Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Nimebahatika kupata mchumba nadiriki kusema tunapendana ila kunatatizo linamsumbua mchumba wangu huwa baadhi ya usiku huingiliwa usingizini na akiamka huwa na dalili zote za kufanya ngono tena...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Hello, Huyu msichana ni wiki kadhaa tumekuwa tukiwasiliana alishapewa habari zangu, jinsi nilivyo, na mambo mengine. Ingawa mimi cjamuona Cha ajabu amenipenda, ananipigia simu kama hana akili...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Wakuu nimeombwa ushauri na rafiki yangu,naomba mawazo yenu pia... Ni hivi: Mshikaji alikuwa na uhusiano na msichana wake wa kwanza uliodumu miaka minne hivi,katikati ya mwaka 2010 akakutana na...
0 Reactions
34 Replies
2K Views
Kuna jamaa alikuwa na kesi mahakamani,na wakili wake alimshauri kwamba ategemee fine au akishindwa kulipa atapelekwa jela,na hukumu imebaki siku 2. Jamaa alikuwa hana hela,akamkopa boss wake na...
0 Reactions
42 Replies
3K Views
Msamaha ndio kitu muhimu sana katika maisha ya mwanadamu yeyote yule. Hivyo basi tunapaswa kuwasamehe wale wote waliotukosea kwa mwaka uliopita na tuombe kwa Mungu wetu atusamehe. Naye Mungu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
jamani nimeona kuwa kwa sasa ili mwanaume apate utamu basi inabidi tuu mshiko umtoke kwa namna moja au nyingine...kiufupi kuhonga is a must ndio unapata demu sasa kwa mwaka ujao naona tufuate...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
pia wanawake wa kingoni wabaya
1 Reactions
34 Replies
5K Views
Usiku wa kuamkia leo Member mwenzetu Karachuonyo amepata Baraka ya mtoto wa KIUME ktk hosptali ya Saint Thomas hapa Arusha mjini na Mama na mtoto wanaendelea vizuri kbs! Hongera sana Mr & Mrs...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Natumaini mwaendelea vizuri na majukumu yenu ya kila siku.. Kuna ndugu yangu amesalitiwa na mpnz wake wake wa kike(girlfriend),ana uhakika 100% kwamba amesalitiwa na huyo gal wake kakubali. Huyo...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
dada mmoja akitoa maoni huko Tunduru_Ruvuma(uandikaji wa katiba mpya)anasema anapendekeza katika katiba mpya mtu akioa/kuolewa hakuna kuachana. chanzo tbc1 habari
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Waungwana wadau, kwanza ninasikitika kwa kutokuepo mkekani kama ilivyo kawaida yangu kwa takriban siku 4-5 kufuatia kufiwa na Mama mdogo wangu J'2 iliopita na tumemzika jana (R.I.P mama). Wadau...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
Kuna Binti hapa kaniacha hoi mie labda na nyie atawashangaza . Huu ni mwaka wa pili sasa yuko kwenye hiyo secret admirer na kaka mmoja. Kila siku binti anategeshea amuone huyu kaka ndo apande...
0 Reactions
158 Replies
13K Views
Mwaka ndo huo unaisha, mapenzi yamekufanyia nini? 1.umeumizwa mara ngapi? 2.Umetumia sh ngapi kuhonga na kuwanunulia zawadi mademu, 3.umetumia sh ngapi kila ulipotoka out na demu sometime...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Mimi ni Mtanzania ambaye nina maisha yangu, maisha ya mapenzi yananichanganya sana kwa sababu kuna wanawake zaidi ya watatu wananikubali sana na kila mmoja ana malengo ya kuwa nami..nifanyaje wana...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
When volunteers were shown photos of ex-lovers from a recent break-up while lying inside a functional MRI scanner, their brains showed significant activity in the same regions that become aroused...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Habari zinasema kuna kundi la mabinti wezi wa waume za watu wameomba mchana huu maombi rasmi mungu kushusha mvua kesho ati madaraja yakatike watu walalale lodge nanyi nawapa happynyu yia
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ndugu zangu wa jf, hapo kitambo nilikuwa na girlfriend, mwanzoni mahusiano yetu yalikuwa bomba kabisa na nilitokea kumpenda hasa pale alipofanikiwa kunifanya nisivute sigara,,na kweli baada ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wahenga wanasema ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni....!!! Rafiki yangu wa karibu sana jana kidogo agongwe na magari baada ya kumfuatilia mke wake kwa umakini zaidi na kugundua kuwa mkewe...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…