Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mnipige mitamko mwenzenu jamani, Zamani kilikuwa kiatu fresh tu ila sasa mikandambili.. yaani ukiwa mchezoni inatelezateleza tu bila mpango wowote.. utam wote wa mchezo unatoweka.. ila ndo chako...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Huyu ni kama dada yangu, ni mwalimu wa shule ya msingi katika shule moja mkoani Tabora na kiumri anaelekea 30 hivi, nilimfaham baada ya kupanga kwetu miezi kadhaa iliyopita, ana bwanake ambaye nae...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwenye mapenzi kweli lawama zikiongezeka zinaumiza sana yaani, kila mara mtu unaonekana hauaminiki, unafanya vitu vingi tu tena vikubwa kwa ajili ya future lakini kila mara ni kuonekana mkosefu...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
for centuries we africans have been crying out about racism or prejudice we face in almost every aspects of our lives..and it has all been about white on black racism but what about this newly or...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
Mara nyingi utasikia Mzazi anamkaripia binti yake anayehisiwa kuwa ana boyfriend kwa kauli kama..'ATAKUPA NINI HUYO'??.. Hivi kauli kama hizi haziwezi kuwa ndio kichocheo cha hawa mabinti hata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ivi mkeo wako au mume wako ni ndugu yako?? Fikiria kwanza kabla ya kujibu thanks
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndoa nyingi zimekuwa na msuguano mbalimbali na hii ni kutokonana na ongezeko la joto duniani lakini pamoja na hayo bado watoto wanazidi kuzaliwa kwenye ndoa hizo hizo za mikeke na basharati...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu wapendwa,kuna met wangu hapa oficn ana tatizo ambalo hata yeye mwenyewe haelewi ni tatizo gani,ni mtu ambaye relation zinamsumbua sana,amekuwa akitendwa mara kwa mara kwa ni mtu mwenye...
0 Reactions
65 Replies
5K Views
Kuna msichana ambaye nilitokea kumpenda nikiwa kidato cha nne miaka ya nyuma,tukawa wapenzi ila kwa mawasiliano cz mi nilikuwa shule mbali sana na anakosoma yeye.Nilipomaliza kidato cha sita...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
JF habari, Kichwa cha habari kinahusika. jamani mimi sikua naamini hili, mtu wa kwanza kumpenda, na ukipenda kwa dhati, upendo hua hauishi hata ukija kupata mwingine. Nimefikia kuandika ili...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Manuel Uribe jitu la nusu tani Mwanaume mzito kuliko wanaume wote duniani (guinness record) mwenye uzito wa Kg 560, nusu tani (88 stone) Manuel Uribe (43) amemuoa rafiki yake wa kike Caludia...
1 Reactions
8 Replies
6K Views
Mwanangu, yashike maneno yangu, Na kuziweka amri zangu akiba kwako.2 Uzishike amri zangu ukaishi, Na sheria yangu kama mboni ya jicho lako.3 Zifunge katika vidole vyako; Ziandike juu ya kibao cha...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wednesday, October 19, 2011 2:19 AM Mtangazaji wa taarifa ya habari wa televisheni ya ABC ya Marekani amwashangaza watu kwa kujitangaza LIVE kuwa yeye ni shoga wakati wa taarifa ya habari. Dan...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Haya sasa...almost mwaka umepita tangu nilipojitokeza hadharani na kupinga Infidelity lakini nashangaa na kushindwa kuelewa kwa nini watu kama kina The boss, Asprin, Kaizer, Rejao...
3 Reactions
139 Replies
9K Views
Kuna kitu huwa kinanishangaza sana toka kwa wanaume, yaani inapotokea mwanaume ana uhusiano wa kimapenzi na msichana basi tulio wengi hujiona kama ndiyo tunanafaidi sana na kupelekea kujisifu wazi...
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Nimewaza haya nikiwa nje ya Dini kabisa. Hapa nilikuwa naliangalia jambo hili Kisayansi, kwa hiyo kama ukihusisha Dini yako na jambo hili, utatoka nje ya mada. Nilikuwa najiuliza tu kwamba...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wanaume hupenda kuwa wenyewe muda fulani (kukimbilia pangoni) hasa akiwa amerudi nyumbani kutoka kazini au akiwa anatatizika na jambo lolote. Hivyo basi inawezekana wewe kama mwanamke ndani ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwanaume akifika kileleni starehe yake huisha baada ya muda wa sekunde 6 wakati mwanamke ni sekunde 23 hii ina maana kwamba kama wanawake wanataka usawa basi wanahitaji kuhakikisha wanaume...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
  • Closed
Hili ni swali linaloendelea kuvuma kujua baba halisi wa mtoto wa irene ni nani wapo wanaume 5 waliofananishwa sura zao na mtoto krish ..yawezekana ulikuwa na kabahati cha kukutana nae wiki chache...
0 Reactions
5 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…