Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jambo wapendwa Wakati wa tendo la ndoa huwa unafumba macho kuusikilizaia utamu au unamkodolea mimacho mwenzako? Mimi huwa nafumba macho. Siku moja nilikua na shem wenu fulani tuko faragha...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mi ni kijana ninayependa kufanya mazoezi na pia mi ni mchezaji wa timu ya mpira wa miguu na nina mpenz ambaye amekuwa kikwazo kwangu kwani anapenda mda wote niwe naye hata muda wa kwenda zoezi na...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Kuna muhindi alifanya mapenzi na msichana mmoja mweusi wa kitanzania,kuna siku wakakutana huyu dada katika kumsalimia kwake muhindi akamuonesha kidole kidogo cha mwisho cha mkono huku...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kwa wasomaji wa Biblia wanaufahamu mstari kwenye Biblia unaosema "kwa maana jinsi hii mungu aliupenda Ulimwengu" Wataalamu wa Lugha watakubaliana na mimi kwamba maneno au majina ya vitu...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
mambo vp Jf,simuelew mpenz wangu jaman,niliachana nae kitambo na tumerudiana hv karibuni,lkn hanipi denda na sababu anasema kuwa huko nyuma mate yangu yalimsababishia vidonda koon hvo dactari...
0 Reactions
113 Replies
12K Views
Hi Jf, Ni miezi mitatu imepita toka niachane na huyu X-girlfriend. Mwanzo wa kuachana alionekana kunichukia sana lakini mimi nilimchukulia kama rafiki wa kawaida tu. Nimekuwa nikiongea naye...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nina mdogo wangu anaenifuata,alikuja kutambulisha mchumba mwezi wa pili wakatoa mahar na ndoa imetangazwa itakua june keshokutwa.Mdogo wangu ameniambia juz anamimba ya miez sita na jun itakua miez...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Jana alfajiri amekuja wifi yangu mke wa mdogo wangu analia usiku wakuamkia hiyo jana kamfumania mume wake na house girl wao. Yeye ana salon yake m,nyamala na huwa siku zote anarudi saa 5 hadi 6...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Hi ladies and gentlemen. Siku za hivi karibuni, mikasa ya usaliti na kukosa uaminifu kwenye mapenzi imekua inaongezeka kwa kasi. Sababu zipo nyingi na thread zenye hizo sababu naamini...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
mada zinarudiwa rudiwa...visa vinafanana...visa vya kizushi zushi...uongo ambao hata kwa kupapasa tu unajua hamna kitu hapa!...kiufupi sioni jipya! ombi langu:watu wenye mambo ya ukweli...na...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
hataki,nipigiwe simu na rafiki yeyote wa kiume awe class mate,work mates,school mates,my homme friends...oooh! ushauri nifanyeje,vile anatamani hata mail zangu zote asome kama kuna mwamume...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Ndugu wapendwa kuuliza siyo ujinga. Mim nina mpenzi ambaye yuko nyumban na mim niko chuoni, mwez wa2 alidai ameshika ujauzito maana nilienda likizo fupi. Mimi nilifurahi lakin yeye akawa anadai...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
hapo juu kwenye bango la jamii forums,siku hizi kuna matangazo mengi,mojawapo ni la oxforo....forex,naomba anayejua kuhusu hii foreign currency trading unavyofanya anifundishe,au kama kuna course...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Kwa kweli TANZANIA hii, elimu ya kuchagua wenza inatakiwa ili nchi ikombolewe! Yani matatizo mengi ya ndoa ukiyachunguza chanzo chake utakuta ni kwamba watu wamechokana tu! Hii inasababishwa na...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Naomba niwaulize dada zangu hivi ni vitu gani hamvipendi kwa akina kaka?
0 Reactions
30 Replies
2K Views
Kuna suruali za kike zimeingia mitaani ambazo zina vaccum (nafasi) ambapo baada ya kuvaliwa na ku~pump hujaa na kumwongezea mwili, (hips, mapaja) yake hivyo wakwere wa wa wanawake wakae sawa....
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari za asubuhi wadau? Kama kuna wanaokumbuka wiki chache zilizopita nilitoa uzi kuomba ushauri kuhusu the two women in my life. Watu walinishauri vizuri na nikaamua kufuata ushauri wa wadau...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
habari zenu wandugu? Natumai mpo salama kabisa. Jaman swali langu ni fupi. Hivi ni kwa nin wanawake mabonge wanapenda sana taarabu? Je huu mziki ni kwaajiri yao wao wenyewe? Kweli sielewi mpaka...
0 Reactions
149 Replies
22K Views
I hv always been wondering about this thing; HAIR ON MEN CHEST. I dont know whether girls like them or not. Can I hv some comments from the girls around Jf?? Madume ya kibongo wanazo hair ktk...
2 Reactions
119 Replies
14K Views
Sijui kwa nin kila girl ninaekuwaga na uhusiano nae pindi 2napokua distance huwa wanapenda kuniuliza hilo swali?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Back
Top Bottom