Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia kwamba wanawake kuumwaumwa ni aina yao ya kudeka ili wajue kama mwanaume unampenda kweli au magumashi. Pia siyo kila kilio cha mwanamke ni kilio cha kweli...
1 Reactions
57 Replies
5K Views
MAEMBE YA KWETU MATAMU, YAKIDONDOKA YENYEWE! Maembe yalodondoka yenyewe Maembe yetu matamu, matamu yanipa hamu Ladha yake ni adimu, yana vigezo muhimu, Si machachu kama ndimu, yanataka...
5 Reactions
17 Replies
4K Views
Inaelezwa kwamba wanawake wa mjini ambao hawana simu, wanapoanzisha uhusiano na mwanaume ambaye ana simu, kauli ya, ‘kama ningekuwa na simu ingekuwa vizuri sana,’ hujitokeza. Kuna idadi kubwa ya...
0 Reactions
63 Replies
5K Views
Mimi ni kijana under 30yrs niko na ndoa 2 yrs now,ila tatizo linalonisumbua nahis nampunja mwenzangu japokuwa hakuwah kulalamika ila ckuwahi kumckia akisema,baaac imetosha.Tatizo langu ni kuwahi...
0 Reactions
0 Replies
971 Views
Kuna hofu nyingi kwa wanawake kudhani kwamba hawatapata wapenzi kwa sababu hawana matiti mazuri, hawana pua au midomo mizuri, hawana miili ya ‘Kizungu’, hawana mguu wa bia au hawana kiuno cha...
3 Reactions
25 Replies
3K Views
This is a true story of Mother’s Sacrifice during the Japan Earthquake. After the Earthquake had subsided, when the rescuers reached the ruins of a young woman’s house, they saw her dead body...
1 Reactions
1 Replies
848 Views
Ashakum si matusi Wahenga walisema mficha uchi hazai hili ndio naliepuka mm. ivi karibun nimejiona ninakasoro ktk majambozi ye2 ya ndani nikipiga moja2 sipand tena na hata nikijilazimisha itapanda...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ni ijumaa nyingine, namshukuru Mungu. nahisi upungufu mkubwa mwilini, Kuna kitu nimekosa,. Huzuni imenigubika siku 21 zilizopita ila leo nimeamua liwe liwalo lazima nikamuone mpenzi wangu, asali...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Jamani wana MMU kuna ndoa zomevunjika nimezishuhudia zaidi ya 3 na zote ukizisikiliza kesi zao nimwanaume kutokuwa mwaminifu yaani kuwa na nyumba ndogo au kutoka na wanawake tofauti tofauti nje ya...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
jamani marafiki naombeni mnisaaidie kwa hili?mods anabadilisha hizi title baada ya muda gani?maana mimi nimelala seniour member na kuamka leo expert
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari,naomba kupata ufafanuzi juu ya hili jambo,katika mahusiano ya kimapenzi ikatokea kukawa na kutoelewana kwa jambo fulani baina ya wapendanao (wana ndoa nk),je sex ni njia mojawapo ya kuondoa...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakuu hivi jini mahaba ni nini na ni ukweli kama inavyo zungumiziwa?
0 Reactions
25 Replies
6K Views
Kwanza nakupa hongera kwa kuuona mchana mwema huu wako wengi wanapigania roho zao pale icu shaka umebahatika tu si kwa mema uliofanya labda niende kwa wataalamu wa nyumba ndogo katika hili waweza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wandugu nawasalimu kwa jina la JF! Jamani wanajf naomba tumsaidie rafiki yangu. Huyu rafiki yangu ana watoto wake wawili wanaopishana mwaka tu kati yao, mmoja ana miaka mitatu na miezi 11 na...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Naomba niwaambie jambo moja. Miongoni mwa mambo ambayo humkera mwanamke ni kukutana na mwanaume mwongo na anayejikweza. Mwanamke na hata mwanaume hupenda kitu au mtu asilia na sio mtu feki...
5 Reactions
30 Replies
5K Views
A Man buys a lie Detector Robot which slaps people who lie... He decides to test it one evening at Dinner. So he asks his son. >>>> >>>>''Where were you today during school...
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Wana JF naomba msaada wenu kwa hili'nipo kwenye mahusiano ya zaidi ya miaka2 sasa'mpnzi wangu yeye amfanikiwa zaidi yangu'ana gari,tatzo ambalo mi linanikwaza vtu vyake ananipa kwa masharti sana...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Ijumaa Njema Bandugu - Love Them ALL
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Baada ya kufanya kazi kwa bidii na maarifa kwa week nzima sasa napenda kuwaaga kwa kusema.....'thank God its friday'...ngoja niwahi familia
3 Reactions
53 Replies
3K Views
hivi kwa nini wanaume wengi ni wagumu kukiri udhaifu, makosa au kukabali kuwa kuna vitu hawavijui mbele ya mwanawake?, nimeona kwenye mahusiano huko ndio balaa,inahitaji hekima kumwambia mwanaume...
2 Reactions
57 Replies
4K Views
Back
Top Bottom