Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

naitwa jonal rashidi nipo the rock city nna miaka 21 nasoma kidato cha 5 in mwz sec school natafuta marafiki wa kuchat nao namba yangu ni 0764339400.usibip nicall or ni2mie msg ok? kisses
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umeshawahi kujua hili sababu nini?? Yaani ni sumu kwa makabila mengi sana wakisikia unaoa mwanamke alie na elimu ama ya kukukaribia ama amekuzidi yaani n shida tupu watakutajia matatizo yao na...
0 Reactions
33 Replies
7K Views
Jamani habari zenu? Jaman mm kazin kwang nilikuwa naubishi na wenzangu, kuhusu mahusiano ya mapenzi, je wangwana, ni vema m2 kuzungumza / kuwahadithia wenzake juu ya yey katembea na yule huyo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu WanaJF Uncle amekuwa anatafuna mdada wa kazi kwa jirani, mara wenye nyumba wanapokuwa hawapo huku mdada mwingine wa kazi akishuhudia vitendo vile. Kweli za mwizi ni 39, ya 40 sasa imewadia...
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Rafiki yangu amekuja kuniomba ushauri mgumu,nikaamua niwashirikishe.Yeye ameoa ana miaka 6 kwenye ndoa ya kanisani.Hawana mtoto mpaka leo.Wameenda kupima yeye ni mzima ila mkewe ana matatizo{sijui...
0 Reactions
6 Replies
902 Views
Oh, the comfort - the inexpressible comfort of feeling safe with a person - having neither to weigh thoughts nor measure words, but pouring them all right out, just as they are, chaff and grain...
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Hivi unasikia mtu akisema na mpenda fulani wakati ana mpenzi wake je hapo anakuwa anampenda?? au anamtaka??au anamtamani??? Kumpenda mtu nivipi?na kumtaka mtu nivipi?,nakutamani mtu nivipi?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika tembea yangu sijaona mwanamke mtamu kama huyu wangu. Kuanzia tabia hadi 10 kwa 10. Kwa kifupi nainjoi maisha kwani sitamani kamwe kumuacha. Nampenda kwa dhati naye pia ananipenda. Vipi...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Hamjambo wana jf swali. Vitu gani vinavyokuvutia kwa mwanamke mpaka ukampenda ?
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Wanawake hao wanapinga kile cha kuambiwa kuwa wao wanakwenda kufanya umaraya india kwa hyo hawastaili vizaa Ukrainian women rage against Indian prostitute ‘slur' | euronews, world news
0 Reactions
1 Replies
1K Views
INNOCENT NGARULA [40] amejikuta akidhlilishwa na mke wake usiku wa kuamkia jana baada ya mke huyo kuamua kutoa siri ya malumbano kati yao na kubainisha mume wake alikuwa akihitaji kumuingilia...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Wanawake hao wanapinga kile cha kuambiwa kuwa wao wanakwenda kufanya umaraya india kwa hyo hawastaili viza
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimetembea na mke wa mtu na alikuwa mpenzi wangu tangu tulipokua wadogo. Tulitengana kwa sababu za kijiografia tu. tumekutana kwa sababu za kazi wakati yeye kaolewa nami nikiwa na mke tayari...
1 Reactions
33 Replies
3K Views
Siamini usemi wa "dawa ya moto ni moto" hutumika kila mahali................mfano wandani wako kakuletea shombo na mambo yote yamegeuka bokoboko......utafanya malipizi ya dawa ya moto ni moto au...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
"wanaume wanajua kwa usahihi kuelezea mahitaji yao"
0 Reactions
9 Replies
964 Views
kuna mtu ambaye MOYO wake ushawahi ku appreciate kwamba anampenda NDUGU yake, kwamba inafika kipindi yeye mwenyewe akubali kwamba kweli anampenda kuliko ndugu wengine achilia mbali na undugu wa damu?
0 Reactions
0 Replies
880 Views
Passing time in bed is awful yet necessary this time, so that you can go back to yourself stronger than ever before. Get Well Soon.
2 Reactions
156 Replies
7K Views
baadhi ya wasichana huyaelekeza macho yao kwa wanaume matajiri wakisahau kuwa hakuna mtu aliyezaliwa na utajiri bali hata masikini wa leo anaweza kuwa tajiri baadae. baadhi ya wasichana...
12 Reactions
155 Replies
14K Views
Ilikuwa ni mwaka 1988 nikiwa nimekuja Dar kwa kaka yangu baada ya kumaliza kidato cha nne na kufeli vibaya huko kijijini. Tulikuwa tukiishi kariakoo mtaa wa Sukuma. Kaka yangu alikuwa amepanga...
2 Reactions
101 Replies
7K Views
kuna msemo usemao......................ukitaka kumla kuku usimchunguze sana...................na kwenye mahaba mambo ndivyo hivyo...............tatizo la walimwengu huangaishwa na nafsi zao...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom