Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ni saa kumi na mbili jioni natoka kazini, nampita demu wangu ili nimpeleke kwake na mimi nirudi zangu kwangu. Mara ananiambia nimpitishe mahala kuna club fulani karibu na kwake akachukue mzigo...
2 Reactions
121 Replies
11K Views
Wajameni nimemfumania dem wa jamaa yangu leo mapema yupo na njemba gest ambayo nami nilikua navinjari manzi flan wa kitaa. Ni bahati mbaya kwa huyo dem manake hakua anajua kama nami ningekua pale...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kwa mfano mme/Boyfriend kaondoka labda siku iliyopita mchana na karudi nyumbani kesho yake asubuhi Au kaingia nyumbani saa saa tisa ,kumi au kumi na moja ..imezidi kaingia asubuhi kweupe? Na hii...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Haijalishi uliikimbia, mliishia kutoa ama mlilea. Siku mwenzio alipokwambia "Nna mimba". . . "Nahisi/nadhani nna mimba!" ulijisikiaje? Na wewe mdada/mama ulipogundua/hisi una mimba...
1 Reactions
123 Replies
9K Views
Kumbe comma nazo zinaongea.....!!!2
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Want to improve your love life, but don't know who to turn for advice? Here's our step-by-step guide for getting honest feedback from those who know you better than anyone else… your friends...
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Ni zaidi ya miezi mitano inakatika sasa, nipo na dada mmoja kimahusiano.sio siri ananichosha kwenye mambo yetu yale ni noma.nikiwa nae tunaenda tano kwa muda mchache yani nakua hoi hadi kufika...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Its this my machine operator, anaishi na mwanamke mitaa ya mabibo na wana motto mmoja. (hawajafunga ndoa) jamaa kajitahidi kapata kiwanja CHANIKA. Na kajenga kibanda chake sasa anataka kuhamia ili...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamii nisaidieniiiii kuna demu kazini kwetu nilizoeana naye kipindi ana matatizo ya mshahara na mwajiri wetu...nkampa baadhi ya huduma then nikahc kumpenda na kwa muda mrefu namtupia cku moja...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
wakuu haya ni ya kweli yametokea leo asubuhi, kuna rafiki yangu mmoja anampenda sana msichana mmoja hivi..na amekuwa akimueleza lakini yule mschana amekuwa akimkatalia na kusisitiza eti waendelee...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
wajameni wajameni mbona jukwaa la utani silioni au ni kwa sisi tu tunaotumia vimobitel?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
"Hivi mwanaume kakataa mimba we umelea ya nini? Haki ya nani mi mwanaume hajaniachia mimba nikalea, labda aniachie mtoto hapo angalau!" Hayo ni maneno ya dada mmoja kwenda kwa mwingine ambae ni...
7 Reactions
68 Replies
8K Views
I saw this on Yahoo and i though it is worth sharing Top 5 things that drive men crazy By Laura Schaefer Men love women. They do...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kwa wenzetu wa Kenya ni kawaida kwa mwanamke kumshushia kipigo mwanaume tena cha haja kama hajaacha kodi ya meza lakini hali ni tofauti kwa TZ huku hata mwanamke awe baunsa vp lakini hawezi kato...
4 Reactions
29 Replies
4K Views
Nasikia wanaume wa pwani wengi wanapenda kuwafanyia kitu mbaya wake zao, wenyewe huita 'kuruka ukuta' na hii imekuwa ikigundulika hasa wake zao wanapokwenda hospitali kujifungua na kupata taabu...
0 Reactions
28 Replies
11K Views
Akina mama.akina dada..nimewakumbuka kwa maneno yenu ya busara bac usiku mwema.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ngoja leo niyadadavue makosa yanayofanywa na wanawake wengi pale wanapoamua ni nani wa kuoana naye: 1. Kosa la kwanza, unaolewa na mtu ambaye unajua kabisa ni dhaifu na mkorofi, ukitarajia kwamba...
16 Reactions
75 Replies
5K Views
Jamani nimeona nishee nanyi mawasiliano yangu ya skype na rafiki yangu from Lusaka! Kifupi, mwanaume alimnyanyasa sana huyo dada hadi akaondoka na kupanga sehemu nyingine, sasa anafanya masters...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Unahisi mume ama mkeo mambo anayofanya ni sababu ya ukoo uliooa.... Je ukujua wakati unaoa yuko ukoo gani..embu tuanze kufanya mapping jamani tusianze kulalamikia hiz koo zetu..huwa napenda...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Asaalam aleykum wanajamv ....mimi na mke wangu 2napenda sana hii nikutokana na mfumo w maisha 2liopendekeza 2ishi.na 2meamua kuishi ktk mfumo huo kutokana na dunia y sasa iliyogubikwa na magonjwa...
0 Reactions
106 Replies
8K Views
Back
Top Bottom