naitwa jonal rashidi nipo the rock city nna miaka 21 nasoma kidato cha 5 in mwz sec school natafuta marafiki wa kuchat nao namba yangu ni 0764339400.usibip nicall or ni2mie msg ok? kisses
Umeshawahi kujua hili sababu nini??
Yaani ni sumu kwa makabila mengi sana wakisikia unaoa mwanamke
alie na elimu ama ya kukukaribia ama amekuzidi yaani n shida tupu
watakutajia matatizo yao na...
Jamani habari zenu? Jaman mm kazin kwang nilikuwa naubishi na wenzangu, kuhusu mahusiano ya mapenzi, je wangwana, ni vema m2 kuzungumza / kuwahadithia wenzake juu ya yey katembea na yule huyo...
Ndugu WanaJF
Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia...
Rafiki yangu amekuja kuniomba ushauri mgumu,nikaamua niwashirikishe.Yeye ameoa ana miaka 6 kwenye ndoa ya kanisani.Hawana mtoto mpaka leo.Wameenda kupima yeye ni mzima ila mkewe ana matatizo{sijui...
Oh, the comfort - the inexpressible comfort of feeling safe with a person - having neither to weigh thoughts nor measure words, but pouring them all right out, just as they are, chaff and grain...
Hivi unasikia mtu akisema na mpenda fulani wakati ana mpenzi wake je hapo anakuwa anampenda?? au anamtaka??au anamtamani???
Kumpenda mtu nivipi?na kumtaka mtu nivipi?,nakutamani mtu nivipi?
Katika tembea yangu sijaona mwanamke mtamu kama huyu wangu. Kuanzia tabia hadi 10 kwa 10. Kwa kifupi nainjoi maisha kwani sitamani kamwe kumuacha. Nampenda kwa dhati naye pia ananipenda. Vipi...
Wanawake hao wanapinga kile cha kuambiwa kuwa wao wanakwenda kufanya umaraya india kwa hyo hawastaili vizaa
Ukrainian women rage against Indian prostitute ‘slur' | euronews, world news
INNOCENT NGARULA [40] amejikuta akidhlilishwa na mke wake usiku wa kuamkia jana baada ya mke huyo kuamua kutoa siri ya malumbano kati yao na kubainisha mume wake alikuwa akihitaji kumuingilia...
Nimetembea na mke wa mtu na alikuwa mpenzi wangu tangu tulipokua wadogo. Tulitengana kwa sababu za kijiografia tu. tumekutana kwa sababu za kazi wakati yeye kaolewa nami nikiwa na mke tayari...
Siamini usemi wa "dawa ya moto ni moto" hutumika kila mahali................mfano wandani wako kakuletea shombo na mambo yote yamegeuka bokoboko......utafanya malipizi ya dawa ya moto ni moto au...
kuna mtu ambaye MOYO wake ushawahi ku appreciate kwamba anampenda NDUGU yake, kwamba inafika kipindi yeye mwenyewe akubali kwamba kweli anampenda kuliko ndugu wengine achilia mbali na undugu wa damu?
baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae.
baadhi ya wasichana...
Ilikuwa ni mwaka 1988 nikiwa nimekuja Dar kwa kaka yangu baada ya kumaliza kidato cha nne na kufeli vibaya huko kijijini. Tulikuwa tukiishi kariakoo mtaa wa Sukuma. Kaka yangu alikuwa amepanga...
kuna msemo usemao......................ukitaka kumla kuku usimchunguze sana...................na kwenye mahaba mambo ndivyo hivyo...............tatizo la walimwengu huangaishwa na nafsi zao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.