Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja mkoani Mbeya amejikuta anaamka asubuhi huku nyeti zake zikiwa hazipo na kumfanya achanganyikiwe na kuhaha huku na huku mahospitalini bila kupata ufumbuzi...
Kuna binti anatoka na babaye, anadai "dingiye" aliomba aonje malezi yake eti naye alikubali. Sasa hivi analelewa na"dingiye" kama nyumba ndogo. Baada ya watu kumsema sana anaomba ushauri mimi...
Habari wana jf,kuna jambo natatizwa nalo khs mahari,wengine wanasema mahari huwezi kulipa yote unapolipa lazima ubakishe na wengine husema mahari unaweza kulipa yote uliyopangiwa na hakuna...
Nina mchumba ambaye tunamuda mrefu kidogo kwa sasa, mwanzo tulipokutana tukawa tunawasiliana kama marafiki wa kawaida lakini cku moja akanitamkia kuwa ananipenda na anataka tuwe wachumba ambao...
wazee nimetuma message ya nyumba ndogo kwa wife kwa bahati mbaya. Nilikuwa nachati nao wote kupitia yahoo messenger sasa nikajikuta namtumia msg wife badala ya nyumba ndogo. wife alisha log out...
Ni hali ya kawaida mvulana kumtongoza msichana, wakikubaliana, mvulana hutenga fedha kwa ajili ya: kununua chakula, vinywaji, nauli, gharama ya chumba (for action), kutoa hela ya vocha ya simu...
wakuu nina umri wa miaka 32 male, na mwenzangu ana miaka 27: mwenzangu ni mpare mi mnyakyusa. tulianza mahusiano mwaka 2006; kabla hatujaanza mikakati ya ndoa nikaenda masomoni mwaka 2008. ikawa...
Kwanini watu wanaamini kuwa kuna baadhi ya makabila ukioa au kuolewa nayo ni taabu tupu. Mfano watu wengi wanaamini ukiolewa na mkurya au ukioa mkurya kipigo kwao huwa ni chakufikia yaani ni kama...
A contestant on the Brazilian version of Big Brother has allegedly been raped on live TV.
Police in Brazil have confirmed that they have started an investigation and carried out a search of the...
Nina rafiki yangu ameoa na anawatoto wawili. Tatizo mke wake anamdharau sana hamsikilizi kwa lolote lile. Wakati mmewake anawatunza yeye pamoja na ndugu zake. Ukiangalia kaka huyu hana ndugu...
Kwenye ndoa kuna matatizo mengi sana yanayotukuta eitha sisi wenyewe, marafiki zetu, ndugu zetu na watu mbalimbali. Tunayasikia matatizo hayo kila siku kwenye mazungumzo tunayoyafanya, kupitia...
Ni dhahiri wazazi wengi ambao ni wafanyakazi waishio mijini watoto wetu wanakuzwa na madada wa kazi ama chekechea. Hali hii ni tete sana, hasa katika makuzi na maadili - pia ni kumnyima mtoto...
Rafiki yangu aliyefunga ndoa mwaka 2006 amekuwa akijitahidi kupata mtoto bila mafanikio, Mke wake hubeba mimba kama kawaida na punde siku zinapokaribia kujifungua kiumbe hupoteza uhai! Amekwisha...
Miaka kadhaa nyuma, nilimpata binti mmoja wa kunifaa kwenye maisha nikaamua kufunga naye ndoa. Tukio hili lilitokea takriban miaka kumi na mbili iliyopita nyuma.
Harusi yetu, haikuwa ndogo kwa...
Hi everybody;
Naomba kum-vote Mh. Regia Mtema (RIP) kama mmojawapo wa wabunge waliokuwa wanaopendwa sana na jamii ya watanzania. Hii haimaanishi kuwa wabunge wetu wengine hatuwapendi, la hasha ila...
Ni takriban miezi miwili sasa mgogoro huu umekuwa ukifukuta chini kwa chini na sasa imefikia mahali humu ndani hapakaliki wala hapaliki, ilimradi tafrani kila kitu vululu vululu. Nimelinyamazia...
Hivi ni sahihi kweli ukamtapika mtu jana ukidai mapigo hayakujitosheleza au haniridhishi au sikuridhika naye.........halafu kesho ukadai umesikia hamu ya kulamba matapishi yako...
Yaan utakuta mwanaume kaangaika sana, kimaisha, wengine mpaka wanapata majeraha makubwa, au wananusurika na vifo wakiahangaikia maisha. mungu si athumani anawajalia hawa waangaikaji vijipesa...
jamani mm nina mchumba angu ambaye tuko karibu hatua za mwisho sasa alicho nifanya jana nashindwa huelewa niko njia panda....
ilikuwa ivi nilipiga sm usiku wa manane yaani saa 8 usiku bahati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.