Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nina mpenzi wangu ambaye anapenda kununa sana hata kwa jambo dogo tu ananuna siku nzima,yaani haongei,hachek hata ufanyaje! Naomba mnishauri nimfanyaje kwani kuna muda nafikiria kumwacha!
0 Reactions
31 Replies
11K Views
Kuna uzi uliokuwa unasema sisi ndo wanaume bana! Mimi naomba niendeleze kwa kutoa yale nnayodhani hayafai kwa mwanaume kufanya. . . 1. Haipendezi kubana matumizi kwa familia lakini kutumia kwa...
4 Reactions
217 Replies
14K Views
Mratibu wa Jamii wa Afya ya Uzazi na Jinsia wa mradi unaotekelezwa kati ya UMATI na Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa mkoani Kilimanjaro (KNCU), Lilian Sizya amesema kuwa baadhi ya...
4 Reactions
66 Replies
5K Views
Natafakari sana najiuliza watanzani tumelithishwa woga hata katika haki zetu za msingi tumebaki kuwa mabubu na wanyonge tnao lilia ndani kila mmoja ukimtizama ni kama anasubiri mwenzake a aanze...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Jumamosi tulikuwa kwenye harusi ya ndugu yetu hapa Machame,ndugu yangu anaoa mwanamke kutoka DAR YAANI MZARAMO,mila zetu ni kwamba baba mzazi wa bwana harusi anachukua ""upata lwa wari"" maarufu...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Ni barua ya dada mmoja akimuandikia x-mpenzi wake, Endelea................................. Najua hautamani kusikia lolote kutoka kwangu kwa kuwa sina thamani tena kwako, thamani...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi nilifiwa na mke wangu,aliniachia mtoto mmoja wakike(6 yrs).Alifariki wakati wa kujifungua mtoto wetu wa pili. katika mizunguko yangu nimekutana na mwanamke ambaye alizaliswa(mtoto wakike...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
watu wengi huita girlfriends au boyfriends zao wachumba?
0 Reactions
5 Replies
979 Views
mambo wadau! mimi nina hili swali huwa linanitatiza, kuna baadhi ya wanaume wakiona maX wao wamemove on ( kapendeza, she is happy, anadate na mtu mwingine ) huwa wanaumia yan wivu si wivu anaweza...
0 Reactions
53 Replies
4K Views
Kuna mwanaume anamke wake mzuri sana .mwanaume huyu yeye haishi kusifia wanawake kwenye internet na kuomba namba za simu. Na kuwaita Majina dear. sasa mkewe inamuuna coz mume wake huwa hamsifii...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Napenda kukiri wazi kwamba nina tabia ya ajabu sana katika mahusiano yangu na mama Ngina. Sijui niite ni ila mbaya au ni udhaifu au ujinga. Katika maisha yangu na mke wangu tangu tuoane...
1 Reactions
43 Replies
6K Views
Imekuwa ni tabia ya kawaida sana miongoni mwa wamiliki wa simu kutopokea simu ambayo namba yake ahijui. Hata hivyo ni ujinga wa kutojua matumizi hasa ya simu. Inawezekana nduguyo kapatwa na...
1 Reactions
36 Replies
3K Views
Dedicated to all Married Couples They say that marriage makes a man dizzy, and it's true. As soon as I got a wife, I lost my balance at the bank. Men want THREE qualities in their wives...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Hii ni barua ambayo Joyce Kapushi alipewa barua ya kwenda kupumzika kwa baba yake aitwaye Saidi Kapushi, kwa muda usiojulikana bila ya mumewe kuitwa mahakamani au katika baraza lolote la...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Heshima kwenu! Sijui nimfanyeje mdogo wangu wa tumbo moja, kwan nilimwamini sana hata nikimkuta na shemeji yake sikuwa na shaka kwamba kinaweza tokea chochote kibaya lakini nashangaa dogo anafunua...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Hivi kwanini sisi wanaume wengi hatupendi kukutana na mwanamke ambaye toka mwanzo anaonekana "kujua sana"? Yaani, akijionesha "kujua sana" basi tunaanza kukosa ile confidence kwa sababu...
3 Reactions
78 Replies
5K Views
HI JF! kuna bint Mmoja 2likutana kwa mara ya kwanza 2kiwa mm 6yrs na yy 5yrs.Nimezaliwa 11/8 na yy 12/8 mwaka mmoja badae.wen 2lipokuwa kids ckuwah kupata hisia za lov ju yk.2lisoma p"mary na...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
The number of Ugandan boys and girls keeping their virginity is steadily going up, according to the results of a newly released survey. The Uganda AIDS Indicator Survey 2011 preliminary...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
A SAD LOVE LETTER Najua hautamani kusikia lolote kutoka kwangu kwa kuwa sina thamani tena kwako, thamani niliyokuwanayo kabla hujanipatia ujauzito mara mbili zote ukanisihi nitoe. Kwa sababu...
3 Reactions
54 Replies
17K Views
Ndugu zangu wana jf,mi kiukweli nataka nipate bunduki kubwa na ndefu, maana kwa nguvu kako fresh. Nimejaribu kutumia dawa za kimasai na nyingine lakini haibadiliki. Mwenye kujua dawa yenyewe...
0 Reactions
42 Replies
5K Views
Back
Top Bottom