Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hivi kwanini mwanaume anapofumaniwa na mkewe au mpenzi wake huomba msamaha na kusamehewa lakini unapomfumania mwanamke na jamaa mwingine hakunaga msamaha? Hapo huwa ndo mwisho wa mapenzi. Kuna...
0 Reactions
53 Replies
5K Views
It is horrible. Guys tell your wife, sisters, girlfriends, and girl cousins wash bra before wearing. ALL PLEASE WASH ALL BRAS, UNDERWEAR WHEN YOU BUY BEFORE WEARING THEM. WE DO NOT KNOW WHAT...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Hii ni haki yake au ni udhalilishaji wa kijinsia?
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Hi ni kweli kabisa, Wana JF! Imenitokea na sasa niko njia panda. Ni hivi! Kuna binti mmoja kaajiriwa hapa ofisini. Wakati anaajiriwa nilikuwa sipo karibu. Niliporudi binti wa watu akawa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Niliuona mti unaokuwa kwenye shamba la jirani yangu ukiteseka kwa vumbi, upepo na wanyama pia, nikaupenda na kuuchukua, nikauhamishia shambani kwangu na kuutunza kwa uangalifu. Sasa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
A man who has never lied to a woman has no respect for her feeling....
1 Reactions
21 Replies
2K Views
habara wana jf!naomba kujuzwa unapomvalisha bint pete ya uchumba kuna maneno yeyote unayatamka au unamvusha kimyakimya tu?
0 Reactions
21 Replies
10K Views
wakuu naombeni ushauri nilikua na msichana wangu (naweza kumwita mchumba) tulifikia hatua ya kutambulishana kwa wazazi na kupata baraka zote, tulipanga kuanza taratibu za kupeleka mahari na...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mambo vipi wana JF? Binaadamu tuna kutana na mambo mengi sana hapa duniani, moja lililonipata mwenzenu hata kuomba ushauri wenu ni hili. Sija wahi kujihusisha na mapenzi tangu nimezaliwa hadi leo...
0 Reactions
60 Replies
5K Views
Kuna taarifa amenipa rafiki yangu mmoja aliyekuwa safarini lindi kwa mwezi na nusu zimenitatiza mno, nikalazimika kuziandika hapa. Jamaa huyu aliendea Lindi ktk wilaya ya lindi vijijini kikazi...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Ndugu zangu wana MMU mie ni mgeni kidogo hapa dar natafuta kanisa la kiroho la kwenda kuabudu, kutokana na tuhuma zinazoendelea ambazo sio nzuri kiukweli kuhusu haya makanisa nimekuwa nikijiuliza...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Ikitokea bahati mbaya sisi tukamaliza wakati ninyi bado mnahitaji,mnalalamika sana na kuleta dharau.Inapotokea upande wa pili wa sarafu,mwanamke kashafika kileleni halafu wewe bado unahitaji ni...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
No research no right to tell... Kwa wale waliofika Congo na wadadisi wa mambo watakubaliana na mimi kuwa wanawake wanaotunza itikadi na mila za ki Congo, huwa wakioga hawaoshi baiolojia zao ili...
1 Reactions
52 Replies
12K Views
Aina tatu za wanawake ambazo manamume hukolea nazo Mimi sio mtaalamu kwa sana ila leo nitawaletea nini ninakijua nanyi mupate kuchangia Mwanamke mcheshi Mwanamke ambaye hupenda...
1 Reactions
40 Replies
11K Views
Hebu soma hii barua iliyoandikwa kwa wino wa machozi kutoka kwa mmoja wa akina mama. Barua yenyewe hii hapa aliyoiandika Mama mmoja kwa wino wa machozi yake. Barua ameituma "Mama Makluumah" kwa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Jamani natafuta chama au kikundi cha kusaidiana kwenye matatizo au furaha, nasikia kuna vikundi vya aina hii vingine viko kimakabila vingine sio lazima, kwa wote wanaojua naombeni mnijuze pamoja...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi inapotokea mmetofautiana na mkeo na mkarushiana maneno ya hapa na pale ambayo yanapelekea mkeo kuanza kulia,wanaume deep inside your heart huwa mnajisikiaje? Assuming kwamba sio tabia yake...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari za mihangaiko wajameni, bila shaka ni nzuri. hivi jamani mi naomba kuuliza (hii ni kwa baadhi ya wanawake ) utakuta mwanamke kaolewa,ana familia yake tena anaheshimika kwenye jamii...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Hivi mtu anafanya sex kwa sababu anapenda, au ni mgonjwa tu yakurukia opposite sex. Nilikuwa najiuliza kama inewezekana tuna fooling ourselves kama sex ni mapenzi....Mana akipita demu ana healthy...
0 Reactions
66 Replies
8K Views
Nimekutana na wanawake wengi, na wanasema wanapenda sana wanaume wa kisukuma sijajua kwann wanapenda?
1 Reactions
206 Replies
30K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…