Hebu tuchukulie kwamba, una mwanaume ambaye hamjaoana, lakini ndiye unayemtegemea kwa kila kitu. Amekuwa akiwasaidia sana ndugu zako ili wafikie malengo yao katika maisha, na anajitahidi sana...
Nimerudi tena na shukrani zangu za dhati kwenu MMU,
Bila shaka mliosomaga mada yangu ya nyuma mnanikumbuka sana, nimerudi kumishukuruni nyooote mliochangia mawazo yenu ukweli mlinifariji...
Jamani wana jf naombeni ushauri kuna rafiki yangu alikuwa ana mchumba wake yaan gf ila huyo gf wake alikuwa ni binamu yake na wote walikuwa wanalitambua hlo ila sasa mshkaji akaona bora amuache...
Kuna watu kila thread yeye anacomment kuanzia asubuhi hadi jioni. Utakuta kwenye thread moja mtu ana comment zaidi ya 20, halafu amecoment thread 20 au 30. kwa wastani kila dakika anakuwa...
Heshima yenu wakuu.
Mimi nilijua wavulana ndio wanao tongoza wasichana. Lakini hii tabia ya kutongozana wasichana kwa wasichana sijui imeanza lini. Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu lakini...
wanawake tumekuwa ktk mstari wa mbele kudai HAKI na FURSA SAWA kwa wote (50% kwa 50%) mbona majukumu ya familia tunayakwepa??? tena na majina kibao ya kuwadhalilisha wenzi wetu, (sharobaro...
Habarini wana MMU
nimefanya analysis nimegundua vijana wa zama hizi ndoa zao ni nguvu ya soda wanaachana fasta kwanin?
Mfano. Bro wangu mmoja ni tutorial assistant pale SUA alimuoa class mate...
Nimatumaini yangu makubwa mwana JF unaendelea vizuri, kwani bila hivyo usinge upata wasaa wa kuipitia thread hii kama ifuatavyo:-
Umekutana na huyu mpenzi mpya kwa mara ya kwanza kabisa mko...
Jaman maGREAT THINKERS naomben msaada wenu wa Mawazo;
Kuna binti niliongea nae aje Gheto tupate kujuana vizuri, sasa tatizo ni kwamba naomben mnisaidie maneno ya kumweleza mpaka akubali kunivulia...
Hakuna sugu katika mapenzi kila mtu atapata mjanja anayempenda uvumilivu,subira ni vitu muhimu katika mapenzi,watu wengi huona wenzi wao hawafai pale tu wanapo wakosea huamua kuwaacha lakini tu...
Moyo huuma sana pale unapotendwa lakini utajifunza kitu kuhusu tabia za watu mbalimbali na matendo yao katika mapenzi hivyo huweka fikira fulani ya kuyatibu na kujazoea mapenzi,usikate tamaa...
Wadau JF.
Tunaitaji msaada kuokoa ndoa ya jamaa yangu.
Zimepita wiki tatu toka kisa hiki kitokee, jamaa yangu alipanga safari yake ya kibiashara kwenda Japan..
Wakati yupo nyumbani...
Habari zenu JF.
Mkasa uko hivi.
Kuna msichana X nilikuwa na namfutulia ambaye sasa ndo gf wangu. Lakini haikuwa rahisi ilibidi nifanye kazi ya ziada kupata contact za X . Nilijitahidi kuzoeana...
Asalaam Aleykum!
Hope mu wazima ndugu zangu. Naomba tushirikine kwa hili. hivi ninapokuwa na furaha yani nacheka cheka siku nzima basi mchumba wangu anakuwa yupo suspicious na anaweza anihoji...
Wanajamvi,
Kuna mdada hapa anahitaji masaada wa kimawazo ili imsaidie kuwaelewa wanaume.
Anasema kuna siku kaka mmoja ambaye wamezoeana, wanaongea, sms, email nk, kiasi kwamba wamekuwa marafiki...
Wote wanasifa zifuatazo:
Mwanaume/dume kusababisha mimba/mtoto
Wote hutamani kingono
wote wana wivu wa kimapenzi
wote huandaa ujio wa watoto
wote hulea watoto wao ( hutafuta rizki, hulinda kwa...
Mambo vp wadau, nina girlfriend wangu kitambo sasa. Tunaheshimiana sana na tunapendana, ila shida iliyopo kwangu ni ya kuamkwa na hisia za kungonoka kila wakati. Hili linanipa wakati mgumu sababu...