Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

When you've just gone through a breakup, there's a period of adjustment... especially if you've spent great amounts of time with that departed partner. How many of you have experienced this...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Hivi karibuni nilikuwa maeneo ya mozambique, nimetembelea maeneoa kama Aldea, Pemba, Nangadi n.k. Huku kuna wanawake wa aina mbili, Weusi(Wenzetu) na weupe ambao ni Half Cast (Yaani wazuri hao, si...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
Habari za weekend! Nilikuwa namind business zangu, baada ya kupata upako kutoka church baada ya mahubiri ya padre mkongoman from Uvira. Nimekula ugali wangu kwa mchuzi na mtindi huku nikisurf chit...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Kumbukeni...............Women Looks Nice from Far BuT aCtUAlLy ThEy ArE fAr fRoM nIce!!!
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Ni karibu wiki tatu zimebakia ifike ile tarehe ambayo watu huambiwa waoneshane upendo(hata kama mlikua mnavurugu inabidi muache siku hiyo)Najua siku hiyo watu hujiandaa kwa mambo mengi,ila jamani...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Kuna dada nimetokea kumpenda mpaka ikanilazimu nimwambie. Ajabu yeye akadai hana hisia juu yangu, anataka tuwe marafiki tu. Kwa miaka miwili sasa wimbo ni ule ule. Anafurahia sana kampani yangu...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
wanajf wenzangu ninapenda watu wanne tofauti,na sasa imefika kipindi nataka nibaki na mmoja tu,nashindwa kuchagua nifanyeje?
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Naomba kuwauliza wanaume, nimekuwa nikisikia mara nyingi, eti wanawake wajawazito ni watamu sana. Yaani wanakuwagaa watamu kwenye kuduuu. Kuna ukweli wowote katika hili? Naomba kujuzwa
0 Reactions
24 Replies
7K Views
Kuna jamaa angu leo kanistajabisha sana,Ana dada wa kazi nyumbani kwake sasa anasema huyo dada wa kazi baada ya kukaa nae kama mwaka 1 sasa amependeza sana yaani kutanuka kila idara ya mwili...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Imeandikwa na Peti Siyame, Mpanda; Tarehe: 21st January 2012 @ 14:50 Imesomwa na watu: 419; Jumla ya maoni: 0...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Nimekuwa nikisikia malalamiko mengi juu yandoa zinazovunjika visa niving lakn hili la watoto linashika kasi,je kuna ukweli wowote?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jaman nimekosa raha ndugu wa baba wanadai eti mama yng mchawi anamloga baba hadi amekuwa mlevi mbwa pia kama anachanganyikiwa wameniita eti wanipe dawa ili wanipe dawa waliyopewa na waganga wao...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Sijajua kama jamvini tumewahi kufikiri swala la pornography na ndoa zetu! Does it help anything? How devastating it is? Maana hapa kwenye ndoa kuna wa aina tatu. a) Both mume na mke...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
habari wana jamii forums me ni mgen kwenye jamvi hli.mimi ni msichana nna miaka 23 nipo chuo mwaka wa pili na nina mtoto.tatizo langu mi kwamba nahisi nina shida katika mapenzi kwani kwa mwaka...
3 Reactions
69 Replies
5K Views
Niko mikoa ya kanda ya kaskazini kikazi, nimekutana na dada mmoja ,mumewe ni mtu wa makamo, lakini dada kidogo anaonekana bado damu inamchemka, wana duka kubwa la vyakula hapa mjini. Kwa ajili ya...
1 Reactions
65 Replies
5K Views
mabinti mabinti mabinti hii ni kutoka kwa wadada wafanyakazi tanzania(wwt) kunawimbi la vijana especially wa chuo wanapenda kushobokea wadada wanaofanya kazi.inakuwa ni kazi kwako kumlipia...
16 Reactions
74 Replies
8K Views
naomba kujuzwa kama umri au age different ni kigezo muhimu katika maisha ya mahusiano au ndoa and if age matters ni miaka mingapi actually mwanaume na mwanamke wanatakiwa kupishana? what about the...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
niliachana najamaa m1 toka 2009 sasa toka juz ananisumbua sana et anadai bado ananipenda minkakataa ila jamaa anakuwa haelewi kiukweli mi simtaki manake alitenda isivo kawaida
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ni mwaka wa pili tangu nioe, ila mwezi wa 11 mwaka jana mke wangu kaanza mauzauza. Anatoka asubuhi kurudi ni saa sita au asubuhi ya siku inayofuyata. Kafanya hivyo kwa muda wa miezi miwili sasa na...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…