Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

A few easy pointers to get yourself a sugar daddy. easy to follow and its all based on my personal experiences. Overview your choice so you know you're not going...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
kazi ipo pengine wewe ni mmoja wa unaowatia wenzako majaribuni usimjaribu mwenzio jamani ,mwisho wa siku mchungaji akikuomba ukampa umelaaniwa na kanisa zima ingawa itakuwa siri yenu embu...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
  • Poll Poll
"...mwanamke huhitaji kila kitu kwa mwanaume mmoja, mwanaume anahitaji kitu kimoja kwa kila mwanamke..." NB; Mind Your Language! Moderators wanatambua uwepo wa mdahalo huu...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Ukitaka ufaidi raha ya MAPENZI, usifanye na POLISI maana atakwambia "Mikono Juu" wala usifanye na Mhasibu maana atakwambia "Na huku lazima i-balance" au Nesi maana utasikia akisema "Mwingine...
5 Reactions
43 Replies
6K Views
yaani naanza kuwa na wasiwasi kwa nini napenda wadada wenye mikalio hiha wananivutia mno sana tu yaani acha tu..................
0 Reactions
33 Replies
3K Views
haya tena narudi kama Mbwiga wa mbwiguke. Hivi ni kweli wadada wa kichaga na kihaya kuwa na maumbile yao hayo kisa ni sababu ya milima na ndizi? Fuatilia habari hii. Kwamba wadada wa kichaga...
0 Reactions
50 Replies
12K Views
Ivi ni yupi huwa kichaa zaidi?, au yupi ni mvumilivu ?? Demu anaye mzimikia mwanaume au mwanaume aliye mzimikia demu. Mimi binafsi naona wanaume ni wavumilivu kuliko wanawake. Mwanamke...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kila kitu kina stara yake, hata ndizi. Ndio maana wauza ndizi huwa hawazimenyi kwanza ndio wakaziuza kwa sababu wanajua hakuna atakayezinunua, bali zitang’ong’wa na mainzi. Hivyo hivyo, wale...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Ivi kuna mtu kesha fanya mapenzi akiwa fofofo (kalala) , hajitambui. Kama upo ,twambie ladha yake. Au je inawezekana kufanya hivyo?,
0 Reactions
15 Replies
2K Views
On my browsing time i saw the following comment made by a white man concerning we EA women, How true was he? Fellas! Beautiful women can be found just about anywhere in East Africa. Kenyans have...
0 Reactions
1 Replies
795 Views
wikiend ilikuwa ngumu kwa rafiki yangu jamani wana mmu Jamaa alikuwa na mchumba wake na wakati amemaliza chuo ikatokea nafasi ya usalama wa taifa na huyo dada aakapewa huo mchongo na akaenda...
0 Reactions
35 Replies
3K Views
Wa na MMU na hasa wale mliopo ama mna asili ya kanda ya nyanda za juu kusini...........tumempoteza mwenzetu Zamoyoni Ngede, mtangazaji wa redio Country FM inayorusha matangazo yake kutoka mjini...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Kuanza penzi ni raha, kwisha kwa penzi nako raha? Wengi watasema ni machungu, kilio na simanzi hasa kwa yule ambaye bado anapenda. Wengi hutamani penzi liwe la milele..... wengi hutamani kama...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Miongoni mwa matatizo mengi yanyozikumba ndoa nyingi ni kukosa mtoto. Ndoa ni neno lenye herufi nne ambalo ukilichambu kwa undani zaidi utakuta mambo mengi sana, katika ndoa kuna mume na mke...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Nilikuwa na demu wangu ninìii na ninii.i...bac tulikuwa tunatomasana na nini.. Sasa ikafka wakat nkaanza kumpga romance..wakat naendelea ghafla nikakutana na chembe chembe za wali yoo...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Kuna katabia ka baadhi ya mabinti inaniuzi sana,ni hivi unakutana na dada amabaye mnajuana nae vizuri sana labda mlikaa mtaa mmoja,au kusoma wote miaka ya nyuma,na inatokea kwamaba hamjaonana mda...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Dear members, as we approach the end of 2011,allow me to sincerely thank all of you for your posts. They've contributed alot to my stock of knowledge. But I would also wish to give my special...
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Chorus: Wish I could keep you much longer I know you gotta go, cause you got things to do Wish I could keep you much longer Now you too busy for me girl, like I was to you Wish I could just stop...
0 Reactions
3 Replies
951 Views
Hawa wenzetu wanapenda sana vya bure, na kudandia wanawake wenye uwezo. Ukiwa naye utamnunulia vipodozi, nguo tena hadi ndani, atakuomba na hela ya daladala na ya kula pia. Unampendezesha...
0 Reactions
82 Replies
10K Views
Hivi dada zetu,mmeshaona kuwa na mabody makubwa aka mahipsi yakichina ndo tutawapenda sana?.Naomba samahani kwa wale waliozaliwa hivyo.naongelea hawa wakichina.Unakuta mtu alikuwa Miss baada ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…