Akijiamni kuwa haitatokea siku mambo yakawa hadharani, Mzee ambae mtaani tunamheshimu hali yake ni mbaya sana, presha inamsumbua. Kisa alikuwa na nyumba ndogo binti wa staili ya kuitwa mwanafunzi...
Niltokea kufanya field maeneo ya zanzibar miez kama 6 imepta now. Nilkaa pale kwa mda wa miezi miwwil. Tulpendana na dada mmoja. Lakn nlmwambia ukwel kuwa nina mpenz wangu arusha. Tulikubaliana...
Kufuli linaofunguliwa na kila ufunguo husemwa halifai na hutupwa,LAKINI ufunguo unaofungua makufuli yote au mengi hupewa sifa nyingi na kuitwa master key!!!!Why????
Ule msimu wa kuchipua hatimaye umeanza kwa wabeba maboksi. Hivyo jua limeanza kutoka na kuifanya hali ya hewa isiwe ya baridi. Mabinti nao wameanza kuvaa nguo fupi kupita kiasi. Ukiwaona mitaani...
Miaka ya karibuni tumeona akina mama wakija kaunta kuchukua tissues na kuzama nazo maliwatoni.........hivi zamani ilikuwaje wakati tissues hazikuwepo?...sitaki kujua mnazitumia kufanya nini
NB...
Mwisho wa wiki nilimsindikiza rafiki yangu kariakoo alikuwa ameelekezwa na mtu kwenda kutafuta dawa yakui
toa vichunusi,sasa tulipofika hapo kumbe duka ni la mzaire mana nilisikia wakimuita...
KWA NINI WANAUME WENGI SIKU HIZI WANAKWEPA KUOA
1. Kujitambulisha ukweni. Hapo utatakiwa uende kijijini alikozaliwa mkeo
mtarajiwa ukajitambulishe huko. Kama mfano mkeo anatokea Mwanza, na...
Nipo mbali na mpenzi wangu kimetokea kitu kidogo ambacho kimenipelekea nijisikie ka wivu fulan ila nimejikaza sijakurupuka nipo nakitafari extent ya ukweli wake.
Tuna miaka mingi(10yrs) na ka beb...
Jamvini nimefika kueleza yanayonisibu! Nimekuwa na mchumba wangu kwa miaka9 toka nasoma sekondari enz zile, tulikuwa tumepanga kuoana 2014 baada ya kueweka mambo sawa! Mwaka jana nilmtoa bikra()...
Wakubwa,
Nilishasikia toka zamani kidogo kuwa kawaida Baba ndani ya nyumba anapata wivu kidogo inapofikia wakati wa kumuoza bintiye, hali kadhalika Mama anakuwa na aina fulani ya kijicho pale...
Kuna siku nilikuwa salon, kulikuwa na mashosti 2 wanaongea, nikawa nimejibanza na wao
hawakuniona . Shosti 1 alikuwa anamuhadithia mwenzake yanayomsibu, alikuwa anamwambia …. nanukuu:-...
Nilimfahamu toka akiwa kidato cha II tukawa tunaongea anapokuwa likizo na nikawa namhimiza kusoma kwa bidii , binti huyo anamwonekano nilihisi hawezi kumaliza FIV kwa kuwa lazima wakware wengi...
Hayo ni maneno ambayo nlitamkiwa na dada mmoja hvi miezi takriban minne iliyopita,kikweli huyu dada ni mrembo wa haja na nlikua na ndoto za kummiliki mapema iwezekanavyo.kisa cha kuniambia maneno...
Naombeni jibu tafadhali. Unakuta ndugu/rafiki anaumwa hakuna mtu anaeonekana kusaidia ILA subiri kama mgonjwa akifariki yani hapo watu wanataka kuonyesha uwezo wao.
Kati ya matendo yatakayokufanya uonekane mhuni ni pale mdada unapoingia faragha kwa mara ya kwanza na mpenzi wako, then gafla unakuwa wa kwanza kuvua na kubaki mtupu. Kama uko kwenye biashara...
Hili linanitatiza. Kila mwanamke umkutae awe mkubwa au ndio kwanza anaanza kujua maana ya mapenzi wooote muono wao juu ya uke wenza ni BIG NO!!! Yaani wanasema ni aheri kuwa single kuliko kuwa mke...
Naombeni Ushauri Wenu
Kuna ka sister kamoja nimekuwa nikikafukuzia muda kiasi. Tatizo linakuja kila nikikatokea kanasema hapana ila Body language yake inasema tofauti. Ni kawaida kwa mwanamke...
Ni beti ya wimbo wa pwani!
Bure usijisumbuwe cheo chetu kimoja
Ya nini matusi, ugomvi na mabishano
Kama wewe ni mkewe na mimi keshaniowa
Yanini hasama choyo na kununiana
Kama wewe wa nyumba kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.