Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

jamani ndugu zangu mie ni mgeni humu lakini ningependa tubadilishane mawazo naitwa mkazamjomba busara ingetumika kuliko mzaha naomba mnikaribishe nijue tunabadilishana vipi mawazo najua mna mengi...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hakuna asiyejua nini maana ya mapenzi, kila mmoja wenu hapa nadhani hili swala analijua vizuri ingawa kwa mitazamo tofauti. Sasa basi hivi majuzi nilitokea kukutana na madada wawili kwa nyakati...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
member wa jf em nisaidieni yaani nashindwa kupenda kabisa au kwakuwa cpati demu waukweli
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenu wakubwa,ebana jana ucku nimepokea txt kutoka kwa mmanzi wangu wa zaman yenye hayo maneno hapo juu,me nkawa nimekausha tu niusome mchezo kwanza,ikapita ka nusu saa,akanitumia tena txt...
2 Reactions
67 Replies
6K Views
Source: The Love Calculator We all know that a name can tell a lot about a person. Names are not randomly chosen: they all have a meaning. Doctor Love knew this so he made another great invention...
3 Reactions
160 Replies
8K Views
Nikiwa ni mwingi wa mawazo na kukumbuka miaka 3 nyuma nilivyotendwa na mdada ambaye sintamsahau maishani mwangu, Naingia ofcn kwa kishindo nikiwa na uchovu wa kimwili na akili. Walinzi ambao pia...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Kuna dada mmoja alijitokeza mda kidogo umu jf alikua anatafuta mchumba(mume wa kumuoa) je Umefanikiwa???
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Nimeshakutana na kisa hiki kwa jamaa watano. Wapenzi wao wa kike kwa nyakati tofauti walishawahi kuwanunia tena kwa siku nyingi kisa eti waliwaona marafiki zao wakiwa na wanawake wengine tofauti...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sifa zake za utulivu na tabia njema zilizagaa kwenye shirika letu hili lisilo la kiserikali. Nilishawahi kusikia vijana wenzangu mara kadhaa wakimsimulia binti huyu kwa jinsi alivyo na misimamo...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wakuu kuna kitu kinanisumbua sana!mimi sijao lakini umri umesogea'nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi'kinachonishangaza ni baadhi ya wanawake nikifanya na mapenzi inakuwa shughuli pevu'yaani...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Kuna msichana 1 nimempenda ila yeye simuelewi elewi. Ni hivi mara ya kwanza mwaka jana mwez kama wa 5 nilimtongoza na akanitolea nje na kunitukana sana matusi.Cha ajabu some time alikuwa...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu zangu Wana JF, Mwishoni mwa mwaka uliopita nilileta post hapa nikiomba ushauri ili kulinda kibarua na kuwa jirani na familia. Wengi kama sio wote waliochangia walinipa na ushauri mzuri iloi...
7 Reactions
25 Replies
2K Views
Kuna dada alikuwa akisoma SUA miaka ya 2000 mwanzoni. Kwa bahati alikuwa na mahusiano na Mhadhiri mnyarwanda pale SUA. Akiwa ktk mahusiano hayo, kama kawaida, akajenga uhusiano na mwanafunzi...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Wanajanvi wenzangu, Asalam aleykum? Ninalo tena jaribu linaloitesa roho yangu. Mapenzi yanataka kunifanya, sijui? Sahibu langu ni kama ifuatavyo; miaka mitano iliyopita nilikuwa na mpenzi. Alikuwa...
0 Reactions
83 Replies
5K Views
Jamani , Kijana mtanashati na vijicent vyangu vya kudunduliza nikaamua kujitutumua kumtoa valentine wangu nimpeleke sehemu za haya mahotel ya wawekezaji tupate dina . Unaweza amini tumezunguka...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Ni mtazamo tu! kama haikuhusu ipotezee au "PITA" Haina kubeza, Waacheni wajione michael anawaangalia kwa mtazamo gani. AshaDii: Aunt heshima yako! Naomba urudishe shungi vidume vishaanza...
14 Reactions
165 Replies
16K Views
kinachoumiza zaidi ni kuwa wale wanaokupenda like familly and friends ndo wanaumia zaidi hata ukiwa umeshakufa.... mapenzi gani haya ya kuumiza watu weengi wengine..... - by Boss JF Member...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Heshima mbele wakuu,ebana me nimepata gelofriend mpya,na kikweli nimepima oil,nimegundua ni kweli mambo yako safi kabisa,kaniambia me ndo mvulana wa kwanza katka maisha yake,so wakuu,naomben...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Waungwana habari za jioni! Leo nikiwa napumzika baada ya mihangaiko ya kutwa nzima nilipata wasaa wa kukaa na kupumzisha koo kwa kupata moja moto moja baridi! Tukiwa tunabadilishana mawazo na...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…