Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Wandungu habari zenu wote. jamani kuna tabia nimekuwa nayo na ninaona inaniharibia mahusiano, either niachwe au huyo niliyenae anione kero. ila wandugu niwaambieni, sio kupenda kwangu ni kwamba...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Wadau Habarini, Niwatakie heri ya mwaka mpya, imekuwa kitambo kidogo taingia nitangaze nia, nikapata mchumba humu JF ambae tulifunga ndoa tarehe 15.10.2011; ndoa yetu ni ya furaha na kila mmoja...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Hivi utajisikiaje/utachukua uamuzi gani utakapogundua kwamba rafikiyo/shogayo amemnunulia mpenzio zawadi ya nguo za ndani chupi, chupi,skintight & bra katika siku yake ya kuzaliwa, halafu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Ili kuboresha mahusiano kati ya wanawake na wanaume, na wanawake kwa wanawake wenzao;tukumbushane mambo gani ambayo wanawake hawapendi. 1, 2, 3, ........
0 Reactions
147 Replies
27K Views
Kwanza naanza kwa kuwaomba mnisamehe kwa kuleta hii kitu huku sababu najua huku sio mahala pake,ila nimelazimika kuileta huku nikitumai itakuwa rahisi kuonekana na wengi sbb nina shida sana na...
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Wakuu JF. Wanaume wenzangu tuziangalie hizi dalili 5 za mke aliyetoka kukusaliti.. 1. Akirudi nyumbani hutumia dakika moja toka kusalimia hadi kwenda bafuni kuoga. 2. Mara nyingi mavazi...
0 Reactions
64 Replies
13K Views
Kwanza poleni na msiba wanajamii wenzangu. Leo nina neno hapa linahitaji msaada wenu maana naona dada yangu naona anataka kutoa maamuzi magumu. Ameolewa miaka karibia saba iliyopita na amekua...
2 Reactions
63 Replies
5K Views
Jamani ndugu zangu ni mpenzi wangu ambaye tangia tuanze kujuana takriban miaka miwili sasa hajawa kuniomba kitu chochote hata vocha mpaka hvi sasa tunaplan ya kustart tht new life.na mimi mwenyewe...
1 Reactions
92 Replies
7K Views
Habari wana MMU. Nilikujaga na thread mwaka jana ya Kabila la Wakurya kuwachagulia wenzi watoto wao, watu walinishambulia sana. Im sory kwa wale ambao waliona kuwa kabila lao halina hiyo tabia...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
wale viumbe wanao jiuza usiku wamegundua style mpya. baada ya wateja wao kuwakimbia mala kwa mala, sasa hivi wameamua kuwaajiri wamasai. kama unashindwa kulipa wamasai wanakushughulikia kwa...
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Wana wa Jamii haijapita hata wiki kabla hata mate yangu, hayajaanguka chini. Nilishuka na Thread hapa iliyokua na headin' "HII NYUMBA INAKALIKA ? " Ushauri niliokua nimeomba ni kumhusu Kaka...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
wakuu, najua kukutana ni mahali popote, mnaweza kukutana kwenye basi, njisni, kanisani, msikitini, mpirani, kumbi za starehe na mahali pengine ambapo sijapataja. maeneo hayo watu wamekuwa...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Samahani sana: Tumekuwa tukisikia mara nyingi kuhusu mahusino mbali mbali. Kunawazo nimelifanya la astrojia ambalo lina kueleza mahusiano yako na mpenzi wako yakoje. Basi vinjari . Kumbuka haya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habarini wana jf, jamani mwenzenu nimekuwa hurted hii ni mara ya pili uchungu ninaoputa ni kama kidonda nisaidieni nifanyaje?
1 Reactions
81 Replies
5K Views
Straight up right ya know Laaaaaydeeees HaHaHaHaah I love ya tho If your man ain't takin care of ya girl don't worry I'm exactly whatcha lookin' for 1-800 Mr. Lovah Dig dat SHAAAAGGY Are you...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Uchunguzi mdogo nilioufanya nimegundua akindada wengi wana tabia ya kuomba, hata kama wanauwezo wa kiuchumi lakin hawachi kuomba,naamaanisha kumwomba mwanaume pesa. chanzo chake nini? je uko sawa...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hapa kuna mapenz au nin leo nimemsindikiza hospital thn akapima akanitel haumwi ki2 alafu amepewa dawa kuzisoma ni ya viginer duu nika jifanya sijui kumuuliza akantel niya rashez mi nikavunga...
0 Reactions
64 Replies
5K Views
mie ni kijana fulan wa makamo. but tatizo langu ni hili ambalo limenifanya niingie kwenye jamii forum nipate ushauri. nina mpenzi wangu ngoja nimuelezee sifa zake kwanza ndo nahc ndo njia rahisi...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Kheri ya mwaka mpya wana Jf kila pande mlipo. Wandugu, mwishoni mwa mwaka jana nilijitambua kuwa sistahili kuendelea kuishi peke yangu ktk dunia hii, hivo niliamua kwenda home kutafta atakae...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Ikandamoyo, wilayani hapa, Veronica Saleh ‘Mama Kaela’ (50), amefanya uamuzi adimu wa kuolewa na wanaume wawili ambao anaishi nao kijijini hapo. Kijiji hicho kipo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom