Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Habari zenu wana jamii? Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 20,nina boyfriend ambaye tulitokea kupendana sn. Ktk mahusianö ye2 ikatokea kuwa nimepata ujauzito kwa bahati mbaya. Kiukweli cjawah...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Yani kila nikipiga simu kuongea na na wangu wa moyon, Bibi yake Mzaa Mama lazima atataka kunisalimia,akipewa Line tu ataanza na Ma Kiss ya ajabu anbayo hata wifi/shemej yenu anakiri hajafikia...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ilikuwa ni mwaka 1987, wakati huo nilikuwa naishi na kaka yangu mkubwa maeneo ya Kinondoni Msufini. Basi siku moja asubuhi tukapata mgeni na hakuwa mwingine bali ni mjomba wetu ambaye alikuwa ni...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamani leo nimemkumbuka Daudi Kabaka, enzi hizo ndio nilikuwa namchumbia mama Ngina wangu……………….. Hebu sikiliza huu wimbo...
0 Reactions
43 Replies
8K Views
Wanawake waliosoma wengi hushindwa kuolewa na hawajui mapenzi ukilinganisha na wanawake ambao hawajasoma sana (Uwongo). (Ukweli) Utafiti wa karibuni unaonesha kwamba wanawake waliosoma sasa wana...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Najua siku za karibuni mada ya wasaidizi wa nyumbani zimekua nyingi,lakini swali hili litaweza kujaribu kuona namna wanandoa wanavyotazamaHebu fikiri umeolewa,wewe ni muajiriwa pamoja na mumeo nae...
0 Reactions
36 Replies
3K Views
Ndoa na iheshimiwe na watu wote, na malazi yawe safi; kwa maana waasherati na wazinzi Mungu atawahukumia adhabu. Msiwe na tabia ya kupenda fedha; mwe radhi na vitu mlivyonavyo
5 Reactions
34 Replies
5K Views
I'm a teenage boy(11-19) chukulia kwamba we ni mazazi wangu,umepata ushahidi kwa kadi au barua au msg kwenye simu yangu kwamba nina demui. We kama mzaz wangu tanikataza nisiwe na demu,au...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
SIDHANI KAMA KUNA MWANAUME ANAYEWEZA KUCHOMOKA HAPO.
1 Reactions
22 Replies
6K Views
Wanaume sometimes tunakuwa wabishi na tunashikiria mambo fulani ambayo hata hayana maana. Tuna poteza vionjo kidogo kidogo na siku tunajikuta kwenye ndoa zenye zero gravity bila hata wenyewe...
5 Reactions
29 Replies
3K Views
Can we go to the days our love was strong can you tell me how a perfect love goes wrong can somebody tell how to get things back the way they use to be oh God give me a reason i'm down on...
6 Reactions
58 Replies
3K Views
Bandugu, Nataka kujua tabia za wasichana hawa,kuna wengine wapo mjini wameenda shule.Tabia zao please!
0 Reactions
26 Replies
20K Views
habari zeni Great thinkers, Naanza kama ifuatavyo, Kitambo niliwahi kuomba msaada kupitia Jamvi hili kuhusu Mchumba wangu. Mimi ni kijana wa Kiume Nilieko Ughaibuni na nilimchumbia Msichana mmoja...
0 Reactions
37 Replies
5K Views
naomba kuleta haja yangu hapa ili wakinadada wanisaidie ni manenogani niseme ili mdada anikubali. na vitu gani nimfanyie msichana ninaemtongoza anipende. msaada tafadhali
0 Reactions
38 Replies
5K Views
Kumekuwa na wimbi kubwa la wanaume kuamua kwenda kinyume na maumbile na kundi hili sasa aliangalii kama ni wakurugenzi ma engineer yaani imeenda beyond limit.. sasa basi tumekuwa ama tumeona...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
... kuna mwanamke mmoja nilikua naongea nae tena ye ni mke wa mtu (ni kawaida yangu kuwa na mazoea na wake za watu japo kwa nia njema)...and katika stori stori za hapa na pale nikamwambia, 'me i...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Sijui ni kukosa utu, kujali, au kukosa maadili! Inakuwaje watuwengine wanaishi maghorofani ni kana kwamba hawajali wanaoishi chini. Kwani ni lazima iwe ugomvi. Maana angalau nyumba zinazopakana...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
JUzi tu nilimfumania live demu mmoja aliyekua demu wangu wa karibu yaani my soulmate inaniuma ila sijui ni solve vipi tulikua tunapita kwenye uchochoro fulanai mitaa ya uswahilini mererani...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Binti kaniacha njia panda,nilipomseduce aliniambia ana mchumba,nilipoendelea kumapproach anasema atanifikiria nimpe wiki moja . I m stuck kama ana mchumba ananifikiria ili iweje ? Au ndo danganya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika jamii zetu za kiafrika hatutambulishi boy friend ila tunatambulisha mchumba
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom