Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Kwanini sisi wasichana tukitongoza wanaume tunadharaulika?ukimwambia mwanaume unampenda unaonekana malaya.Kwanini iwe hivo?halafu wasichana wakitembea na wanaume wengi wanaonekana malaya,wakati...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Wameoana kwa ndoa ya Kikristo na kubahatika kupata watoto wawili, wote wa kike. Tatizo ni kwamba mtoto mmoja yuko upande wa kiumeni na mwingine upande wa kikeni. Pia baba na mama licha ya kuwa...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Dalili za wanawake wanaosaliti ndoa zao hazitofautiani sana na zile za wanaume. Kuna maelezo ya kitaalamu kwamba, mwanamke anapotoka nje ya ndoa yake, inakuwa rahisi sana kubainika au kufumaniwa...
11 Reactions
95 Replies
20K Views
Habarini wana JF! wanawake wanaotafuta wanaume wa kushi nao hapa MMU wana umri mkubwa sana tofauti na wanaume wanaotafuta wanawake wa kuishi nao ndani ya ndoa au hata katika mahusiano ya kawaida...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wana MMU, Siku hizi kumekuwa na msemo kwa wasichana wengi kuwa hawezi olewa na mtu ambaye hana MSIMAMO WA MAISHA. Hii imekuwa kama kaugonjwa kapya ka wasichana kukimbilia wanaume...
4 Reactions
71 Replies
7K Views
Zifuatazo ni baadhi ya dalili ambazo endapo mwanandoa atazibaini kwa mwenzake, anapaswa kuanza uchunguzi au kujadili naye jambo hilo ili kujiondoa katika wasiwasi. Lakini nitahadharishe kwamba...
4 Reactions
27 Replies
24K Views
..Wana MMU salaam! Nina jirani yangu ambaye mkewe ni rafiki ya wife wangu..of coz mie kwangu 'pilau' namaanisha picha za wakubwa sio issue yaan ninazo za kumwaga na huwa tunatizamaga sana na wife...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
Tumekuwa tukizoea kitchen party makungwi wake ni wanawake wenzetu kukueleza nn unatakiwa kumfanyia mumeo mm leo naomba kuwauliza wahusika wenyewe, ww kama mwanaume ungependa mkeo aweje kwa maana...
4 Reactions
40 Replies
4K Views
Kuna mtafiti mmoja alisema, kuzaa watoto wengi intokana na ugum wa maisha kwani, msongo wa mawazo na vp tutakula humsababisha mke au mme awe na mawazo mengi, so the only way ya kupunguza mawazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna akina dada wawili wapo live studio wakitetea hoja ya kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja. Mmoja anasema anao watatu ambao anawapanga na hawajawahi kugongana. Kuna mwanaharakati anapinga hii ishu...
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanandoa wengi sana wapo hatarini kuachana au kutengana na wengine tayari wameshapigiana stop ya usinijue, kila mtu kivyake ni vyema tukajikumbusha mambo ambayo yanachangia sana kuvunjika na...
5 Reactions
16 Replies
4K Views
1Mwanangu, sikiliza kwa makini hekima yangu, sikiliza vizuri maneno yangu ya busara, 2ili uweze kutunza busara na midomo yako ihifadhi maarifa. 3Kwa maana midomo ya mwanamke mzinzi hudondosha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari zenu wadau,leo nimekuwa na asubuhi mbaya sana na hata itapelekea kuifanya siku yangu nzima ya leo kuwa mbaya,nikiwa njian nakuja kazini asubuhi kutokea mwenge kuja posta,nashukuru nilipata...
2 Reactions
126 Replies
15K Views
ASLAM ALLEIKHUM WAHENGA !Asee katika maisha yangu naconfess nimewahi kuwa na ka uzuzu ka kufikili kumaliza mademu ni ujanja hivi karibuni nimejikuta from no were nkitoka kazini duka la movie huyo...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Jamaa hata wiki bado kichwa kimeanza kumpasuka!!
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ni mwaka3 sasa tangu nianze uhusiano na huyu kaka,kiuwezo tunatofautina sana but sikujali hilo nami nmejitahidi sana kumpa penzi langu,nimejitahidi kumtunza na nimekuwa nikimvumilia sana nami...
0 Reactions
35 Replies
6K Views
kwanini mwanamke akionesha hisia za mapenzi kwa mwanume anaonekana malaya sababu ni nini?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya wanaume wanasema kuna wanawake wakuoa,huwa wanamaanisha nini?je wengine huwa wakufanya nini?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi mpenzi wako au mwenza wako anapokasiria umekuwa ukichelewa chelewa nyumbani na hivyo anakujia juu na kukuambia rudi huko huko kweli anafikiria nini? Hivi ukiamua kugeuza mlangoni na kwenda...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Back
Top Bottom