Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

habarini wana jf , jamani kuna m2 alishakuwa na mtu kwenye mahusiano kwa kupitia hii wesite na wakafunga ndoa km yupo aniambie?
1 Reactions
4 Replies
878 Views
... Najua kina AshaDii and the like (Lizzy ni binti yangu jamani so siwezi kumhusisha) wataipenda hii! Meghalaya, India: Where women rule, and men are suffragettes...
0 Reactions
0 Replies
874 Views
Naombeni ushauri au msaada wenu mim ni jinsia ME nina 25yrs nina kama 7 yrs hivi sija fanya mapenzi. Hivi karibun baada ya watu kunishauri japo nitafute hata kadem niwe nakamua kuondoa...
0 Reactions
39 Replies
7K Views
Unrealistic expectations are planned resentments. Kila mtu anapoingia kwenye mahusiano/ndoa anakua na matarajio yake. Wapo wenye matarajio ambayo napenda kuyaita "reasonable/realistic" na...
15 Reactions
90 Replies
5K Views
mim ni kijana wa miaka 24 naish apa apa dar.tatizo langu ni moja kama c mawili kila nifanyapo tendo la ndoa na mdada hudiliki kutoniacha kabisa na kuniganda kama ruba kiasi kila niombacho napewa...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Dear Wana MMU Heri ya Mwaka Mpya Namshukuru MUNGU kwa kutufikisha mwaka huu hali ambayo wengi wetu walitamani lakini MUNGU alikuwa na mipango myema zaidi kwao. Ashukuriwe kwa kila jambo...
12 Reactions
86 Replies
5K Views
Habari zenu wanajamii forum,mwenze niliachana na mpenz wangu kipindi fulan kutokana na vijimambo fulan ila nika jipa moyo ntapata mwingine,na kweli cku zkapita nikapata mwingine ili huyu mpya ni...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
She is like an angel, amejawa na nidhamu Her smile is special, maneno yake matamu Highest above level, hakika hanishi hamu Sticked her my label, awe wangu wa kudumu. Akiwa karibu yangu, nothing...
13 Reactions
100 Replies
5K Views
Sometimes love is not enough being involved to a relationship there should a time,understanding,and communication......thats why...we broke up......and its too hard for me...................
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Kuna rafiki yangu tunamesoma naye. ameniomba ushauri afanye nini baada ya kugundua kuwa rafiki yake wanaefanya naye kazi anatembea na mpenzi wake. Huyo jamaa anajua kila kitu kuwa huyo ni demu...
0 Reactions
50 Replies
6K Views
Hivi tuseme umepata mpenzi wako.Ukagundua kuwa anamiliki mali kama nyumba na magari na wewe huna kitu. Mkakubaliana kuoana. Ukahamia kwake wewe na Rambo yako. Hali huwaje baadae? Tunaweza rejea...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
habari, mimi ni kaka yangu ambae ni pacha yangu, yeye alitokea kumpenda kabinti chetu cha kazi ana miaka 2O elimu yake ni darasa la 7, baada ya kuwa na uhusiano wa siri kwa miaka miwili osidai...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Yohana Mwatebela mwenye makazi yake mjini mbeya ni jina linalofahamika na wengi. Ameaga dunia usiku wa juzi kuamkia jana kwa shinikizo la damu kwa kadiri ya vyanzo muhimu vya habari. Alizaliwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nipokeeni mwenzenu
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Poleni sana na huu msiba mkubwa uliotupa wana JF Naomba msaada wenu kimawazo, Nimeolewa na nina watoto wawili...Mtoto wangu wa kwanza wa kiume nilimzaa nikiwa form two ,nikamrudisha home kwa bibi...
0 Reactions
52 Replies
4K Views
Wenzangu wa MMU, Wengi wenu sikuwasikiliza lakini sikio la kufa .......... Nikawasikiliza wachache na nikajikuta nimejaribu kwa mke wa wa mtu,utamu nikaupata na sasa jamaa-mumewe amenijua na...
2 Reactions
73 Replies
6K Views
Waungwana hizi social network tuwe makini nazo binti mrembo ameuwa baada ya kukutana na rafiki wa facebook ambae amekuwa mpenzi wake, wakiwa hotelini jamaa mwengine ambae alikuwa x wa huyo dem...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
KADA WA UVCCM IRINGA ALIVYOFUMANIWA AKISALITI NDOA YAKE Ni vigumu kuamini ila inapotokea huwa ni vigumu kuvumilia. "Je ndo chama au ni kichaka cha umalaya" na kauli ya mume wa kada huyu...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
naitwa jonal rashidi nipo the rock city nna miaka 21 nasoma kidato cha 5 in mwz sec school natafuta marafiki wa kuchat nao namba yangu ni 0764339400.usibip nicall or ni2mie msg ok? kisses
0 Reactions
4 Replies
957 Views
Hellow wana-mmu. hali inamwumiza sana alikuwa na mpenzi alimsomesha mpaka form six na kumgharamikia kila kitu na alipomaliza alimfungulia duka la vipodozi akalifilisi kwa kuwahonga wanaume ndipo...
0 Reactions
60 Replies
7K Views
Back
Top Bottom