Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwa siku za karibuni, tumekuwa tukishuhudia teknolojia ikikuwa kwa kasi ya ajabu na sasa inaonekana kuwaathiri dada zetu kwa kasi ya ajabu sana. Kuna dawa siku hizi zimeingia za kuwanenepesha...
1 Reactions
55 Replies
7K Views
Wanaume wa ukweli waletao mabadiliko na wanaojua majukumuyao ( Career) Heshima kwenu Brothers and sisters na wadau wote wa jamiiforums Wekend hii Jumamosi nilikuwa Napata kinywaji na...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Unajua anakupenda ila hata ujitahidi namna gani humpendi tu! Ni njia gani mahususi ya kuvunja penzi? Jua kua sio muelewa. anachotaka ndio wape. sio understanding.
4 Reactions
52 Replies
4K Views
Apenzi ya siku hizi ni biashara hasa Tanzania
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mtu mzima, tena mwenye heshima zake, Alikuwa na rafiki yake wa karibu. Na aliisaidia sana familia hii kutatua matatizo mazito waliyokuwa nayo. Siku moja wakamchukua huyu mtu mpaka kwao. Mke wa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani wana jf kuna dada wa miaka 26 amenipenda ananihitaji kamapenzi nimemkatalia lakini kilasiku ananing'ang'anizia jamani nisaidieni nifanye nini?
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Kuna madada wengi huwa wanajiimanisha kuwa,akishapewa UJAUZITO ndo tiketi ya moja kwa moja ndani Shela?Je ni lazima au unaweza lea mimba mpaka mtoto,bt anaendelea kuwa mtu wako?.
0 Reactions
33 Replies
5K Views
According to the new research it's said that women feel much more comfortable to undress before a man than before a fellow women since women are too judgmental while men are just gratefull. Think...
0 Reactions
30 Replies
3K Views
INSTALLING HUSBAND!!! A woman writes to the IT Technical support Dear Tech Support, Last year I upgraded from Boyfriend 5.0 to Husband 1.0 and I noticed a distinct slowdown in the overall...
0 Reactions
2 Replies
892 Views
Wapendwa, nimepokea ujumbe huu kutoka kwa rafiki yangu akiniomba ushauri; nimeamua kuleta hapa kisa hiki nikiwa na imani ya kupokea mawazo mazuri. Nimekua katika mahusiano na watu tofauti ila...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Just because you know someone doesnt mean you love them, And just because you don't know people doesn't mean you cant love them, You can still fall in love with a complete stranger in a heartbeat...
10 Reactions
292 Replies
15K Views
kwanini?. Novel na tamthilia nyingi huonyesha wapenzi wakipata shida sana kabla ya ndoa, halafu huishia kuoana na kuishi raha mustarehe yaani wakioana mwisho wa matatizo! na watu wengi huanza...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
wanajamvi wenzangu, Habari za jioni. Kumekuwa na shida sana ya kupata na kuishi na hawa beki 3. Ni muhimu sana kwa maisha ya familia. Familia yangu inahangaika sana. watoto bado wadogo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari zenu wanajf! naombeni ushauri wenu juu ya hili! mimi ni mschana nilikuwa na rafki angu mpendwa wa kike ambae amefariki dunia mwaka sasa unafika! huyo marehem rafk angu alikuwa na boyfrend...
0 Reactions
67 Replies
6K Views
utajisikiaje ukigundua mke wako hakuamini tena na kama ndo hivyo upendo umeshuka kwa sababu labda umefanya mambo fulan baadhi ya hayo Ni:unarudi late saa 8 saa 9 au pengine asubuh Kwenye walet...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Is it fair kuwa na mtu usiempenda just bcoz yeye anakupenda na kukujali sana? Utakua unamtendea haki?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ktk kutaka kupima kina cha maji.kama mpenz wako anakupenda usifanye kama huyu shostito...alifikr atapimaje upendo wa boyfriend wake iwapo atamsms hivii..'Helo nakuomba kuanzia leo usinitafute...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Pale wazazi mnapoamua kuporomosheana maneno mazito mazito mbele ya watoto wenu.. inasikitisha sana na haijengi maadili katika makuzi ya watoto wetu kwani wanajifunza kupitia sisi wazazi. .. Jana...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
Wanajamii; Baadhi ya mahusiano ya Kimapenzi yamekuwa ya mafanikio makubwa sana lakini baadhi yamekuwa na matatizo ya hapa na pale na mengine yamekuwa mabaya kiasi cha kuvunjika. Ni nini hasa...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
Sory,wana JF.Kuoa kuna limiting age?Na kabila lina matter?Nataka nioe nikifikisha 35.Au nitakua nimezeeka?Msaada plz.thanx
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom