Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Ilikuwa ni mwaka 1994 wakati nilipoingia kwenye kasheshe kubwa ambayo nusura tu inipeleke jela. Nikiwa ndio nina mwaka wa pili tangu kuanza kazi, nilimpachika binti mmoja mimba. Alikuwa ni binti...
5 Reactions
43 Replies
4K Views
Nawatakia mwaka mpya mwema 2012,kwa wale wenzangu wanaotarajia kuoa mwakani mwezi wa sita kama mimi,nawatakia mapenzi mema kwa wake zenu.nashukuru jf imenisaidia kidogo kudumu na mamsup though...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
kitu nachofahamu mimi kuwa binadamu tunapenda na hali ya kupenda ni hisia zilizo ndani ya moyo,lakini linapokuja suala la upande wa pili wa yule uliyempenda huwa tunaamini naye anakupenda kutokana...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wanajamvi, Japo huenda ninahitaji kupata fasiri yakinifu ya neno nje ya ndoa na japo waswahili wanasema kitanda hakizai haramu, ningependa kushirikisha hii kadhia ya watoto wanaoitwa...
2 Reactions
52 Replies
7K Views
Jamani Tanzania hali si nzuri hata kidogo. Mpenzi wangu yupo katika wakati mgumu wa kutafuta ajira,jamaa amemuahidi kazi ipo ila awe tayari kumtolea nguo za ndani. Nimemshauri aachane nae na...
0 Reactions
76 Replies
6K Views
Wapo wanaosingizia kila kitu mapenzi ya mungu mpaka jana namuuliza mama didy hivi huyu mungu ana mapenzi mangapi kila mtu akifa kwa kujitakia mapenzi yake kwa bahati mbaya mapenzi yake ...kwa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Toka naanza kupata ufahamu, moyo umekuwa ukihusishwa na mambo mengi kama nilivyoyaoredhesha hapo juu. Nilipoenda shule katika somo la biologia ni nikajifunza kwamba kazi ya moyo ni ku-pump damu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Tangu tumezaliwa tumesikia neno UPENDO,mimi binafsi wazazi wala shule sikuwahi kuambiwa maana ya hili neno!Nilikuja kulitafuta mwenyewe!Nakumbuka kwenye mafundisho ya dini tulikua tunaambiwa...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
have u ever felt empty even within marriage how did you overcome this situation?:sad:
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Ni rahisi sana kwa baadhi ya watu kuwatumia wenzao kupata yale wanayotaka bila kujali hisia za wanaowatumia. Unakuta mtu anamwaminisha mwenzake anampenda kweli ,wengine hufikia hata hatua ya...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
habarini za mchana.ni hivi kwanini asilimia nyingi ya harusi zinazofungwa sasa hivi bibi harusi anakuwa ni mjamzito?kwani wana jf nisaidieni ili swali kwani haiwezekani kusubiri mpaka muingie...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Kuna mabinti wawili, A na B. A ana sifa zifuatazo. 1. Ni mchapakazi, anapenda sana maendeleo 2. Anajali kiasi, na ni mwaminifu sana katika mahusiano. 3. Ni mzuri kiasi. ( putting everyting...
2 Reactions
58 Replies
4K Views
NImepewa hii scenario na kaka yangu. Amekuwu nje ya nchi tangia 1996. aliondoka akiwa kijana mdogo hadi sasa ana 40's. Katika kipindi hicho, ladies friends zake wote wameolewa. rafiki zake wa...
2 Reactions
137 Replies
10K Views
Naombeni mnisaidie kidogo ili nipate kufahamu maana naona hii social network haina faida kabisa, Mara ya kwanza tulionana fesibuku nililike picha yake hapo sasa ndo kosa baada ya hapo nikatumiwa...
0 Reactions
55 Replies
7K Views
Kuna vitu ambavyo ukifanyiwa unaweza ikachukua mwaka mwingine kusahau yapo mazingira tofauti ila naomba wenye mahusiano ya jinsia tofauti tafadhali na si jinsia moja hivi ni kipi kimekufurahisha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana MMU Natumaini mlikuwa na blessed Xmas? Sio hivyo kwa mdogo wangu, ambaye ni nurse ambaye baada ya kutoka mapema night shift alimfumania mumewe akimbaka msichana wa kazi. Amelazimika kuchukua...
1 Reactions
469 Replies
27K Views
Kuna rafiki yangu hayupo JF ila ameniomba nimuombee ushauri, yeye anamhisi mkewe ana mahusiano na mtu mwingine na wanawasiliana kwa simu, je akienda ofisi za vodacom watamsaidia kuchapisha meseji...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Jamani hivi ni kweli mmo ndani ya ndoa lakini ukimtaka mkeo kimwili uanze kumtongoza kama vile hamjawahi kuonana ingawa mnalala kitanda kimoja
0 Reactions
3 Replies
913 Views
Amani ya M.Mweenyezi Mungu iwe nawe na msamaha wake na baraka sake ziwe Juu yako. Heri ya mwaka mpya kwa wale ambao M.Mungu atawajaalia kuuufikisha. Nimatumaini yangu kuwa utakuwa Mwaka wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Showstopper... ni wale warembo ambao, wakipita barabarani waaacha waume domo zege, waume lazima wapinde shingo. Mwenyezi mungu kawaumba kwa MAKINI zaidi, nao wanajua, huongezea madaha. Warembo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom