Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari za pilika waungwana? Naombeni busara zenu wajameni! Mpenzi amenitia jeraha la moyo? Mi nilikuwa na demu, tulipendana sana na ukweli nilimuamini sana na nikawa namtimizia kila kilichokuwa...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Its this my machine operator, anaishi na mwanamke mitaa ya mabibo na wana motto mmoja. (hawajafunga ndoa) jamaa kajitahidi kapata kiwanja CHANIKA. Na kajenga kibanda chake sasa anataka kuhamia ili...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Aaaaarrggrh!Nimekerwa sana alfajiri ya leo baada ya kumuona jamaa mmoja nikiwa nafanya mazoezi akikatoa kabinti kadogo sana kukasindikiza kwao,inaonekana alilala nako.Hivi wanaume sisi hivi...
12 Reactions
175 Replies
10K Views
Live Court – judgment of Louise Woodward: The Closing Argument that convicted Louise Woodward Eye To Eye: Barry Scheck (CBS News) Ndio kwanza alikuwa amemaliza masomo yake ya...
11 Reactions
28 Replies
4K Views
Helow Helow MMU, kuna shost angu ana boyfriend wake na wamedumu kwa muda wa miaka miwili sasa ila shida ya huyo bf hamjali in all aspect, shost keshavumilia mpaka maji yamefika shingoni...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Ndio, inaweza kutokea wanandoa mkajikuta mna wakati mgumu kifedha. Kama mnavyojua kwamba hali ya uchumi imebadilika na maisha yamekuwa magumu sana, inaweza ikawa imesababishwa na kuyumba kwa...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Inaendelea toka part 7 "Sikuachi ng'oo, hata ufanye nini" Meseji ilisomeka hivyo. Sikumbuki nini kilinipata baada ya kuisoma. Tulikutana kazini tena, lakini hali yangu ni wazi ilidhoofu. Rafiki...
8 Reactions
32 Replies
3K Views
kuna njia ni nzuri na njema watu wengi wanaiendea hata mimi nilitamani na nilijitahidi kuiendea njia iyo lakini naona imeshindikana na imekuwa mzigo na mateso kwangu kuna njia nimeamua kuiendea...
0 Reactions
51 Replies
4K Views
32yrs ndo umuri wangu. Kimaumbile kiungo changu cha kiume ni kidogo kiasi kile kikiwa ktk hali ya kawaida ni kama 2" hivi na katika ile hali ya kutumika ni kama 3.5" hivi nimshukuru mungu...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Usipime, mpaka nikaamua kumuoa, nilijua chakula hiki hakitaisha hamu ni maarufu na ndicho ninachokipenda na nilidhamiria kuhakikisha sitakichoka. Nitakiweka kwenye fridge na kukipasha kila...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
:A S crown-2:naomba Mnipokee
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanajamii hakuna kitu kinadumisha mapenzi kama ukiwa na mwenzi wako na mnaaminiana na pale unapomhitaji unampata!na akiwa kwenye shughuli zake kakuacha nyuma kakuacha na simu yake!Mpaka unahisi...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
Ni furahi day tena wana MMU.ninaomba ushauri wenu hata kwa men ruksa kuchangia.nili mtokea dada mmoja nilimfukuzia kwa miezi kama mitatu kwasababu alikuwa nataka sitaki iliniwia vigumu kumwelewa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamaa kachelewa kurudi nyumbani na kodi ya meza hakuacha asubuhi mama akaamua kujichukulia sheria mkononi kwa kumshushia kipigo kama vile anamwadhibu mwanae. Jamaa hakufua dafu na wala hakurusha...
1 Reactions
56 Replies
4K Views
Napenda kufahamu tu, Kila mmoja ana rafiki wa karibu (best friend) Kwa wadada haswa,mna best friend wa kike..... Ambaye mmepita katika milima na mabonde pamoja... Mmeshirikishana pale...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
Jana wkt naangalia taarifa ya habari TBC kuna habari moja walionyesha toka mikoa ya kanda ya ziwa mtoto wa miaka kumi alikuwa anaishi na mama wa kambo, mama wa kambo huyo alikuwa anampaka pilipili...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mwanamke anafanya kazi nbc , alikuwa akimpa kila kitu, (JAMAA) kazi yake yeye ilikuwa ni kutoa huduma ya ngono tu, hapo mwanzo mwanamke alikuwa radhi kwa hali ya ufukara...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
Ukiyatazama mapenzi kwa jicho la tatu utagundua kwamba ni utoto unaofanywa na watu wazima. Ebu wachunguze wanawake, wanapenda kuambiwa maneno mazuri, yenye kila aina ya ahadi ndani yake hata kama...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Huyu ni kaka yangu kabisa, mama mmoja baba mmoja. Ana miaka 38 na kabla ya kuzaliwa mimi, walizaliwa kaka na dada zangu wengine 2, hivyo mimi ni mdogo wake wa 3, na hapo unaweza kujua tumepishana...
2 Reactions
94 Replies
7K Views
Leo ni siku ambayo umenijia sana akilini mwang ikiwa ni miaka sita tangu ulipotutoka mdogo wangu Rose ukiwa na miaka 12 ni kumbu kumbu mbaya ambayo haitafutika katika ubongo wangunimelia sana ...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…