Jamani nataka nielewe, kwann wasichana wa kibongo sio waaminifu? Hii ni kwa sababu nimejaribu kulinganisha wasichana wa nchi zingine kama, Kenya, Uganda, Zambia na zinginezo. Nimebaini kuwa...
habari zenu..jamani mimi tangu nianze kufanya mapenzi nimekua sifiki katika orgasm kama wana wake wengine wanavofika..na pia ni mara chache sana kupata hamu ya kufanya mapenzi...ila nikicheki porn...
Siku moja nikiwa na safiri kuelekea Dar esalam kutoka mbeya nikiwa kwenye kituo cha mabasi, kulikuwa na wazee wawili, walikuwa na maada ambayo walinifanya niwadadisi kwa undani zaidi ,wakidai...
By Herieth makweta.
MARA nyingi wengi tumekua tukichukulia masuala ya kiuhusiano tofauti na vile ilivyo kawaida
Siku zote wanawake hujitahidi kutafuta wanaume wenye vipato vyao na wangine pia...
wapendwa,
nnatumaini mnakumbuka vizuri thread yangu hii hapo chini:
https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/131459-siku-30-nzito-za-maisha-yangu-ooh-glory-to-god.html
kwa sasa...
Ni kwa mara ya kwanza najitokeza katika ukurasa huu wadau naomba msaada wenu wa mawazo kwani nina rafiki ambaye tulipendana sana na tumedumu kwenye mahusiano kwa muda wa miaka mitatu lakini cha...
Nilianza kumfahamu wakati huo nakwenda sana alipokuwa akifanyia kazi ambapo nilikuwa nikitaka huduma za "Internet" akaanza kuniita kaka....
Baada ya kupoteana kwa muda, wakati fulani nilikutana...
Natafuta marafiki jinsia zote ila wawewanajielewa na kujiheshi pia.
NOTE: Sihitaji urafiki wa kimapenzi, hii ni kwa akina dada watakaoamua kuwa marafiki zangu.
Unaamua kumuacha mpenzi wako wa sasa na kurudiana na mpenzi wako za Zamani, mme ombana misamaha na mmekubaliana kurudiana. Kwanini hivi? baada ya kuachana kwa muda mrefu mnagundua kuwa kama vile...
Upo uhusiano wa moja kwa moja kati ya harufu zetu na mahusiano na wengineo hususani wapenzi wetu. na ndiyo maana misemo ifuatayo hujitokeza kwenye jamii kuhusiana na harufu zetu:-
a) Jamani...
. . . . kwa wote waliopoteza wapendwa wao.
Crossroads - Bone thugs
Krayzie:
Now follow me roll stroll whether it's hell or it's heaven
let's come take a visit of the people that's long...
1. When a ship sinks, women (and children) get off first.
2. A woman can hug her best friend without worrying she'll think she's gay.
3. Women can talk to attractive members of the opposite...
Habari wana Jf!!
Nikiwa nimetoka kanisani mwenge, nikapanda gari za ubungo kupitia chuo kwani nlikuwa naelekea campus.
Nikiwa kwenye gari mbele yangu alikaa mwanaume aliyekuwa amempakata mtoto...
Leo asubuhi nilikua nafikiria kitu nikajikuta naangalia mahusiano na ndoa kwa namna ambayo sikuwahi kabla. Mimi na wewe ni kama vipande vya puzzle ....you've got your share and I have got...
Mara chache sana huwa tunathamini nafasi ya harufu zetu katika kujenga au kubomoa mahusiano kati yetu na wale tuwapendao.......Misemo ifuatayo midomoni mwetu katika jamii yaonyesha harafu ina...
Yaani kuna binti mmoja wa kisukuma....................roho yangu ilimzimia sana enzi zangu zile zilipendwa....................nikashindwa kuvumilia nikamgongea hodi kuwa twende matanuzi...
Unaweza ukaona kama pengine ni changamsha genge lakini hii kitu ni kweli kuna mwanaume hili jambo linamkumba kwa muda sasa.
Mwanzoni sikumuamini, lakini imebidi nifike kuamini ukweli huu.
Mpenzi...
mtu kama huyu anatufundisha nini ktk jamii..ama anawafundisha nini wakwe zake ama watoto wanaoudhuria harusi yake..anyway binfsi nimekuwa na maswali mengi nani kamweka hiyo tatuu na ukichungulia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.