmii bia,mimi yangu soda...
Wakuu habari za weekend,jamani nisaidieni nifanyeje ili mpenzi wangu aelewa uzuri na utamu wa mapenzi ya kidigitali maana amenichosha na penzi la analogia kila nikimwambia tujaribu basi digitali...
Hayati Dr. Betty Shabazz
Malcolm Shabazz akipelekwa mahakamani
Malcolm Shabazz alivyo sasa baada ya kutoka jela
Malcolm Akiwa Hija Maka
Wasomaji wa JF, nimelazimika kuweka makala hii leo...
Ndugu wanaJf,
Nimekuwa najuliza kwa muda sasa kuhusu hii mikunjo ya usoni, wengine huita cheni au X, chanzo chake ni nini?
Huwezi kuikuta kwa watoto wadongo, ila kwa vijana na watu wa umri zaidi...
Life is sweet as nothing to compare.
Life is precious as nothing to compare.
Life is delicate as nothing to compare.
Life is sophisticated, life is complicated, and life is irreplaceable!
Wish...
Nimekuwa na mpenzi wangu wa mwaka mmoja,siku za hivi karibuni alianza kupuuza simu zangu na nilipochimbua zaidi na kuweza kumuhoji aliniambia ananipenda ila Dini ndio tatizo.mimi ni muislamu naye...
Wana jf,naombeni ushauri nina miaka mitatu katika mapenzi na huyu binti lakini hapo jana kuna njemba imenipigia simu na kusema kuwa imekuta meseji kwenye simu ya mpenzi wake ambaye ndiye mpenzi...
Ukweli ni jambo muhimu ambalo litanusuru mambo mengi, kwa siku kadhaa nimekuwa nikimfuatilia dada fulani ambaye kanihakikishia kuwa yuko free, si hivyo tu pia kanihakikishia kuwa yuko tayari kuwa...
Assalamu Alaikum
Admins, Moderators na members wote
wa Jamiiforums
Kwa masikitiko makubwa nawataarifu
msiba wa baba yangu aliyefarik leo mchana msiba upo tanga makorola mi nipo iringa...
Nimekuwa najiuliza hili swali pia nimefanya jitihada za kusoma vitabu,tafiti,makala na baadhi ya movie. Kumekuwepo na harakati za kueneza ujumbe wa Haki na Usawa katika mahusiano. Kimtazamo wangu...
Jameni kama ilivyo ada sikukuu zimeanza na watu wanaachika,wapenzi kunuiana,ndoa zinakua ndoano ati kisa sikukuu,kama kulikua na mtu anamtaka mdada anampata sikukuu,wadada nawauliza je ndio mara...
If you are SINGLE and keep on saying "I DON'T TRUST MEN/WOMEN!" remember... your mates are getting married every Saturday. Let me ask you, are they marrying spirits? Wise up!
If you are MARRIED...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.