Nisingependa nianzie mbali sana bali nieleze tu kwa ufupi na kwa ufasaha.
Nimekuwa na binti mmoja miaka minne niliyempenda sana na hata sasa nampenda sana naamini hata nikimtaja kwa jina sio...
Wajemeni narudi tena jamvini...........watakaonuna au kufurahi kwa raha zao! Nimerudi toka mjini nimekutana na jambo la kusikitisha. Ile natia timu tu huku dodoma-eneo la chang'ombe, nimekuta...
Which baby are you??
( Comment your month! ;]
JANUARY BABY
Pretty/handsome. Loves to dress up. Easily bored. Fussy. Seldom shows emotions. Takes time to recover when hurt. Sensitive...
sio unakaa na mtu mda mrefu,eti unamchunguza....akifa unaanza kuwa na guilty kama huyu mkaka wa Thailand....yeye amekaa na galfriend wake miaka kumi bila kupropose,galfriend wake amepata ajali...
Siku hizi wengi wanaingia kwenye mapenzi kwa sababu ya pesa, maumbo ama sura nzuri. Waoamini mapenzi bila pesa nao wanaongezeka kila siku kutokana na hali halisi hivyo siwezi kuwalaumu japo...
Nilipokuwa Mzumbe nikipata nondoz yangu ya kwanza nilibahatika kupata na toto moja matata kwel kwel,na bila kuamini mim ndo nilikuw wa kwanza kufungua ukurasa kwa mtoto yule nilikuta wajanja bado...
umewai kuumizwa ktk mapenz? Wachina wamekulea kifaa maalum cha kuepusha tatizo hilo lisitokee tena maumivu proof.ntazid kuwajuza juu ya hili. Endelea kunifuatilia
Ndugu zangu,nawaomba mnisaidie kwani mke wangu mtarajiwa siyo muaminifu kwani anazini hovyo na watu kila anavyoona yeye sijui nifanyeje?
1. yeye anafundisha kwenye shule moja huko Tabora na mimi...
Wakuu katika mazingira ya kutisha mpaka rangi kina mama majumbani amepigwa na mume wa mpakwaji baada ya mume aliyekuwa amepumzika ndani kuspoti mkewe akioshwaa mapaja na miguu ili kupakwa rangi...
Nina mpenzi wangu ye ameajiria ofisi fulani na huwa kazi zinambana nafasi yake ni j'pili tu! Na huwa ananitumikisha kinoma akija. Weekend hii nimemwomba asije sijiskii vizuri! We ananiwakia ki...
Ni kisa kimetokea kwa kaka mmja jiran yangu..kimetushangaza kwa kweli na huyu kaka kaniomba nimshauri nikaona penye wengi haliharibik jambo..
Ni mwaka wa kumi wameoana na mkewe hawakufunga...
Wana jamvi mimi siyo mwandishi mzuri, wa Story ndefu ila nataka kushea kidogo changamoto/Tatizo nililo nalo na kunisaidia mawazo nini nifanye kwasababu hapa nilipo nimejawa na hasira lakini pia...
Habar zenu wana jf..
Kuna kitu kinantatiza kuna jamaa mmja, ambae ni rafiki yangu tu wa kawaida..sasa amekuwa na tabia ambazo sizipendi naona hata nivunje urafiki wetu..yy anafanya kaz bank ya...
Nilikutana na huyu binti kwa mara ya kwanza ndani ya basi moja maarufu lifanyalo safari zake kati ya Dar na Morogoro. Tulikaa nae siti zilizopakana, na sikuongea nae kwa takribani nusu saa nzima...
Hi wana jf community? Kuna wengi 2mekua 2kisema ooh mapenzi haya chagui, nani alieleta hili neno ameharibu wa2 kweli. Kwasababu halina ukweli wowote. Utamsikia m2 akisema"Mimi siwezi kua na...
Wapendwa natumai mlikuwa na weekend njema.
Naandika kwa niaba ya cousin yangu ambaye tumetokea kuwa ndugu pamoja na marafiki sana. Anahitaji ushauri. Swala hili limemtokea jana na hivi sasa...
Ladies , what attracts you the most on a man when it comes to physical and facial appearance?
. . . I. . .
Strong, broad shoulders and a mascular back (from neck, down to the waist)...
Mmoja amegraduate Udom mwaka huu,ananisisitiza sana nimuoe kwani tayari ameniona nafaa kua mumewe.
Wa pili anachukua diploma ya ualimu mwaka wa kwanza,huyu tayari amewajulisha wazazi wake kua...
jamani mimi nikuwa na girlfriend wangu mm naishi dar na yeye anaishi Arusha.Mimi nimemalza chuo UDOM mwaka huu na yeye yupo mwaka wa pili UDOM.Tumeanza mahusiano yetu na mwaka mmoja sasa...
Golden Mpoleeee anatisha wake kwa waume. kisa? anajiachia. Mwanamke anapofanya mambo wanaume wanafanya utaitwa wewe mwanaume. hivi kama mm mwanamke kama nimeweza y useme ni mwanaume wakati...