Mkuu wa Wabeba na Wakimbiza Box, leo ningependa Uutaarifu umma wa wabeba Box sheria na procidure za kudili na mademu wa Kinugu,kwa upande wa wanaume wabeba box, na ma men wa kinugu kwa upande wa...
Habari ya weekend wakuu,natumai mu wazima.
Ni matukio ya maisha yake ya mapenzi. Yanaenda namna hii. Tutahitaji mawazo yenu yenye hekima na busara ukishaisoma.
Ni shosti tumeshibana sana,ana...
A man thinks he scores high wit a woman wen he does something very big 4 her,
...like buying her a new car or taking her on a vacation. he assumes he scores less when he does something small...
Hii tabia sijui itaachwa lini maana ni ukatili wa hali ya juu. Leo niko zangu ndani ya daladala mara akapanda mwanamke mwenye mtoto mdogo kwa sababu seat zilikuwa zimejaa akamwomba mwanamke...
Niliamini alinipenda kwa dhati, but siamini kile anachoniambia sasa, "TUACHANE" ndo kauli yake ya mwisho.
Chanzo cha hili ni hv mara baada ya
Misimu ya sikukuu kuingia aliniomba hela ya...
Kuna utata umetokea baada ya jamaaa zangu Kupendana wakati wanajua ni ndugu ,utata umetokea wanapong'ang'ania kuoana eti undugu wao upo mbali yaani inawezekana MTOTO WAKO AOE MJUKUU WA MJOMBA...
Huyu rafiki yangu,alikua na mmanzi wake wa enzi hzo,wamefka chuo,ka kawaida ya wadada,akampga chni msela,wel msela kabembeleza wee,bt response ikawa zero as mmanzi alimchana live kwamba ana msela...
Wakuu,
Hayawi hayawi yamekuwa,
Ijumaa ndo imewadia,
Na kwa kuwa wikiend hii imenikuta nikiwa huku ugenini,
basi leo natarajia kuwemo ndani ya Hotel de Continental,
Pale kwenye kanga moko...
Hii nikwa habari ya mechi ya chumbani. lazima tukubaliane kwamba tendo hili ndio muhimili muhimu wa ndoa, hivyo kwamba kama kuna mushkeli katika hilo basi hata mawasiliano ndani ya nyumba...
HELLO!
you may be amused by this. enjoy it.
Men Are Impossible to Please
If he calls you and your phone is off, he thinks youre cheating . then he sends a sms saying dont...
Mchumba wangu ni mtu wa dini sana pamoja na familia yake, tuna mpango wa kuoana mwaka huu ila sijui lini, nimemwambia anipe mimba hataki, sina raha kusema kweli hadi mwezi wa tatu ajanipa tareh ya...
"A recent study shows that men who are married live longer than single men, but they're a lot more willing to die."
Research continue for the Reasons as to why they are willing to die, twaweza...
kipele-mahali unaposikia raha zaidi pakiguswa, ni muhimu kupafahamu inasaidia sana katika kumpa raha mwenzi wako!!
ukishapafahamu, tulia hapo hapo!!
pia kama ww mwenyewe unapajua ni vema ukamjuza...
Ni mara nyingi nimekuwa nikisikia malalamiko juu ya wasichana kuwa si waaminifu kwa wapenzi wao hali inayonipa wakati mgumu mimi ambaye nafikiria kutafuta msichana ambaye ntamsoma tabia na...
Habari,
Jamani hivi hapa bongo kama nataka watoto wa adopt naanzia wapi? na mchakato wake wa kisheria ni hectic sana? Je kuna gharama za kulipia? Je kuna masharti natakiwa nitimize (Umri nk?)...
Katika hali isiyo ya kawaida,kaka na dada ambao mama zao ni mkubwa na mdogo wamepeana mimba,stori yenyewe ilikuwa hivi,huyu msichana aliyepewa mimba alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na kaka yake...
Huyu mpwa wangu nilimchukua kijijini miaka miwili iliyopita ili kuja kusoma haya masomo maarufu kama QT kwa maandalizi ya kufanya mtihani wa kidato cha nne mwaka huu. Ingawa alifaulu kwenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.